Ni vituko gani ulishawahi kufanyiwa na mwenye nyumba wako hadi ukatamani uhame uache Kodi?

Ni vituko gani ulishawahi kufanyiwa na mwenye nyumba wako hadi ukatamani uhame uache Kodi?

Nakumbuka miaka hiyo ndio nimepata kazi benki Fulani, nikapata nyumba Sinza ya mama mtu mzima kijana.

Akanikaribisha sana, hakuwa na noma, nilipokuja kununua flat TV enzi hizo plasma tv ndio zimetoka, hamna cha LCD na LED ni ndoto kabisa, yaani ndio kwanza watu wachache sana tumeamza kujikwamua kutoka kwenye machogo.

Basi yule mama akawa anataka muda wote aje ashinde ghetto kwangu, anavaa nguo very light.

Kuna siku jumamosi nimemaliza kufua, nikasema Leo nijilipie, nikachukua Konyagi kubwa, nikawa na Dodoma wine, kwenye oven kilo mbili za kitimoto zinaokwa taratibu. Mara ghafla mlango unagongwa huku mtu akiingia ndani bila kukaribishwa.

Nilikuwa Niko na boksa tu sikuwa natarajia mgeni, akaniudhi sana. Nikakimbilia taulo, akanifuata akanivua taulo. Nikasimama wima hasira Imenijaa.

Akaanza kujiliza ohh Mimi nakupenda siku zote, wewe unajidai huoni.

Nikamkaripia nikamwambia anikome. Baada ya hapo alianza chuki na visa, nilikaa miezi minne tu nikahama.
Kuna nyumba ya kwanza kupanga nilitamani niwahi kujenga coz ndio nimetoka home nakutana na visa nikaona labda nyumba za kupanga zote zipo hivyo.

Kwanza picha linaanza mzee mwenye nyumba kila mwezi anakuja kukagua nyumba anaingia hadi chumbani anakagua kama umetoboa ukuta ni kesi ilikuwa inanikela sana.

Cha pili mimi kazi zangu zilikuwa za kusafili naweza kusafili hata siku mbili sasa kwa usalama nilikuwa naacha taa ya nje inawaka ila nikitoka tu anakuja anafungua taa anaitoa panakua giza nikirudi nakuta taa haipo sasa siku ya kwanza nikajua labda taa wezi wameiba nashaangaa kesho yake nakutana nae ananiuliza umesharudi njoo uchukue taa yako nikamuuliza vipi mzee mbona unatoa taa yangu ananiambia eti taa unaposafiri unaicha wazi inatumalizia umeme wakati pesa ya umeme natoa hata nikiwa nimesafiri umeme ukiisha ananipigia simu kutaka nilipie umeme.
Nilimjibu tu nikiibiwa hapa basi chanzo ni wewe coz taa ndio ulinzi wangu pakiwa giza watu wanajua hakuna mtu hivyo ni rahisi kuibiwa

Swala jingine kama umeacha mlango wazi mzee alikuwa anaingia tu bila hodi ukimuuliza vipi mbona unaingia bila hodi anasema hii ni nyumba yangu.
Unajua gharama niliyotumia kujenga hii nyumba?
ila hakuacha hizo tabia ikabidi nihame tu
 
Mimi na wasela wenzangu enzi hizo tuko form six, katika kujiandaa tukaona ni vyema tupange chumba ili tuweke Kambi ya masomo.

Usiku mmoja nikashtuka usingizini, tukamuona baba mwenye nyumba na mkewe na watoto wako uchi wa mnyama wanaizunguka nyumba.

Nikawaamsha wenzangu. Chumbani kuna Giza hatujawasha taa hivyo tunawaona kwa uzuri sana.

Baada ya wiki tu tukahama. Walikuwa Wana roho nzuri sana utadhani watu kumbe ni mashetani
Inaelekea hao walikuwa wa kiume,ndiyo maana ukahama 🤣🤣🤣
 
Nakumbuka miaka hiyo ndio nimepata kazi benki Fulani, nikapata nyumba Sinza ya mama mtu mzima kijana.

Akanikaribisha sana, hakuwa na noma, nilipokuja kununua flat TV enzi hizo plasma tv ndio zimetoka, hamna cha LCD na LED ni ndoto kabisa, yaani ndio kwanza watu wachache sana tumeamza kujikwamua kutoka kwenye machogo.

Basi yule mama akawa anataka muda wote aje ashinde ghetto kwangu, anavaa nguo very light.

Kuna siku jumamosi nimemaliza kufua, nikasema Leo nijilipie, nikachukua Konyagi kubwa, nikawa na Dodoma wine, kwenye oven kilo mbili za kitimoto zinaokwa taratibu. Mara ghafla mlango unagongwa huku mtu akiingia ndani bila kukaribishwa.

Nilikuwa Niko na boksa tu sikuwa natarajia mgeni, akaniudhi sana. Nikakimbilia taulo, akanifuata akanivua taulo. Nikasimama wima hasira Imenijaa.

Akaanza kujiliza ohh Mimi nakupenda siku zote, wewe unajidai huoni.

Nikamkaripia nikamwambia anikome. Baada ya hapo alianza chuki na visa, nilikaa miezi minne tu nikahama.

Nakumbuka miaka hiyo ndio nimepata kazi benki Fulani, nikapata nyumba Sinza ya mama mtu mzima kijana.

Akanikaribisha sana, hakuwa na noma, nilipokuja kununua flat TV enzi hizo plasma tv ndio zimetoka, hamna cha LCD na LED ni ndoto kabisa, yaani ndio kwanza watu wachache sana tumeamza kujikwamua kutoka kwenye machogo.

