Ni vituko gani ulishawahi kufanyiwa na mwenye nyumba wako hadi ukatamani uhame uache Kodi?

Ni vituko gani ulishawahi kufanyiwa na mwenye nyumba wako hadi ukatamani uhame uache Kodi?

Nyumba nyingine nilihama sababu ya mtoto wa mwenye nyumba. Ni mdogo 13 years ananiambia uncle nakupenda nataka uwe my boyfriend. Si unajua hivi vitoto vya English Medium.

Nikaona hapa siku sio nyingi nitaitwa mbakaji. Katoto kuna siku kamekuja ghetto, kanajichekesha chekesha tu, nikakauliza Jacqueline how can I help you? Kakajibu nothing, just close the with a key, I want to sleep with you.

Aisee akili ikaniruka nikasema huyu Mzee wa Kichagga kamtuma mwanawe ili nitolewe kafara?

Kimbembe ikawa namna ya kukaondoa chumbani bila ya kukatimizia ndoto yake.

Nikakapa 10,000 nikakaambia kakalete soda baridi sana tuwe tunakunywa kabla hatujalala.

Kalipotoka, nikafunga mlango nikaondoka nikaanza kurudi usiku mkali,.Hadi nilipopata nyumba ya kuhamia
Aisee
 
Ndio. Kukoma ni kuacha kubisa, yaani akae mbali kabisa na Mimi.
Mtoto akikoma kunyonya , anakuwa amefika ukomo hatorudi tena kunyonya.

Mtoto anaweza kuacha Sasa kunyonya, akanyonya tena baadae
Usitumie hayo maneno sasa.Mwisho utasema nikome kama ulivyokoma kunyonya ziwa la mama yako.Mwanaume unatakiwa kusema..."ACHA UPUUZI.SIPENDI HUO UJINGA WAKO"...!
 
Dah sio powa mwanangu ile nyumba ni nzuri sana ila🙌.

Niliishi Kwa miaka miwili bila shida yoyote ghafla tu mwaka wa tatu nikiwa pale shida zikaanza. Kuna matukio matatu yanilitokea
1.Usiku nimezima taa nilale ghafla naona mtu anapita kwenye Kona ya kitanda anaelekea konani nikajua wenge la usingizi nikapotezea,night nipo kwenye usingizi nasikia sufuria zangu zinafunuliwa mezani ukiwasha tochi au taa hausikii kitu ukizima harakati zinaendelea.
2.Niliamka saa 10 usiku kuoga ili niwahi lindo ile natoka nje nakutana na watu wawili wamekaa katikati ya uwanja tunaangaliana mwili ulisisimka kinoma
3.Nilikuta vitu ambavyo sivielewi vimemwagwa mlangoni kwangu yani kitu kama damu/dawa za kienyeji.
Hili tukio la tatu ndio lilinifanya nisepe kabisa pale na hii ni baada ya kuongea vizuri na wazee wa mtaani na kunipa historia kamili ya ile nyumba Kwa undani.
Na kila mpangaji alikua alikutana na vituko vya aina tofauti tofauti Kuna dada mmoja alikua anakuta kinyesi Cha binadamu katikati ya kitanda.
Hali hii imenifundisha kutafuta taarifa muhimu ya sehemu unayotaka kuamia kabla ya kulipa kodi na kuanza kuishi.
Hiyo picha inaonesha kitu nilichokuta kimemwagwa mlangoni
Aisee
 
Kuna nyumba ya kwanza kupanga nilitamani niwahi kujenga coz ndio nimetoka home nakutana na visa nikaona labda nyumba za kupanga zote zipo hivyo.

Kwanza picha linaanza mzee mwenye nyumba kila mwezi anakuja kukagua nyumba anaingia hadi chumbani anakagua kama umetoboa ukuta ni kesi ilikuwa inanikela sana.

