Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Ndio mkuu ni broDuh kumbe wewe ni bro?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu ni broDuh kumbe wewe ni bro?
Ukute ni store ya misukule yake, utakomaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mdada mwingine aliamka kajikuta na shahawa na kyupi hana acha atoe mitusi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenye nyumba jau sana!! Halafu nyumba kali ila ina mauza uza balaa
😂😂😂 Kuna siku lilitoka bonge la joka. Vijana wakataka kuliua maza hausi akawahi kulirudisha ndani!!Ukute ni store ya misukule yake, utakomaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uchoyo tu si ungempa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wenye nyumba wengi wachawi sana!! Kuna siku nimetoka kuoga nikawa napaka mafuta, ghafla nikaona mlango unafunguka wenyewe na nilifunga na funguo.!! Nikatulia nione nani anaingia, holaa hakuna mtu.
Siku nyingine nimelala nimevaa kipensi na tshirt, asubuhi nimejikuta niko kichele 🤣🤣🤣
Nikajua labda itakuwa nimejimix nikaanza kuitafuta ile pensi sijaiona, baada ya siku tatu naona mtoto wa mwenye nyumba ananiletea eti alianua kwenye kamba na nguo zao.!! Nikamwambia hiyo nguo una uhakika umeianua kwenye kamba?? Nikaona anaona km aibu, baada ya siku kadhaa akanisimulia story nzito.
Siku nyingine nimerudi nimechoka nimekaa naangalia tv, naona mkono wa skeleton unanifanyia massage dadeq 🤣🤣🤣🤣
Mwisho nilimtolea uvivu mwenye nyumba akanipa notisi.!! Ila baada ya kuomba mzigo nikamwambia ntamwambia mkeo.
Bff unaogopa mbwa?? Mi nawapenda ila sio wale km wa kina sepenga..!!Kuna nyumba moja nilihama kwa sababu ya mbwa wakali
Naogopa sana mbwa mimi
Sasa walikuwa wanafunguliwa usiku
Sometime nachelewa kufika nyumbani au labda nataka nitoke usiku siwezi maana mbwa washafunguliwa...
Mimi nawaogopaaa.....sisogei mahali walipoBff unaogopa mbwa?? Mi nawapenda ila sio wale km wa kina sepenga..!!
Nayapenda yale ya kufukuza wezi na vibaka. Tena kwenye msosi wao nawaambia wawekee na jani la mzee wa Jamaica Bob ili wavurugwe. Na sifugi majike sitaki wajukuu 🤣🤣🤣
Nawapenda askari wangu hawajawahi kuniangusha
We kuweza??🤣🤣🤣🤣Uchoyo tu si ungempa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Pole nyumba yenye mauza mauza nishawahi kukaa Mbezi dadekii kila ikifika saa saba usiku unasikia vikombe vinagongana au mtu anatembe ukutani nilikaa mwezi nikaenda kumkunja dalali arudishe pesa yangu kabla sijageuzwa ndondocha.Wenye nyumba wengi wachawi sana!! Kuna siku nimetoka kuoga nikawa napaka mafuta, ghafla nikaona mlango unafunguka wenyewe na nilifunga na funguo.!! Nikatulia nione nani anaingia, holaa hakuna mtu.
Siku nyingine nimelala nimevaa kipensi na tshirt, asubuhi nimejikuta niko kichele 🤣🤣🤣
Nikajua labda itakuwa nimejimix nikaanza kuitafuta ile pensi sijaiona, baada ya siku tatu naona mtoto wa mwenye nyumba ananiletea eti alianua kwenye kamba na nguo zao.!! Nikamwambia hiyo nguo una uhakika umeianua kwenye kamba?? Nikaona anaona km aibu, baada ya siku kadhaa akanisimulia story nzito.
Siku nyingine nimerudi nimechoka nimekaa naangalia tv, naona mkono wa skeleton unanifanyia massage dadeq 🤣🤣🤣🤣
Mwisho nilimtolea uvivu mwenye nyumba akanipa notisi.!! Ila baada ya kuomba mzigo nikamwambia ntamwambia mkeo.
Mbwa wana vibe wewe!! Nikisafiri nikirudi yanajua yatapiga kelele, kuna siku yalinidandia mpk yakanikatia mkanda wa handbag yangu 😂😂😂Mimi nawaogopaaa.....sisogei mahali walipo
Hiyo nyumba niliishi kwa shida sana...uzuri nilikuwa nasafiri sana nakuwepo kwa nadra
Kwangu sifugi mbwa kabisa najichanga nifunge security system.
Wifi yetu amekufanya nini tena jamani 😞Mkuu Rehema alinichonifanya sina hamu kabisa na kiumbe yeyote aitwae Mwanamke!
Wii nyumba za kupanga jau sana!!Pole nyumba yenye mauza mauza nishawahi kukaa mbezi dadekii kila ikifika saa saba usiku unasikia vikombe vinagongana au mtu anatembe ukutani nilikaa mwezi nikaenda kumkunja dalali arudishe pesa yangu kabla sijageuzwa ndondocha.
Ilibidi nilale na Maiti kwa ajili yake!Wifi yetu amekufanya nini tena jamani 😞
Nyumba nyingi zina maagano ya kishenzi,Madalali huwa wanaelewa kwamba huyu nampeleka kwa wacheketuaji usiku ila wana kausha 😁😁Wii nyumba za kupanga jau sana!!
Au usiku unasikia km mchele unamwagwa juu ya bati.
Madalali ndio sio wa kuwaamini kabisaa!!Nyumba nyingi zina maagano ya kichenzi,Madalali huwa wanaelewa kwamba huyu nampeleka kwa wacheketuaji usiku ila wana kausha 😁😁
Au anakupeleka nyumba ina chumaulete hapo hata ufanyaje hutoboi ukipata pesa matatizo hayo hapo mlangoni 😁😁😁Madalali ndio sio wa kuwaamini kabisaa!!
Anaweza kukupeleka nyumba yenye majini ukakushe damu 😂😂😂
Tena hiyo ndio hatari, hao wa kuchuma pesa sitaki hata kuwasikia 😂😂😂Au anakupeleka nyumba ina chumaulete hapo hata ufanyaje hutoboi ukipata pesa matatizo hayo hapo mlangoni 😁😁😁