Ni vyema Katiba Mpya ikaelekeza kuwa Rais anapofariki akiwa madarakani Bunge livunjwe na tuingie kwenye uchaguzi huku nchi ikiwa chini ya Jeshi

Ni vyema Katiba Mpya ikaelekeza kuwa Rais anapofariki akiwa madarakani Bunge livunjwe na tuingie kwenye uchaguzi huku nchi ikiwa chini ya Jeshi

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Kipengele cha katiba kinachosema Rais akifariki madarakani basi makamu wake ataapishwa kuwa Rais tunaomba kibadilishwe.. Rais akifariki uchaguzi ufanywe upya

Gesi kwenda Kenya mbona Kama umepigwa.

JPM angepewa hilo jengo ungesikia " nimerigawa kwa wananchi ritatumika kama hospital ya waja wazito..waziri Wa sheria njoo hapa, Waziri wa Afya njoo hapa .. Tunasaini hapa hapa tunamalizana "

Miss you Daddy 😭😭
 
Garama zote izo za Nini kuvunja bunge na kurudia uchaguzi.misiafiki Hilo swala pesa zitumike kwa Mambo mengine
 
Usiombe Nchi kutawaliwa na kitu kinachoitwa Jeshi hata kwa Sekunde Moja,Ni majanga.
Jeshi hawakutrainiwa kutawala raia,kila siku utashuhudia watu wakishutiwa hadharani.
Raia hawezi kupokea amri za kijeshi,na Jeshi haliko tayari kudharauliwa na raia mwisho wake Ni Shaba tu.
Jeshi kwao hakuna Siasa ni amri tu.

KimsingiTaasisi iliyofundishwa kudili na raia Ni Polisi sio Jeshi.
Na bahati mbaya Jeshi linadharau hata Polisi.
Jeshi linawaita Polisi Ni Raia wenye unifomu.
 
Mataga banaaa wanaweweseka haswaaa hakuna uchaguzi kwa pesa ipi kupoteza bure pesa kisa sukuma gang wanaweweseka ndio tubadili katiba kujipa mzigo wa bure ? Mkubali kuwa kazi ya Mungu.....
 
Kipengele cha katiba kinachosema Rais akifariki madarakani basi makamu wake ataapishwa kuwa Rais tunaomba kibadilishwe.. Rais akifariki uchaguzi ufanywe upya

Gesi kwenda Kenya mbona Kama umepigwa
JPM angepewa hilo jengo ungesikia " nimerigawa kwa wananchi ritatumika kama hospital ya waja wazito..waziri Wa sheria njoo hapa, Waziri wa Afya njoo hapa .. Tunasaini hapa hapa tunamalizana "

Miss you Daddy 😭😭😭
Uho mzoga wenu jpm ushaozeane uko chini ya ardhi,, dikteta aliivuruga sana hii nchi,, Sasa tuna kazi ya kuhakikisha tunadili na misukule yake
 
Kipengele cha katiba kinachosema Rais akifariki madarakani basi makamu wake ataapishwa kuwa Rais tunaomba kibadilishwe.. Rais akifariki uchaguzi ufanywe upya

Gesi kwenda Kenya mbona Kama umepigwa
JPM angepewa hilo jengo ungesikia " nimerigawa kwa wananchi ritatumika kama hospital ya waja wazito..waziri Wa sheria njoo hapa, Waziri wa Afya njoo hapa .. Tunasaini hapa hapa tunamalizana "

Miss you Daddy 😭😭😭
Nina hakika makamu wa rais wa awamu ya tano angekuwa anatokana SG usingeleta uzi huu. Kwanini hukuuleta kabla daddy wako hajaondoka tukuone mzalendo kweli. Mwacheni mama arekebishe nchi hii iliyoharibiwa
 
... ndio fahamu zinawajia saa hizi? Mlivyokuwa mnapitisha hiyo katiba kwa "wingi wenu" hamkuliona hilo? Hamkujua VP is a president on the waiting? Mnapendekeza mgombea mwenza kwa "kuropoka tu" siyo? Bila kuitazama kesho? Au ndio katiba kwa "manufaa ya chama chetu"?

In short katiba ya sasa ina mambo mengi ya hovyo sio hilo ulilogusia peke yake; mambo mengi yanatakiwa kufumuliwa. Mfano, from nowhere akina Ndugai nao wamepata upenyo wa kujiwekea "kinga ya kutoshtakiwa"! Amkeni enyi watu nchi inaenda harijojo linapokuja suala la katiba na sheria ni za hovyo haijapata kutokea!

Anyway, kwa sasa Mungu kaamua Mama Samia ndiye Rais na historia imeandikwa haitofutika!
 
Kipengele cha katiba kinachosema Rais akifariki madarakani basi makamu wake ataapishwa kuwa Rais tunaomba kibadilishwe.. Rais akifariki uchaguzi ufanywe upya

Gesi kwenda Kenya mbona Kama umepigwa
JPM angepewa hilo jengo ungesikia " nimerigawa kwa wananchi ritatumika kama hospital ya waja wazito..waziri Wa sheria njoo hapa, Waziri wa Afya njoo hapa .. Tunasaini hapa hapa tunamalizana "

Miss you Daddy 😭😭😭
Naambiwa upo karibu kujaa kwenye 18...we mnyarwanda mambo ya Tanzania yanakuhusu nini,kufa umfuate mnyarwanda mwenzio
 
Nina hakika makamu wa rais wa awamu ya tano angekuwa anatokana SG usingeleta uzi huu. Kwanini hukuuleta kabla daddy wako hajaondoka tukuone mzalendo kweli. Mwacheni mama arekebishe nchi hii iliyoharibiwa
Alitaka makamu wa Raisi awe msukuma au mnyarwanda mwenzao
 
Kipengele cha katiba kinachosema Rais akifariki madarakani basi makamu wake ataapishwa kuwa Rais tunaomba kibadilishwe.. Rais akifariki uchaguzi ufanywe upya

Gesi kwenda Kenya mbona Kama umepigwa
JPM angepewa hilo jengo ungesikia " nimerigawa kwa wananchi ritatumika kama hospital ya waja wazito..waziri Wa sheria njoo hapa, Waziri wa Afya njoo hapa .. Tunasaini hapa hapa tunamalizana "

Miss you Daddy 😭😭😭

Pole sana mwana mkiwa. Wengi maishani humu tumeupitia ukiwa. Kwa hilo la kufiwa mzazi wako tunakuelewa. Si zaidi ya hapo.

"Kifo, kifo. Kifo ni kiboko yao." - Ramadhani Mtoro Ongara.
 
Kipengele cha katiba kinachosema Rais akifariki madarakani basi makamu wake ataapishwa kuwa Rais tunaomba kibadilishwe.. Rais akifariki uchaguzi ufanywe upya

Gesi kwenda Kenya mbona Kama umepigwa
JPM angepewa hilo jengo ungesikia " nimerigawa kwa wananchi ritatumika kama hospital ya waja wazito..waziri Wa sheria njoo hapa, Waziri wa Afya njoo hapa .. Tunasaini hapa hapa tunamalizana "

Miss you Daddy [emoji24][emoji24][emoji24]
Mtaugua sana mpaka sasa hamjamaliza msiba mfuateni kaburini

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Kipengele cha katiba kinachosema Rais akifariki madarakani basi makamu wake ataapishwa kuwa Rais tunaomba kibadilishwe.. Rais akifariki uchaguzi ufanywe upya

Gesi kwenda Kenya mbona Kama umepigwa
JPM angepewa hilo jengo ungesikia " nimerigawa kwa wananchi ritatumika kama hospital ya waja wazito..waziri Wa sheria njoo hapa, Waziri wa Afya njoo hapa .. Tunasaini hapa hapa tunamalizana "

Miss you Daddy [emoji24][emoji24][emoji24]
We chizi vipi?

Huyo jpm wako ndie kamujengea hilo jengo huyo Kikwete. Kama asingefariki,ndie angemkabidhi. Sasa hayo mauongo yako unatuletea kwa lengo gani? Umekosa hoja za kumsifia huyo dikteta wako unaanza kutunga mauongo?
 
Bor
Kipengele cha katiba kinachosema Rais akifariki madarakani basi makamu wake ataapishwa kuwa Rais tunaomba kibadilishwe.. Rais akifariki uchaguzi ufanywe upya

Gesi kwenda Kenya mbona Kama umepigwa
JPM angepewa hilo jengo ungesikia " nimerigawa kwa wananchi ritatumika kama hospital ya waja wazito..waziri Wa sheria njoo hapa, Waziri wa Afya njoo hapa .. Tunasaini hapa hapa tunamalizana "

Miss you Daddy 😭😭😭
Rais akifariki jaji Mkuu aongoze nchi ndani ya siku 30 kisha uchaguzi uitishwe.
 
Back
Top Bottom