Cha pili mimi kazi zangu zilikuwa za kusafili naweza kusafili hata siku mbili sasa kwa usalama nilikuwa naacha taa ya nje inawaka ila nikitoka tu anakuja anafungua taa anaitoa panakua giza nikirudi nakuta taa haipo sasa siku ya kwanza nikajua labda taa wezi wameiba nashaangaa kesho yake nakutana nae ananiuliza umesharudi njoo uchukue taa yako nikamuuliza vipi mzee mbona unatoa taa yangu ananiambia eti taa unaposafiri unaicha wazi inatumalizia umeme wakati pesa ya umeme natoa hata nikiwa nimesafiri umeme ukiisha ananipigia simu kutaka nilipie umeme.
Nilimjibu tu nikiibiwa hapa basi chanzo ni wewe coz taa ndio ulinzi wangu pakiwa giza watu wanajua hakuna mtu hivyo ni rahisi kuibiwa

Swala jingine kama umeacha mlango wazi mzee alikuwa anaingia tu bila hodi ukimuuliza vipi mbona unaingia bila hodi anasema hii ni nyumba yangu.
Unajua gharama niliyotumia kujenga hii nyumba?
ila hakuacha hizo tabia ikabidi nihame tu
Aisee
 
Kuna nyumba ya kwanza kupanga nilitamani niwahi kujenga coz ndio nimetoka home nakutana na visa nikaona labda nyumba za kupanga zote zipo hivyo.

Kwanza picha linaanza mzee mwenye nyumba kila mwezi anakuja kukagua nyumba anaingia hadi chumbani anakagua kama umetoboa ukuta ni kesi ilikuwa inanikela sana.

Cha pili mimi kazi zangu zilikuwa za kusafili naweza kusafili hata siku mbili sasa kwa usalama nilikuwa naacha taa ya nje inawaka ila nikitoka tu anakuja anafungua taa anaitoa panakua giza nikirudi nakuta taa haipo sasa siku ya kwanza nikajua labda taa wezi wameiba nashaangaa kesho yake nakutana nae ananiuliza umesharudi njoo uchukue taa yako nikamuuliza vipi mzee mbona unatoa taa yangu ananiambia eti taa unaposafiri unaicha wazi inatumalizia umeme wakati pesa ya umeme natoa hata nikiwa nimesafiri umeme ukiisha ananipigia simu kutaka nilipie umeme.
Nilimjibu tu nikiibiwa hapa basi chanzo ni wewe coz taa ndio ulinzi wangu pakiwa giza watu wanajua hakuna mtu hivyo ni rahisi kuibiwa

Swala jingine kama umeacha mlango wazi mzee alikuwa anaingia tu bila hodi ukimuuliza vipi mbona unaingia bila hodi anasema hii ni nyumba yangu.
Unajua gharama niliyotumia kujenga hii nyumba?
ila hakuacha hizo tabia ikabidi nihame tu
A
Nilikaa kwenye ile nyumba kumbe mimi pekee ndio nalipa umeme siku nakuja gundua ananambia lazima nilipe yeye hana kazi nilikiwasha siku hiyo🤨
Aisee
 
Dah sio powa mwanangu ile nyumba ni nzuri sana ila🙌.

Niliishi Kwa miaka miwili bila shida yoyote ghafla tu mwaka wa tatu nikiwa pale shida zikaanza. Kuna matukio matatu yanilitokea
1.Usiku nimezima taa nilale ghafla naona mtu anapita kwenye Kona ya kitanda anaelekea konani nikajua wenge la usingizi nikapotezea,night nipo kwenye usingizi nasikia sufuria zangu zinafunuliwa mezani ukiwasha tochi au taa hausikii kitu ukizima harakati zinaendelea.
2.Niliamka saa 10 usiku kuoga ili niwahi lindo ile natoka nje nakutana na watu wawili wamekaa katikati ya uwanja tunaangaliana mwili ulisisimka kinoma
3.Nilikuta vitu ambavyo sivielewi vimemwagwa mlangoni kwangu yani kitu kama damu/dawa za kienyeji.
Hili tukio la tatu ndio lilinifanya nisepe kabisa pale na hii ni baada ya kuongea vizuri na wazee wa mtaani na kunipa historia kamili ya ile nyumba Kwa undani.
Na kila mpangaji alikua alikutana na vituko vya aina tofauti tofauti Kuna dada mmoja alikua anakuta kinyesi Cha binadamu katikati ya kitanda.
Hali hii imenifundisha kutafuta taarifa muhimu ya sehemu unayotaka kuamia kabla ya kulipa kodi na kuanza kuishi.
Hiyo picha inaonesha kitu nilichokuta kimemwagwa mlangoni
Hio nyumba ilikuwa maabara ya vigagula na dalali hawezi sema yeye mradi ale 40 yake ya kodi.
 
Wenye nyumba wengi wachawi sana!! Kuna siku nimetoka kuoga nikawa napaka mafuta, ghafla nikaona mlango unafunguka wenyewe na nilifunga na funguo.!! Nikatulia nione nani anaingia, holaa hakuna mtu.
Siku nyingine nimelala nimevaa kipensi na tshirt, asubuhi nimejikuta niko kichele 🤣🤣🤣
Nikajua labda itakuwa nimejimix nikaanza kuitafuta ile pensi sijaiona, baada ya siku tatu naona mtoto wa mwenye nyumba ananiletea eti alianua kwenye kamba na nguo zao.!! Nikamwambia hiyo nguo una uhakika umeianua kwenye kamba?? Nikaona anaona km aibu, baada ya siku kadhaa akanisimulia story nzito.
Siku nyingine nimerudi nimechoka nimekaa naangalia tv, naona mkono wa skeleton unanifanyia massage dadeq 🤣🤣🤣🤣

Mwisho nilimtolea uvivu mwenye nyumba akanipa notisi.!! Ila baada ya kuomba mzigo nikamwambia ntamwambia mkeo.
Kumbe ujanja wote uliliwa kitamaduni na mwenye mjengo😁😁😁
 
😂😂😂 Kuna siku lilitoka bonge la joka. Vijana wakataka kuliua maza hausi akawahi kulirudisha ndani!!
Sema mimi nilikuwa jeuri siwaogopi nilikuwa nawapasha ebooh..!! Kodi nitoe halafu unisumbue?? Nawatishaga mi mkinga sirogeki 🤣🤣🤣
Kwa ujasiri huo hukosi chale hadi za mnduku wewe 😂 mkinga ni mkinga tu!
 
Kuna mzee mmoja wa kizaramu nilipanga kwake, Akiwa hana hela ya pombe anakuja kunisumbua alafu kibabe mara niwe nawai kurudi mara, oohh sitaki wauni kwangu mara sitaki kuona mwanamke kwangu. kuna siku alikamatwa na polisi kwenye ubanda wa gongo alikaa siku tatu kituoni Alivyo toka akaja kunizingua kwa nini sijaenda kumuangalia
kituoni. akarusha Kofi Nika kwepa Aisee nilimpa kichapo mpaka niliua. Kesi ilinisumbua Ila nashukuru imeisha vizuri.
Aisee.
 
😂😂😂 Kuna siku lilitoka bonge la joka. Vijana wakataka kuliua maza hausi akawahi kulirudisha ndani!!
Sema mimi nilikuwa jeuri siwaogopi nilikuwa nawapasha ebooh..!! Kodi nitoe halafu unisumbue?? Nawatishaga mi mkinga sirogeki 🤣🤣🤣
Kwa ujasiri huo hukosi chale hadi za mnduku wewe 😂 mkinga ni mkinga tu
Madalali ndio sio wa kuwaamini kabisaa!!
Anaweza kukupeleka nyumba yenye majini ukakushe damu 😂😂😂
kikubwa mwezi mmoja uwepo tu.
 
Maza mmoja mpika vitumbua rafiki yangu kipenzi.
Ye asubuhi 12 utamkuta nje anapika vitumbua. Sa nne kamaliza kazi.
Sasa mimi hiyo ndo mida narudi nna take away kipochi manyoya.
Maza ananiona na lazima tuonane kila nikiigia anapika vitumbua vyake kibarazani.
Vinaingia vi5 kwa siku.

