Aisee binafsi kwangu ilikuwa kipindi ambacho i was in love na msichana ambaye tulipendana saana yan i was sooo happy saut yake tu hata kama nilikuwa nimekasirika vp ntafurah tu daah sitosahau actualy it was a gud love,peace and full of happyness!!View attachment 1125108
Mimi sitasahau siku ambayo matokeo ya form 4 yametoka na kuona nimefaulu kwa ile division kubwa,nikawa nikipita mtaani namsalimia kila mtu.
Karibuni
bado mko wote mkuu?Aisee binafsi kwangu ilikuwa kipindi ambacho i was in love na msichana ambaye tulipendana saana yan i was sooo happy saut yake tu hata kama nilikuwa nimekasirika vp ntafurah tu daah sitosahau actualy it was a gud love,peace and full of happyness!!
wameachana hao[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]bado mko wote mkuu?
Smartphone ya kijanja ikawa kipaombele.Message ya kwanza ya kuwa "imethibitishwa heslab wamekuwekea laki 7" kwe acc no 15.........
tuliachana mkuu [emoji26][emoji26]bado mko wote mkuu?
Kwanini hauna furaha mkuu?Mpaka saivi sijawa na furaha kama ulivyoelezea.. Hata kidato cha nne alama nzuri sikupata.... Nahisi nitakuwa na furaha kaburini