Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Kipengele cha katiba kinachosema Rais akifariki madarakani basi makamu wake ataapishwa kuwa Rais tunaomba kibadilishwe.. Rais akifariki uchaguzi ufanywe upya
Gesi kwenda Kenya mbona Kama umepigwa.
JPM angepewa hilo jengo ungesikia " nimerigawa kwa wananchi ritatumika kama hospital ya waja wazito..waziri Wa sheria njoo hapa, Waziri wa Afya njoo hapa .. Tunasaini hapa hapa tunamalizana "
Miss you Daddy 😭😭
Gesi kwenda Kenya mbona Kama umepigwa.
JPM angepewa hilo jengo ungesikia " nimerigawa kwa wananchi ritatumika kama hospital ya waja wazito..waziri Wa sheria njoo hapa, Waziri wa Afya njoo hapa .. Tunasaini hapa hapa tunamalizana "
Miss you Daddy 😭😭