Mi nikaanza kuona soo.
Kumbe maza mwenyewe msela tu.
Kasema wapelekee moto tu.
Maza badae kanipa master plan,tuweke komeo la kufuli pale mlangoni
Mi nikiwa ndani nagonga ye anafunga na kufuli nje.
Maana pale mademu walikua hawakauki na hamna mawasiliano.
Sasa maza atawajibu tu kasafiri huyo.
Huku nakula mbususu ndani huko😅😅😅.
Yule maza km kafariki maua yake apewe.
Anyway niliacha kodi kiroho safi sio kwa ubaya kabisa nilikua napotea duniani.
 
Nna rafiki yangu akija anapiga simu kabisa tuwafungie mbwa 😂😂😂😂
Waliwahi kumsindikiza kutoka getini mpk ndani, hana hamu nao🤣

Mwenzio nishavuliwa sana mawig mpk siku niliyomzaba ndo alijua wig halitakiwi kutolewa kichwani 🤣🤣🤣
Ila naipenda mimbwa yangu ina uchizi flani naenjoy sana.!! Kuna mwanaume alikuwa anajifanya jeuri alikuja kwangu nikamsakizia acheze nao, mpaka leo ananimind 🤣🤣🤣
Ukorofi huo😂 mi siwezi kuja kwako kama unafuga mijibwa. Hell no!!!
 
Maza mmoja mpika vitumbua rafiki yangu kipenzi.
Ye asubuhi 12 utamkuta nje anapika vitumbua. Sa nne kamaliza kazi.
Sasa mimi hiyo ndo mida narudi nna take away kipochi manyoya.
Maza ananiona na lazima tuonane kila nikiigia anapika vitumbua vyake kibarazani.
Vinaingia vi5 kwa siku.

Mi nikaanza kuona soo.
Kumbe maza mwenyewe msela tu.
Kasema wapelekee moto tu.
Maza badae kanipa master plan,tuweke komeo la kufuli pale mlangoni
Mi nikiwa ndani nagonga ye anafunga na kufuli nje.
Maana pale mademu walikua hawakauki na hamna mawasiliano.
Sasa maza atawajibu tu kasafiri huyo.
Huku nakula mbususu ndani huko😅😅😅.
Yule maza km kafariki maua yake apewe.
Anyway niliacha kodi kiroho safi sio kwa ubaya kabisa nilikua napotea duniani.
Maza alikuwa baharia😂
 
Maza mmoja mpika vitumbua rafiki yangu kipenzi.
Ye asubuhi 12 utamkuta nje anapika vitumbua. Sa nne kamaliza kazi.
Sasa mimi hiyo ndo mida narudi nna take away kipochi manyoya.
Maza ananiona na lazima tuonane kila nikiigia anapika vitumbua vyake kibarazani.
Vinaingia vi5 kwa siku.

Mi nikaanza kuona soo.
Kumbe maza mwenyewe msela tu.
Kasema wapelekee moto tu.
Maza badae kanipa master plan,tuweke komeo la kufuli pale mlangoni
Mi nikiwa ndani nagonga ye anafunga na kufuli nje.
Maana pale mademu walikua hawakauki na hamna mawasiliano.
Sasa maza atawajibu tu kasafiri huyo.
Huku nakula mbususu ndani huko😅😅😅.
Yule maza km kafariki maua yake apewe.
Anyway niliacha kodi kiroho safi sio kwa ubaya kabisa nilikua napotea duniani.
Mihuni miwili mlikutana.
 
Kuna mzee mmoja wa kizaramu nilipanga kwake, Akiwa hana hela ya pombe anakuja kunisumbua alafu kibabe mara niwe nawai kurudi mara, oohh sitaki wauni kwangu mara sitaki kuona mwanamke kwangu. kuna siku alikamatwa na polisi kwenye ubanda wa gongo alikaa siku tatu kituoni Alivyo toka akaja kunizingua kwa nini sijaenda kumuangalia
kituoni. akarusha Kofi Nika kwepa Aisee nilimpa kichapo mpaka niliua. Kesi ilinisumbua Ila nashukuru imeisha vizuri.
😂😂😂😂😂😂 kwahio umesolve kero kwa kumuua mwenye nyumba.
 
Back
Top Bottom