Ni vituko gani ulishawahi kufanyiwa na mwenye nyumba wako hadi ukatamani uhame uache Kodi?

Ni vituko gani ulishawahi kufanyiwa na mwenye nyumba wako hadi ukatamani uhame uache Kodi?

Nyumba nyingine nilihama sababu ya mtoto wa mwenye nyumba. Ni mdogo 13 years ananiambia uncle nakupenda nataka uwe my boyfriend. Si unajua hivi vitoto vya English Medium.

Nikaona hapa siku sio nyingi nitaitwa mbakaji. Katoto kuna siku kamekuja ghetto, kanajichekesha chekesha tu, nikakauliza Jacqueline how can I help you? Kakajibu nothing, just close the with a key, I want to sleep with you.

Aisee akili ikaniruka nikasema huyu Mzee wa Kichagga kamtuma mwanawe ili nitolewe kafara?

Kimbembe ikawa namna ya kukaondoa chumbani bila ya kukatimizia ndoto yake.

Nikakapa 10,000 nikakaambia kakalete soda baridi sana tuwe tunakunywa kabla hatujalala.

Kalipotoka, nikafunga mlango nikaondoka nikaanza kurudi usiku mkali,.Hadi nilipopata nyumba ya kuhamia
We jamaa ya kweli hayo huyo mtoto watakuwa wameshamuanzilishia ub**
 
Wenye nyumba wengi wachawi sana!! Kuna siku nimetoka kuoga nikawa napaka mafuta, ghafla nikaona mlango unafunguka wenyewe na nilifunga na funguo.!! Nikatulia nione nani anaingia, holaa hakuna mtu.
Siku nyingine nimelala nimevaa kipensi na tshirt, asubuhi nimejikuta niko kichele 🤣🤣🤣
Nikajua labda itakuwa nimejimix nikaanza kuitafuta ile pensi sijaiona, baada ya siku tatu naona mtoto wa mwenye nyumba ananiletea eti alianua kwenye kamba na nguo zao.!! Nikamwambia hiyo nguo una uhakika umeianua kwenye kamba?? Nikaona anaona km aibu, baada ya siku kadhaa akanisimulia story nzito.
Siku nyingine nimerudi nimechoka nimekaa naangalia tv, naona mkono wa skeleton unanifanyia massage dadeq 🤣🤣🤣🤣

Mwisho nilimtolea uvivu mwenye nyumba akanipa notisi.!! Ila baada ya kuomba mzigo nikamwambia ntamwambia mkeo.
Hii chai masala kudadeki.
 
Wenye nyumba wengi wachawi sana!! Kuna siku nimetoka kuoga nikawa napaka mafuta, ghafla nikaona mlango unafunguka wenyewe na nilifunga na funguo.!! Nikatulia nione nani anaingia, holaa hakuna mtu.
Siku nyingine nimelala nimevaa kipensi na tshirt, asubuhi nimejikuta niko kichele 🤣🤣🤣
Nikajua labda itakuwa nimejimix nikaanza kuitafuta ile pensi sijaiona, baada ya siku tatu naona mtoto wa mwenye nyumba ananiletea eti alianua kwenye kamba na nguo zao.!! Nikamwambia hiyo nguo una uhakika umeianua kwenye kamba?? Nikaona anaona km aibu, baada ya siku kadhaa akanisimulia story nzito.
Siku nyingine nimerudi nimechoka nimekaa naangalia tv, naona mkono wa skeleton unanifanyia massage dadeq 🤣🤣🤣🤣

Mwisho nilimtolea uvivu mwenye nyumba akanipa notisi.!! Ila baada ya kuomba mzigo nikamwambia ntamwambia mkeo.
Kuna kitu umekificha kama imewezekana kukusaula imeshindikanaje kuliwa mpepe
 
Nakumbuka miaka hiyo ndio nimepata kazi benki Fulani, nikapata nyumba Sinza ya mama mtu mzima kijana.

Akanikaribisha sana, hakuwa na noma, nilipokuja kununua flat TV enzi hizo plasma tv ndio zimetoka, hamna cha LCD na LED ni ndoto kabisa, yaani ndio kwanza watu wachache sana tumeamza kujikwamua kutoka kwenye machogo.

Basi yule mama akawa anataka muda wote aje ashinde ghetto kwangu, anavaa nguo very light.

Kuna siku jumamosi nimemaliza kufua, nikasema Leo nijilipie, nikachukua Konyagi kubwa, nikawa na Dodoma wine, kwenye oven kilo mbili za kitimoto zinaokwa taratibu. Mara ghafla mlango unagongwa huku mtu akiingia ndani bila kukaribishwa.

