KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Ina maana jogoo anavyomkimbiza kuku jike mtaa mzima....ni kwa ajili ya kuzaliana tu....
Mimi nakataa
Lazima kuna kitu kinamnyevua tu na sio kingine bali ni genye.....
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mimi nakataa
Lazima kuna kitu kinamnyevua tu na sio kingine bali ni genye.....
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums