Ni vyema kuwa na busara kuliko kutumia lugha chafu

Ni vyema kuwa na busara kuliko kutumia lugha chafu

Hold on

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2023
Posts
482
Reaction score
1,126
Good night

Kuna baadhi ya member humu mnatukana watu vibaya mno ukija kufwatilia Pole pole unakuta mtu anae kutukana au anae mtukana mwezie ni wakumuonea huruma sana hajui pesa inavyo tafutwa wembe tu wa kunyolea kwapa anaomba kwa mama au anasubiri atumwe dukani abanie chenji ndio asafishe kwapa

Nivyema kuwa na busara kuliko kutumia lugha chafu hasa wanachuo humu wanachuo ndio wanaongoza kwa matusi vyuo vikifungwa jf inakuwa uwanja wa vita mtu ana amka jf ana lala jf
 
Good night

Kuna baadhi ya member humu mnatukana watu vibaya mno ukija kufwatilia Pole pole unakuta mtu anae kutukana au anae mtukana mwezie ni wakumuonea huruma sana hajui pesa inavyo tafutwa wembe tu wa kunyolea kwapa anaomba kwa mama au anasubiri atumwe dukani abanie chenji ndio asafishe kwapa

Nivyema kuwa na busara kuliko kutumia lugha chafu hasa wanachuo humu wanachuo ndio wanaongoza kwa matusi vyuo vikifungwa jf inakuwa uwanja wa vita mtu ana amka jf ana lala jf
Mbaya zaidi matusi ya kuandika hayafutiki kabisa. Yatawafuata watukanaji ata siku wanakufa kama vile matendo mema yanavyowafuata watu wema.
 
Back
Top Bottom