Basi yule mama akawa anataka muda wote aje ashinde ghetto kwangu, anavaa nguo very light.

Kuna siku jumamosi nimemaliza kufua, nikasema Leo nijilipie, nikachukua Konyagi kubwa, nikawa na Dodoma wine, kwenye oven kilo mbili za kitimoto zinaokwa taratibu. Mara ghafla mlango unagongwa huku mtu akiingia ndani bila kukaribishwa.

Nilikuwa Niko na boksa tu sikuwa natarajia mgeni, akaniudhi sana. Nikakimbilia taulo, akanifuata akanivua taulo. Nikasimama wima hasira Imenijaa.

Akaanza kujiliza ohh Mimi nakupenda siku zote, wewe unajidai huoni.

Nikamkaripia nikamwambia anikome. Baada ya hapo alianza chuki na visa, nilikaa miezi minne tu nikahama.
Japo Uzinzi na uasherati Sio mzuri ila wewe jamaa ulituaibisha sana Wanaume
Au nasema uongo riki boy
 
Nakumbuka miaka hiyo ndio nimepata kazi benki Fulani, nikapata nyumba Sinza ya mama mtu mzima kijana.

Akanikaribisha sana, hakuwa na noma, nilipokuja kununua flat TV enzi hizo plasma tv ndio zimetoka, hamna cha LCD na LED ni ndoto kabisa, yaani ndio kwanza watu wachache sana tumeamza kujikwamua kutoka kwenye machogo.

Basi yule mama akawa anataka muda wote aje ashinde ghetto kwangu, anavaa nguo very light.

Kuna siku jumamosi nimemaliza kufua, nikasema Leo nijilipie, nikachukua Konyagi kubwa, nikawa na Dodoma wine, kwenye oven kilo mbili za kitimoto zinaokwa taratibu. Mara ghafla mlango unagongwa huku mtu akiingia ndani bila kukaribishwa.

Nilikuwa Niko na boksa tu sikuwa natarajia mgeni, akaniudhi sana. Nikakimbilia taulo, akanifuata akanivua taulo. Nikasimama wima hasira Imenijaa.

Akaanza kujiliza ohh Mimi nakupenda siku zote, wewe unajidai huoni.

Nikamkaripia nikamwambia anikome. Baada ya hapo alianza chuki na visa, nilikaa miezi minne tu nikahama.
Ukikua utaacha kuandika hui upuuzi wako
 
Hii nadhani ni njia napaswa kuifuata, kuna demu kapanga kwangu ila pesa analipiwa na sponsor, sasa huyu kwenye bill ya maji halipi kabisa, nikimforwadia msg unit tumitumia hizi mimi nalipa 80% wewe malizia basi hapo zitakuja hata bill 3 hajalipa, ni mtihani kwakweli.

Kwahiyo hapa msiwashitumu wenye nyumba hata wapangaji wengine ni vichomi tu.

Nadhani biashara sahihi ya nyumba wakae wapangaji tupu na mwenye nyumba ukae kwenye nyumba yako peke yako unakusanya kodi tu, asiyelipa maji wacha akatiwe tu na usiponunuwa luku utalala mwenyewe gizani.
Itabidi siku moja uweke uzi kuhusu vituko vya wapangaji kwenye nyumba zenu.
 
Mzee Yusuphu bana,
Kila nikirudi ni visa tu,kuna mwezi mzima kila jsiku anakuja kuchukua hela ya daku,mara mboga,mara aje nyie mmepanga humu mnakula pilau kila siku si tunashinda njaa.
Namtoa kanogewa.
Eeh siku narudi usiku nimegonga vyombo sawasawa,
Nikamkuta kibarazani.
Nikasalimia nipite mzee kaanza vimaneno nyuma yangu duh,mi nikaendelea na na safari tu.
Alikuja shtuka nimetoka na m bapa kimbizana mpaka polisi post.
Polisi tukamalizana mambo yakaisha.
Mzee kasema ataniloga nikaona bora niondoke.
 
Itabidi siku moja uweke uzi kuhusu vituko vya wapangaji kwenye nyumba zenu.
Wana vituko hatari, mwingine anajitesa kurudi usiku mkubwa kuondoka alfajiri anakimbia msikutane ukamuuliza kodi.

Wengine walivyo na roho za kimaskini akihama anatowa bulb na mwingine anaiba mpaka kamba za kuanikia nguo.

Yani mimi nina chumba na sebule nimeona bora nifugie kuku tu kuliko kukakaa na majitu majinga.

Chakula cha kuku cha wachina cha kisasa hakina chumvi, hakina harufu hata chembe kwahiyo hakuna uvundo wowote, hakuna kero ya harufu kwa jirani hata mtu akija hawezi kujuwa kama kuna kuku wanafugwa.
 
Mimi na wasela wenzangu enzi hizo tuko form six, katika kujiandaa tukaona ni vyema tupange chumba ili tuweke Kambi ya masomo.

Usiku mmoja nikashtuka usingizini, tukamuona baba mwenye nyumba na mkewe na watoto wako uchi wa mnyama wanaizunguka nyumba.

Nikawaamsha wenzangu. Chumbani kuna Giza hatujawasha taa hivyo tunawaona kwa uzuri sana.

Baada ya wiki tu tukahama. Walikuwa Wana roho nzuri sana utadhani watu kumbe ni mashetani
Sasa ushetani gani tulifanya mkuu acha mambo yako wewe 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom