Ni viumbe 2 tu wanafanya ngono mojawapo ya starehe duniani

Ni viumbe 2 tu wanafanya ngono mojawapo ya starehe duniani

then kwa utafiti huu stil watu bado wanaendelea kumla??
Kweli kipenda roho..

unajua maana ya utafiti wewe?na hata kama ingekuwa hivyo wajua there is nothing in human body full of micro-organisms than a vagina na still unaloweka na chumvini unaenda!!!!wacha watu wale kitimoto we mtoto!!
 

unajua maana ya utafiti wewe?na hata kama ingekuwa hivyo wajua there is nothing in human body full of micro-organisms than a vagina na still unaloweka na chumvini unaenda!!!!wacha watu wale kitimoto we mtoto!!



eti mtoto,,
sijui unatumia vigezo vipi
by the way,sijakukataza kula huyo mdudu
ni haki yako ww na maisha yako
usitokwe na povu lisilo na sababu za msingi
 
Mkuu pole sana!! pole mkuu!!uwe na amani kama nimekusababishia usumbufu wowote ambao haukustahili.
umetoka nje ya hoja,full mapovu hata ueleweki!!!!!nini hoja yako?nyama ya nguruwe?heat period ya nguruwe au?mnyukano wa kizota unakusumbua!!!
 
Yuko sahihi japo watu wa wildlife wanasema na nyani pia. Mbwa ni for reproduction only, na ndio maana hapandwi akiwa hayuko kwenye heat, mbuzi halikadhali.

aaaa wee nenda vingunguti soko la mbuzi. kajishuhudie mwenyewe dume kwa dume mbuzi wanavyo nanihiliana..... nimeshaona kwa macho yangu si chini ya mara tatu..... utasemaje halikadhalika....
 
Ulikuwa kozi gani na ni mwalimu wa nini?
Unataka kuniambia anawaacha Wasuaso wanaotaka alama (marks) za vyupi?
Ingawa inaweza kuwa kweli lakini NGUMU KUMESA>

Bazazi
Bazazi nilikuwa BSc Agric general nilimaliza 2007 alikuwa anatufundisha soil chemistry jamaa ni mjima kweli huwezi amini hadi leo ana gari 1 tu landrover 109 na linaendeshwa na mkewe tu alikuwa mwl wangu wa special project
 
I think prof is right coz it is proved, chimps and the like do it but only when they are in their periods!
 
Mkuu umenikumbusha Mwl wang Prof J.P. Mrema pale SUA alituambia class namnukuu "I hate sex i have done it very rarely and only for reproduction purpose" akatuacha hoi .........!!!!

Ahahahahaaaaa, huyo prof. namkumbuka sana make alikuwa anastory kali kweli class na ule mwondoko wake wa kuchechemea/kunyatia anasema, "Guys, i walk this way because i don't want to disturb the soil structure'
 
Ahahahahaaaaa, huyo prof. namkumbuka sana make alikuwa anastory kali kweli class na ule mwondoko wake wa kuchechemea/kunyatia anasema, "Guys, i walk this way because i don't want to disturb the soil structure'

Ahahaaaaaa academic advisor wangu mweeeee
 
Katika mazungumzo yangu ya kawaida tu,nimekutana na prof wa biology,katika kuongea hapa na pale akanieleza unajua katika viumbe vyote vilivyopo duniani hapa ni BINADAMU NA DOLPHIN tu ndio huwa wanaigeuza purposely ngono kuwa starehe,viumbe vingine vyote ni purposely for reproduction!!!!Sasa kuna ukweli katika hili?na kama kuna ukweli ni kwa nini viumbe hivi vilifikia huko kuifanya starehe na reproduction kutokea ndani ya starehe na si vingine vinavyokutana purposely for reproduction?
Yaah nadhani hilo alilokueleza prof halina ubishi, lakini vipi kuhusu hawa sokwe wa jamii ya Bonobo mbona wao wanapiga ngono mwanzo mwisho yaani wanajiachia kuzidi maelezo? Tena nasikia hao Bonobo ndio mabinamu wa karibu wa binadamu huko msituni, je hawawezi nao wakawa ni wamojawapo wa kufanya ngono kuwa starehe?
 
Mkuu umenikumbusha Mwl wang Prof J.P. Mrema pale SUA alituambia class namnukuu "I hate sex i have done it very rarely and only for reproduction purpose" akatuacha hoi .........!!!!
He is either joking or he needs help( treatment)
 
ni vigumu kuamini kama ulikuwa kweli kwenye mazungumzo na profesa ama kuwa uliamini yeye ni profesa, maana hapa sijui unalotafuta zaidi ya kufurahisha genge
 
Mkuu umenikumbusha Mwl wang Prof J.P. Mrema pale SUA alituambia class namnukuu "I hate sex i have done it very rarely and only for reproduction purpose" akatuacha hoi .........!!!!

Do not 'pick' each 'word' from Professors. They are and only remain human beings.
 
Duuh yanalawitiana?kazi kwelikweli kwa wala nguruwe, hio tu inaonesha ni jinsi gani ni mnyama asiefaa
 
kazi ipo wallahi! hili tendo ni kiboko, linawehusha mpaka wanyama!
 
Huo utafiti ulifanyika lini, unaendelea au ndio umefikia kikomo, hatuwezi kujua wanyama huwa wanajisikaje wanapofanya ngono, huwezi kuongea na mnyama. Kwangu huo utafiti ni nadharia tu na wala sio ukweli au uhalisia.

Hiyo starehe inayopatikana kwenye ngono ni kwa viumbe wa kiume tu au na wakike.
Kama wanafanya kwa ajili ya reproduction, mbwa wanaofanya ngono na wanawake (binadamu) wana produce nini? Wadau wengi hapa wamechangia kuwa wameshawahi shuhudia ngurue, mbuzi wanaume wakifanya ngono wao kwa wao, hiyo nayo ni for reproduction purpose na huo utafiti unaliongeleaje hilo?
 
Lol ... Kama binadamu wangepigwa stop ya kufanya kwa ajili ya starehe..

Basi population ingetisha lol...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom