Magufuli alizaliwa na kuikuta Tanganyika hadi imebadilika Tanzania !
Amezaliwa kaikuta nchi ina hospitali,reli madaraja na vingine vingi....
Na hata ameondoka ameviacha na wapo watakuja wengi zaidi yake hii ndio law of nature...
MATAGA mlianza kwenye Denial Stage baada ya msiba mtaenda Pain and Guilt mtaingia bargaining , depression mwisho mtamalizia na acceptance!
Yataka moyo vumilieni tu upepo ndio ushabadilika , mrija wa posho za buku 7 Lumumba umekatwa aliyeingia hapendi misifa yatima mnatupiwa virago nje ya nyumba ya urithi mkajitafutie maisha mapya ! poleni MATAGA
Amezaliwa kaikuta nchi ina hospitali,reli madaraja na vingine vingi....
Na hata ameondoka ameviacha na wapo watakuja wengi zaidi yake hii ndio law of nature...
MATAGA mlianza kwenye Denial Stage baada ya msiba mtaenda Pain and Guilt mtaingia bargaining , depression mwisho mtamalizia na acceptance!
Yataka moyo vumilieni tu upepo ndio ushabadilika , mrija wa posho za buku 7 Lumumba umekatwa aliyeingia hapendi misifa yatima mnatupiwa virago nje ya nyumba ya urithi mkajitafutie maisha mapya ! poleni MATAGA