Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatufugi sisi😂Wewe kutwa nzima upo jf kwanini usisaidie wazee kuchunga mbuzi
we hutaki ajira huko?Hasa wale jamaa wanaotetea DP WORLD
Usiku mwemaMkuu umetuingiza na wengine tunaolipia store zetu 😁😁
Matusi na kipato cha mtu havihusiani ila ni tabia ya mtu tu. Kuna watu wana maisha lakini wana lugha chafu na kuna wengine kama kina sisi, maisha ya kawaida Ila lugha ya matusi hatujaizoea
nadhani imefikia kutumia matusi kwasababu watu hawasikii, na hawana mpango wa kurudi nyuma. huu mkataba utawatafuna hadi uchaguzi upite na maisha yao yooote watatafunwa na huu mkataba. utawanyima usingizi na siku watanganyika wakiamka, hao waliouza nchi yetu pamoja na watoto wao watatafutwa mtaa kwa mtaa na kunyang'anywa mali, hata kama watakuwa wamekimbilia nchini kwao zanzibar.Good night
Kuna baadhi ya member humu mnatukana watu vibaya mno ukija kufwatilia Pole pole unakuta mtu anae kutukana au anae mtukana mwezie ni wakumuonea huruma sana hajui pesa inavyo tafutwa wembe tu wa kunyolea kwapa anaomba kwa mama au anasubiri atumwe dukani abanie chenji ndio asafishe kwapa
Nivyema kuwa na busara kuliko kutumia lugha chafu hasa wanachuo humu wanachuo ndio wanaongoza kwa matusi vyuo vikifungwa jf inakuwa uwanja wa vita mtu ana amka jf ana lala jf
leta kalamu na karatasiWataje
Ukitupa jiwe gizani na ukisikia mtu analia ujue jiwe limempata. Pole sanaGood night
Kuna baadhi ya member humu mnatukana watu vibaya mno ukija kufwatilia Pole pole unakuta mtu anae kutukana au anae mtukana mwezie ni wakumuonea huruma sana hajui pesa inavyo tafutwa wembe tu wa kunyolea kwapa anaomba kwa mama au anasubiri atumwe dukani abanie chenji ndio asafishe kwapa
Nivyema kuwa na busara kuliko kutumia lugha chafu hasa wanachuo humu wanachuo ndio wanaongoza kwa matusi vyuo vikifungwa jf inakuwa uwanja wa vita mtu ana amka jf ana lala jf
Namba 5 usijaribu kabisaNgoja nitengeneze ID niite
1.SSH
2.J.K
3Nape
4.Zito
5.Mwigulu
7.Tulia
8.Ridhiwani
Sijui ipi nitatukanwa sana
Mimi?we hutaki ajira huko?