Ni vigezo vipi vilimpa Hussein Bashe Uwaziri wa Kilimo?

Ni vigezo vipi vilimpa Hussein Bashe Uwaziri wa Kilimo?

Akizungumza na Azam Tv M/Kiti wa wafanyabiashara wa mazao ya chakula amedai Tanzania haina tena uwezo wa kujilisha na chakula chote hivi sasa kinatoka Nchi jirani ya Zambia na Malawi.

Ikumbukwe mapema leo akiwa kwenye ziara na Samia huko Kondoa Mkoani Dodoma Waziri mwenye dhamana ya chakula amedai nchi inajitosheleza kwa chakula.
Mh. Rais amesha kubali kudanganywa na hawa mawaziri wake wahuni. Watafuta fursa.
 
Viongozi awamu hii hawaangalii uhalisia bali wanafanya mambo ili kumkomoa Magufuli.

Basi kwakua Magufuli alikataza wao wanaruhusu.

Hawaangalii repercussions za matendo yao.

Uamuzi wa Waziri umeligharimu Taifa na hakuna wa kumwajibisha mtu kama huyu anayefanya Maamuzi yanayolilatea hasara Taifa.
 
Mpaka sasa sijajua ni kigezo kipi kilimpa Uwaziri wa kilimo kwa sababu ni moja ya Mawaziri wa hovyo sana wanao shinda kutafuta sifa.

Bashe aliruhusu mahindi yaende sana nje, na kwa sasa cha ajabu Wakulima ndio wabao lia njaaa, na wenye mahindi ni Madalali.

Sehemu kama Arusha gunia ni sh 150, 000/ na hakuna mkulima mwenye mahindi ya kuuza, kwa sasa wanalia njaa lakini Bashe hadi leo akihojiwa utasikia nchi ina ziada ya chakula.

Na mbaya zaidi Raisi anawaini sana hawa wahuni itachukua.muda sana kuja kujua anafanya kazi na wahuni

View attachment 2424396
Yaani mtu unaishi kwa mtogole alafu unamuonea wivu mkulima wa mbinga aliyelima mahindi na kupata gunia 500
 
Viongozi awamu hii hawaangalii uhalisia bali wanafanya mambo ili kumkomoa Magufuli.

Basi kwakua Magufuli alikataza wao wanaruhusu.

Hawaangalii repercussions za matendo yao.

Uamuzi wa Waziri umeligharimu Taifa na hakuna wa kumwajibisha mtu kama huyu anayefanya Maamuzi yanayolilatea hasara Taifa.
Mkuu shida humu watu ni ushabiki manadazi dio umewajaaa, wengi wa Watanzania hatuna uwezo wa kufikiria
 
Akizungumza na Azam Tv M/Kiti wa wafanyabiashara wa mazao ya chakula amedai Tanzania haina tena uwezo wa kujilisha na chakula chote hivi sasa kinatoka Nchi jirani ya Zambia na Malawi.

Ikumbukwe mapema leo akiwa kwenye ziara na Samia huko Kondoa Mkoani Dodoma Waziri mwenye dhamana ya chakula amedai nchi inajitosheleza kwa chakula.
Mh. Rais amesha kubali kudanganywa na hawa mawaziri wake wahuni. Watafuta fursa.
Mkuu Bongo kuna tatizo la wayu kufikilia, wengi tuna uwezo mdogo mno wa kufikilia na hili ndio tatizo
 
Mnajichanganya sana kushindwa kitofautisha mkulima na mfanyabiashara,mkulima aliuza mazao yake zamani sana msimu wa mavuno, waliopo sasa ni wafanyabiashara ambao nyinyi ndo mnawaita wakulima kisa tu wana stock ya mahindi kwenye maghala yao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Achaba na hao wajinga una maliza nguvu bule kuwaelimisha
 
Nipende kujibu swali lako kama ifuatavyo.
Bash aliwauzia chama pendwa media house yake (gazeti la Mtanzania) kwa kuwapa umiliki wa gazeti na yeye kupewa unaibu waziri.
Baada ya kuonesha uwezo ndio akapanda cheo kuwa waziri.
Maamuzi ya kuto zuia mahindi kuuzwa nje ya nchi, sio maamuzi binafsi ya Bashe.
Ni maamuzi yalioyochukuliwa kutokana na matokeo ya kitafiti.
Iwapo bei za nafaka zingekuwa chini, wakulima wangepata hasara na wasingekuwa na mtaji wa kuwekeza kwenye msimu unaofuata wa kilimo.
Sikiliza hakuna mkulima mwemye mahindi waliuza mwezi wa 7 kwa sasa Madalali ndio wana mahindi, na wakulima wanapelekewa mahindi ya msaada
 
Back
Top Bottom