Pre GE2025 Ni vigumu kiongozi anayetegemea kila kitu kuchangia kumshinda mwingine aliyejitosheleza kwa hali na mali

Pre GE2025 Ni vigumu kiongozi anayetegemea kila kitu kuchangia kumshinda mwingine aliyejitosheleza kwa hali na mali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kujitolea kwa hali na mali kwa wengine ni kujiwekea hazina ya hali na mali mioyoni mwa wanufaika wa majitoleo yako baadae. Mathalani kwenye uchaguzi wa chadema, tunashuhudia faida za kujitolea na hasara za uchoyo na mazoea ya kupokea au kuchangiwa tu,

Kujitegemea na kujitosheleza ni jambo muhimu sana. Lakini zaidi sana kujitolea kwa hali na mali kwa wengine ni jambo muhimu na la maana zaidi.

Kujitolea ni kujiwekea hazina mioyoni mwa wanaopokea majitoleo yako.

Uchoyo na mazoea ya kupokea tu bila kujitolea kuna gharama zake baadae.

Tujifunze kujitolea bila kujibakiza kwa wengine, tuache ubinafsi :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanazania
 
Hata Nyerere alichangiwa, ni mawazo ya kijinga tu, Magufuli hakuwa na pesa kumshinda Lowasa lakini wajumbe waliona Magufuli anafaa, kumbuka Lowasa alijiandaa kwa zaidi ya miaka 20.
 
Mbowe alitolewa Jela Kwa kulipiwa faini iliyochangwa na familia ya Mchungaji Msigwa akiwemo Shujaa Magufuli aliyechangia tsh million 38

😂😂🔥🔥🔥
 
Back
Top Bottom