Nilikuwa Niko na boksa tu sikuwa natarajia mgeni, akaniudhi sana. Nikakimbilia taulo, akanifuata akanivua taulo. Nikasimama wima hasira Imenijaa.

Akaanza kujiliza ohh Mimi nakupenda siku zote, wewe unajidai huoni.

Nikamkaripia nikamwambia anikome. Baada ya hapo alianza chuki na visa, nilikaa miezi minne tu nikahama.
Kikao cha wanaume marijali umehudhuria mara ya mwisho lini kijana???🤔
 
Mbwa wana vibe wewe!! Nikisafiri nikirudi yanajua yatapiga kelele, kuna siku yalinidandia mpk yakanikatia mkanda wa handbag yangu 😂😂😂
Siku nyingine natoka asubuhi niende job, kumbe walikuwa hawajayafungia bandani moja likavuta wig nikalifokea likakimbia, ilibidi nirudi tena ndani kulichana upya!! 😂😂😂
😆😆😆😆😆😆 uwiii hapo kwenye wig mie wangenikuta mloganzila...naogopa mbwaaa
 
Wenye nyumba wengi wachawi sana!! Kuna siku nimetoka kuoga nikawa napaka mafuta, ghafla nikaona mlango unafunguka wenyewe na nilifunga na funguo.!! Nikatulia nione nani anaingia, holaa hakuna mtu.
Siku nyingine nimelala nimevaa kipensi na tshirt, asubuhi nimejikuta niko kichele 🤣🤣🤣
Nikajua labda itakuwa nimejimix nikaanza kuitafuta ile pensi sijaiona, baada ya siku tatu naona mtoto wa mwenye nyumba ananiletea eti alianua kwenye kamba na nguo zao.!! Nikamwambia hiyo nguo una uhakika umeianua kwenye kamba?? Nikaona anaona km aibu, baada ya siku kadhaa akanisimulia story nzito.
Siku nyingine nimerudi nimechoka nimekaa naangalia tv, naona mkono wa skeleton unanifanyia massage dadeq 🤣🤣🤣🤣

Mwisho nilimtolea uvivu mwenye nyumba akanipa notisi.!! Ila baada ya kuomba mzigo nikamwambia ntamwambia mkeo.
Rinda halipo hapo aisee
 
Chemba ya choo inajaa kila baada ya wiki 3 hadi 4, kuna siku nyoka akapanda na sink la choo tena nikiwa nataka kukata gogo 😂.
Dah sijui angenidunga ningefunga wapi.

Ukimwambia mwenye nyumba anasema kesho mafundi wanakuja, hawaji na miezi inakatika, nikaona hapa bora nihame. Nikaacha kodi ya miezi 4.
Ukahama baada ya muda gani?
 
😆😆😆😆😆😆 uwiii hapo kwenye wig mie wangenikuta mloganzila...naogopa mbwaaa
Nna rafiki yangu akija anapiga simu kabisa tuwafungie mbwa 😂😂😂😂
Waliwahi kumsindikiza kutoka getini mpk ndani, hana hamu nao🤣

Mwenzio nishavuliwa sana mawig mpk siku niliyomzaba ndo alijua wig halitakiwi kutolewa kichwani 🤣🤣🤣
Ila naipenda mimbwa yangu ina uchizi flani naenjoy sana.!! Kuna mwanaume alikuwa anajifanya jeuri alikuja kwangu nikamsakizia acheze nao, mpaka leo ananimind 🤣🤣🤣
 
Wenye nyumba wengi wachawi sana!! Kuna siku nimetoka kuoga nikawa napaka mafuta, ghafla nikaona mlango unafunguka wenyewe na nilifunga na funguo.!! Nikatulia nione nani anaingia, holaa hakuna mtu.
Siku nyingine nimelala nimevaa kipensi na tshirt, asubuhi nimejikuta niko kichele 🤣🤣🤣
Nikajua labda itakuwa nimejimix nikaanza kuitafuta ile pensi sijaiona, baada ya siku tatu naona mtoto wa mwenye nyumba ananiletea eti alianua kwenye kamba na nguo zao.!! Nikamwambia hiyo nguo una uhakika umeianua kwenye kamba?? Nikaona anaona km aibu, baada ya siku kadhaa akanisimulia story nzito.
Siku nyingine nimerudi nimechoka nimekaa naangalia tv, naona mkono wa skeleton unanifanyia massage dadeq 🤣🤣🤣🤣

Mwisho nilimtolea uvivu mwenye nyumba akanipa notisi.!! Ila baada ya kuomba mzigo nikamwambia ntamwambia mkeo.
Hapo kwenye kipensi hapo, hakika walozi wanafaidi
 
Back
Top Bottom