Elections 2015 Ni vigumu sana kupata Rais mwenye sifa bora 2015

Hata mimi sikuwepo, mi Mgeni hapa wenyeji jamani tusaidieni.
 
Sijui umekunywa viroba vya wapi au maharagwe


swissme
 
Mmmh nipo dodoma lakini ninachokumbuka Ni pale MAKOLE karibu na CBE aliposema WAPIGWE TU, na KULIA MAUAJI ALBINO
 
Pinda ninayemjua au kuna mwingine? Ninayemjua ni PM wa Tanganyika au maarufu Tanzania bara.
 

Hivi jamani mnakosa waume wa kuwasaidia jinsi ya kutafakari!!!hivi pinda akiwa rais hata kunguni si watahamia ikulu,hiv kwanza afya yake ikoje,akianza kulia nani wa kumbembeleza.rudi kwa mumeo mkae akushauri au la nenda tafuta mwanaume mwingine,khaaaaaa
 

Utakua umelogwa si bure.
 
mtoa post mbona unamkejeli PM kwakujifanya unamsifu???? au ndo umeamua kumchana makavu kwakumwambia hafai kua rais hata kwa kubanika.. mana hata yy akisoma ulichoandika hatakuacha mana hamna namna nyingine.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…