Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hao wanaomwona kuwa ni jembe ndio ninaowaita wapumbavuWenzio hawaoni kama ni drama... wanaona anafanya matendo yaliyotukuka kuwatumikia wananchi... imefikia hata wengine kuona eti anafaa kuwa PM au hata Rais... kwa sababu eti ana uthubutu wa kuwahoji vingozi hata mawaziri hadharani...
... anyway time will tell...
Je kuna tofauti yoyote kati ya wewe na Bashite?Bwana we Makonda ni jasiri ndugu yangu hiyo ndio sifa pekee inayofanya awe hivyo simu mtapigiwa na mtapokea. Ngoja nilale kama hutaki kupigiwa simu chapa kazi.
Saa nane hii? Usiku huu? Nasubiri wachawi waje kunichukua nikawalimie kitambi kipungueNarudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".
Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.
Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Makonda ndiyo mdomo na macho ya chama ni halali kwake kupita mitaani kuona ilani inatekelezwa?, na wananchi wanauonaje utekelezaji wa serekali yao,ikiwamo kuhoji pale palipokwama alimradi watanzania kero zao zinaondoka,kwa utaratibu wa Makonda The failure ministries must cry-out .Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".
Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.
Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Wewe usiye mjinga nini kinakuwasha usiku huu kumfatilia Makonda?Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".
Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.
Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Unakijua chama kinacho simamia serikali ?hivi msimamizi na anaye simamiwa nani mwenye mamlaka?unafikiri mawaziri ni wajinga kabisaa kumsikiliza makonda na wanapenda kuhojiwa na mtu asiye na mamlaka?wewe ndio unazo akili kuliko mawaziri wote wanaosimama na kujibu maswali na hoja za ndg.Makonda? Ukimaliza kujibu hayo jifunze kunyamaza ujuaji usio na faida haukufikishi popote.Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".
Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.
Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
waerevu wamezidiwa mambo mengi sana na huyu mjamaa,Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".
Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.
Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Siku zote mjinga yeyote hucheza na Wajinga wenzakeNarudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".
Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.
Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Sawa sawa sisi tulio wengi ni wapumbavu sana!! Nyie wawili watatu ndio wenye akili!!Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".
Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.
Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Kalewa Konyagi huyu mpumbavu!!Unakijua chama kinacho simamia serikali ?hivi msimamizi na anaye simamiwa nani mwenye mamlaka?unafikiri mawaziri na wajinga kabisaa kumsikiliza makonda na wanapenda kuhojiwa na mtu asiye na mamlaka?wewe ndio unazo akili kuliko mawaziri wote wanaosimama na kujibu maswali na hoja za ndg.Makonda?
ni nchi pekee dimondi ana mshauri mtu aliyefunga ndoa na kuacha bwana manara
Kwa hiyo hii inabatilisha ujinga wa mhalifu anayestahili kuwa jela bashite!?Wewe usiye mjinga wala kuwa na drama, ebu tuambie umewafanyia nini wananchi wa Tanzania? Ni wananchi wangapi uliowadondoshea angalau hilo tone la maji?