Ni vitu gani muhimu Mwalimu unavyotakiwa kuwa navyo wakati wa kuripoti kazini?

Ni vitu gani muhimu Mwalimu unavyotakiwa kuwa navyo wakati wa kuripoti kazini?

duh!umeongea ukweli wenye maumivu ndani yake...majitu yanakimbilia ualimu eti yapate mkopo chuo,sasa sijui watakua wanauza chaki huko mashuleni au vp,mishahara yao yenyewe ni kama posho kwa mtu wa TRA..mamaee,watajibeba huko vijijin waendako.

TRA CERTIFICATE 900,000/ ,DIPLOMA 1,200,000/ ,DEGREE 1,500,000/ naungana na Mkuu PERRY kusema kwamba mishahara ya Degree ya EDUCATION(589,000) ni posho TRA
 
Kuna watu mna mawazo mgando aseee mimi wazazi wangu waalimu na wamenisomesha shule nzuri nimefika chuo sikuwahi kuomba mkopo mpaka nimemaliza degree ya kwanza,maisha ni vile umejipanga mbona kuna watu tulisoma nao kozi hizo unazoziamini wanahangaika na maisha hapa mjini afadhali hata waalimu wanaishi maisha yao tatizo mnadanganyika na magari ya mikopo sijawahi kudharau ualimu hata kama sikusoma hiyo kozi bado nna washikaji waalimu tunapishana kwenye mishe kama kawa tatizo la utoto linakusumbua subiri upate TRA sasa na ndoto zako.




Nimeipenda hii





Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Pia kama una mke au mchumba nenda naye kwa sababu huenda ikakuchukuwa miaka 5 ndo urudi kwenu. Ukienda na hao hata wanafunzi wa watu hawatokuzingua au kukutega. Ila jamani umbali nao shida. Unatolewa #ROMBO unapelekwa #MWISHO WA RELI. Duu! Inauma wapendwa. Ila inalazimu. Poleni sana wandugu.
 
TRA CERTIFICATE 900,000/ ,DIPLOMA 1,200,000/ ,DEGREE 1,500,000/ naungana na Mkuu PERRY kusema kwamba mishahara ya Degree ya EDUCATION(589,000) ni posho TRA

Kweli watu tunatofautiana hiyo salary. Mie ninapofanya Certificate 1,500,000/= Diploma 2,300, 000/= Degree 3,500, 000/=
 
Mnawaonea donge wenzenu, na mtasugua gaga sana mtaani na mivyeti yenu ajira hakuna. Nendeni walimu mkafanye yenu, kwanza kazi haina hata stress. Haina kusimamishwa kazi wala nini, watoto wafeli wafaulu we mshahara uko palepale. Hawa wamesoma degree zao za law na social work wapo mtaani kazi hawna maisha yanawapiga vibao.

Ahsante sana umenena vyema
 
watumishi wa serikali wanatumia nmb kuwekewa salary hizo crdb labda kuamishia tu n kutunzia mishahara!nakushaur ufungue nmb.

Panua mawazo usjbu kirahs na kufuata ya kale tu kunawatu mishahara yetu haijui nmb nini.
 
Natumaini tuko humu kuelimishana...lakini hulazimishwi maana ukweli waujua weye tofauti na propaganda..kwani weye watetea nmb wafanya kazi pale?

Sifanyi nawe ni Mwalimu kweli kama ni Mwalimu na unatumia CRDB its okey ni chaguo lako bt kwa asilimia kubwa walimu wengi wanatumia NMB
 
Ukianza kazi utajua nini maana ya kuficha mshahara...kitu kimeingia anakwambia bado...afu badae akihisi unataka kustuka anakwambia amelipia madeni... na kwa jinsi ulivyokuwa huna kazi, labda ulikuwa unamwomba nae anakudanganya kimtindo...itakuaje ufuatilie mshahara wa mtu ilhali hujawahi anza kazi...
Jamaa kakushauri kiungwana lakini ka wapenda huko its okay..mahaba niue....utakutana na foleni mpaka utatia adabu.

foleni tu mbona kawaida sana kwa hapa Tz nani kakuambia nafuatilia mshahara wa m2
 
Ahsante sana umenena vyema

Kafanye yako mkuu wangu, kumbuka huwezi kutoka kwa kutegemea mshahara, wekeza sana. Na bahati nzuri kazi yako haikubani sana, so inakupa muda wa kusimamia miradi yako. wanaokudharau siku moja watakusalimia kwa heshima.
 
Kafanye yako mkuu wangu, kumbuka huwezi kutoka kwa kutegemea mshahara, wekeza sana. Na bahati nzuri kazi yako haikubani sana, so inakupa muda wa kusimamia miradi yako. wanaokudharau siku moja watakusalimia kwa heshima.

Nashukuru sana Mkuu
 
foleni tu mbona kawaida sana kwa hapa Tz nani kakuambia nafuatilia mshahara wa m2

ledman, namba 67 umeandika "Mi mwenyewe nasubiri Ajira tar 15 bt nshashuhudia Rafiki yangu ambaye anatumia CRDB mshahara wake ulikuwa unachelewa kila siku from there naiamini NMB pekee kwenye mshahara wa ualimu"

kwaheri...sirudi kujibishana nawe...
 
Dont let bastards get you down turning you arround......................

Always trust your instincts.
 
Mnaonaje hii mada ikihamishiwa kwenye jukwaa la chit-chat maana hamchangii, kila mtu anaongea lake.

Hivi nyie mnaofanya kazi TRA mda huu wa kuwa ofisini nyinyi mnakazana kuchati hapa, si ajabu nchi inaendelea kuwa masikini kutokana na watu wavuvi kama nyinyi.

Hemu fanyeni kazi huko.
 
Nunua paket2 za salama + pamba Kali coz vitoto vya shule vinawapendaga sana nyie wageni so jiandae kigegeda na kupata mke huko uendako maisha mema mleta mada.

duuh. haya ndugu, nawe pia kazi njema.
 
jamani tusubiri kwanza hiya 15 march wakitoa ndo tuombe mawazo lakini si mnajua serikali yetu isije kuwa danganya toto.
 
  • Academic Certificates - Form 4, Form 6 kwanza - Vitahitajika ,
  • Vyeti vya vyuo vitafuata baada ya kuwa vimetoka vitatumika kama viambatanisho ujazapo fomu za TSD ili kupata TSD Number.
  • Passport size, andaa za kutosha maana maeneo mengine huduma za picha huwa ni shida.
  • Kimsingi huwa hakuna usumbufu wowote sababu taarifa zako huwa tayari Mkurugenzi anazo.

Blaza ile buku 15 uliyoniambia utanirudishia baada ya huduma ya VPN kukwama vipi?
 
Back
Top Bottom