Ni wakati gani uliwahi kuwa na furaha zaidi na hutoisahau?

Ni wakati gani uliwahi kuwa na furaha zaidi na hutoisahau?

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595
1125108


Mimi sitasahau siku ambayo matokeo ya form 4 yametoka na kuona nimefaulu kwa ile division kubwa,nikawa nikipita mtaani namsalimia kila mtu.

Karibuni
 
View attachment 1125108

Mimi sitasahau siku ambayo matokeo ya form 4 yametoka na kuona nimefaulu kwa ile division kubwa,nikawa nikipita mtaani namsalimia kila mtu.

Karibuni
Aisee binafsi kwangu ilikuwa kipindi ambacho i was in love na msichana ambaye tulipendana saana yan i was sooo happy saut yake tu hata kama nilikuwa nimekasirika vp ntafurah tu daah sitosahau actualy it was a gud love,peace and full of happyness!!
 
Aisee binafsi kwangu ilikuwa kipindi ambacho i was in love na msichana ambaye tulipendana saana yan i was sooo happy saut yake tu hata kama nilikuwa nimekasirika vp ntafurah tu daah sitosahau actualy it was a gud love,peace and full of happyness!!
bado mko wote mkuu?
 
Wema sepede alipo reply comment yangu"I lov u too"baada ya kumwambia Nampenda laana.
 
Kila siku huwa nina furaha, ila furaha yangu huzidi pale nimpendae anaponipigia simu!
 
Siku niliyopata mshahara wa serikali kwa Mara ya kwanza kwa hasira nikaukomba wote
 
Siku niliyoendesha gari...nilifurahi sana maana ilikuwa my first amd last time.. [emoji16][emoji16]it was 2015 hukoo..
 
Back
Top Bottom