Ni vitu gani muhimu Mwalimu unavyotakiwa kuwa navyo wakati wa kuripoti kazini?

elly, nakushukuru ndugu kwa kunijuza na ikiwa kunamengine tujuze mkuu.

mengne., kuhusu benk usipate shda zko barua halmashaur za kufungilia chapchap nmb,kwel ndo benk pekee inayopatkana karibu na mshahara huwai
 
Kuhusu mifuko ya pensheni nakushaur ukipenda jaza lapf mfuko bora mara tatu mfululzo na wako vema na unakuwa kwa kasi na kuitia hofu pspf na kwa wadada ndo mfuko pekee wenye malipo kwa ajil ya uzazi..
 
Usisahau shuka 2, viti3, vitanda 2, ndoo za lita 20 kama 5 hv, mwiko na suguria 3, bijiko3 nk

ahsante mkuu. Kumbe hivi navyo vitahitajika kama details katika ofisi ya mkurugenzi. Haya ndg nitafanyia kazi ushauri wako
 
Kuhusu mifuko ya pensheni nakushaur ukipenda jaza lapf mfuko bora mara tatu mfululzo na wako vema na unakuwa kwa kasi na kuitia hofu pspf na kwa wadada ndo mfuko pekee wenye malipo kwa ajil ya uzazi..

ndugu sina mengi ya kusema kuhusu ww bali ni shukrani na kukutakia kazi njema, ubarikiwe mkuu.
 
Inferiority Complex, jiandae kuugua huu ugonjwa pindi utakapokutana na marafiki zako uliosoma nao ambao kwa sasa wao ni Lawyers, Doctors, Engeneers, TRA officers, politicians(Leaders)....

Maadam ulichagua mwenyewe kuwa mwalimu so jiandae kuvumilia yote mkuu ikiwemo dharau, humiliation maana haya ndiyo malipo ya kusoma kozi nyepesi kwa kuogopa kukosa mkopo na ajira.

Am out.
 

mawazo ya division 5
 
Nunua paket2 za salama + pamba Kali coz vitoto vya shule vinawapendaga sana nyie wageni so jiandae kigegeda na kupata mke huko uendako maisha mema mleta mada.
 
Ungefaa sana kuwa DOCTOR,MFAMASIA! hivi nani anawapaga ushauri wakati wa kuchagua kozi?
mpigamsuli sentensi za unge ziko hiv, "unge...............unge".Thanx for your vision, me i'm happy of what i have choosen.
 
Last edited by a moderator:
We umeongea kweli NMB ndo mpango mzima mshara hauchelewi

mkuu pengine upo kwny box na hujui kinachojiri nje.hujui kama mishahara inapita crdb kabla ya benk zingine.sisi wa nmb huwa tunachek salary baada ya crdb kupokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…