Ni vyakula gani vinaongeza shawaha haraka na husaidia sperms ziwe zimekomaa?

Kitokororo255

Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
29
Reaction score
12
Sitaelezea zaidi hapo wadau mwenye jibu naomba majibu ili niongeze madini kichwani.....
 
Zinc madin ambayo ni kiungo muhim sana kwenye eneo hilo,kwahyo kula vyakula vyenye zinc nyingi,.google vyakula vyenye zinc nying ule,.
 
1 Kula Nazi (ina mafuta na protini)

2Mbegu za maboga (ina mafuta na protine )

3Miyogo mibichi (ina wanga hivyo itakutia afya na nguvu )

4Karanga mbichi (zina mafuta na protini) hapo ukipata zile karanga nyekundu zenye punje ndogo usichukuwe punge kubwa zinakinaisha

5 matunda ya ndiz mbivu na parachichi ni mazuri zaid

Ukiangalia mbegu zote zina mafuta na protini zinasaidia sana ktk uzalishaji wa seli na kusisimuwa na kukuza misuli ya mwili
Tukumbuke katika shahawa na manii kuna kiwango kikubwa cha protini hivyo basi ubora na wingi wake utategemeana sana na ulaji wako wa vyakula vya protini , wanga na vyenye glukosi

Ebu jalibu kula hivyo au baadhi kwa siku tatu mpaka wiki kisha kajitasmini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula Katanga,samaki wenye minofu,bamia,nyanyachungu,ugali dona,maziwa etc kwajumla kula protein nyingi kuliko wanga pia kabla ya show uwe umeshiba siyo unashindia maji tu ila Karanga nyoko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…