Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Kujitolea kwa hali na mali kwa wengine ni kujiwekea hazina ya hali na mali mioyoni mwa wanufaika wa majitoleo yako baadae. Mathalani kwenye uchaguzi wa chadema, tunashuhudia faida za kujitolea na hasara za uchoyo na mazoea ya kupokea au kuchangiwa tu,
Kujitegemea na kujitosheleza ni jambo muhimu sana. Lakini zaidi sana kujitolea kwa hali na mali kwa wengine ni jambo muhimu na la maana zaidi.
Kujitolea ni kujiwekea hazina mioyoni mwa wanaopokea majitoleo yako.
Uchoyo na mazoea ya kupokea tu bila kujitolea kuna gharama zake baadae.
Tujifunze kujitolea bila kujibakiza kwa wengine, tuache ubinafsi
Mungu Ibariki Tanazania
Kujitegemea na kujitosheleza ni jambo muhimu sana. Lakini zaidi sana kujitolea kwa hali na mali kwa wengine ni jambo muhimu na la maana zaidi.
Kujitolea ni kujiwekea hazina mioyoni mwa wanaopokea majitoleo yako.
Uchoyo na mazoea ya kupokea tu bila kujitolea kuna gharama zake baadae.
Tujifunze kujitolea bila kujibakiza kwa wengine, tuache ubinafsi

Mungu Ibariki Tanazania