sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Habari majirani, Huku kwetu Tz Paypal inaruhusu malipo tu, Haiingizi pesa, Hivyo nimeona mbadala ni kuja hapo mpakani ili nisajiliwe line ya Safaricom ambayo hata huku kwetu inafanya kazi maana wana undugu na Vodacom.
Je, ni vitu gani vinatakiwa ili niweze kupata hio simcard?
Asanteni
Je, ni vitu gani vinatakiwa ili niweze kupata hio simcard?
Asanteni