Ni viumbe 2 tu wanafanya ngono mojawapo ya starehe duniani

Ni viumbe 2 tu wanafanya ngono mojawapo ya starehe duniani

Si ajabu kwa sababu hao viumbe kwa mujibu wa vitabu vya dini walikuwa watu wakageuzwa kuwa manyani na nguruwe I ndio maana wanafanana kwa tibia na watu
 
Kwa taarifa yako hakuna mnyama anaeinjoy sex kama nguruwe,anapofika kileleni inachukua dakika thelethini akisikilizia utamu tuuuu......wakati binadamu huwa haizidi sekunde 30 na hebu fikiria raha unayokuwaga unaipata!Just imagine binadamu wangekuwa wanakaa dakika 30 nzima wakielea tu hewani kileleni ingekuwaje?Si watu wangekuwa mazuzu au wangekufa kabisa!
 
Yuko sahihi japo watu wa wildlife wanasema na nyani pia. Mbwa ni for reproduction only, na ndio maana hapandwi akiwa hayuko kwenye heat, mbuzi halikadhali.
Mkuu wanyama ambao hufanya ngono kama starehe ni Binadamu, na pomboo
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hajanifundisha ila namkumbuka na nakumbuka zaidi mwondoko wake, ulikua unamsaidia sana kukamata walioungia na vibomu kipindi cha UE
 
Back
Top Bottom