Ni vyakula gani vinafaa kuliwa unapokuwa kwenye break up?

Ni vyakula gani vinafaa kuliwa unapokuwa kwenye break up?

Uzi huu, Unafikirisha Sana, Yaan tuachane tu nibague msoi hapana ila Kama huwez kula wewe kamata mlenda na ugali wa muhogo hata Kama Hutaki kumeza wenyewe utashuka tu
 
Break up ya kwanza ilikua chakula hakishuki, nilikunywa maziwa tu yan nabadilisha asubuhi fresh jioni mtindi mchana napiga desh. Nilikonda jaman. Huyo mkaka nikimuona now najishangaa nilimpendea nini 😤🤮
 
Juzi kati hapa nilichezea cha mbavu kutoka kwa binti mmoja wa kimbulu kidogo mtu mzima nitoe chozi la uchungu. Safari ya kwenda kwa Biden kidogo imepunguza maumivu 😬😬
 
Mimi nilimpiga kibuti moja matata sana!sasa chakushangaza nikaanza kuteseka mimi![emoji23]mwezi wa kwanza,wa pili nazidi tu kukonda!nikamu unblock sasa ndio nikaanza kuumia zaidi full status kwenye WhatsApp!nahisi aliniendea kwa babu mjinga yule!kila Niki move on najihisi tu bado nipo single [emoji23]nikaona chakufia nini!?Ex ni mpenzi aliyezubaa akichangamka nafasi yake ipo pale pale!
 
Uji wako wa ulezi paaap
Hindi lako moja la kuchoma unalikamulia limao kwelii kama unampaka huyo ex wako hilo limao
Unashushia na juisi ya miwa ya 2000
Safi hapo yani hadi unaweza jikuta unahisi upo stage ya mtongozo ex akashangaaa sms za mtongozo na wakati umemfumania
😂😂😂😂
 
Kachumbari yenye mbilimbi , pilipili na malimao kwa wingi.
 
Haya malove yanatesa watu sana! Binadamu ni kiumbe complex sana mbona akina njiwa wakioana hawaaachani[emoji849]
 
Back
Top Bottom