Ni wakati muafaka kwa Mhe. Ismail Aden Rage kuwaomba mashabiki wa Simba msamaha

Ni wakati muafaka kwa Mhe. Ismail Aden Rage kuwaomba mashabiki wa Simba msamaha

Tate Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2019
Posts
33,092
Reaction score
96,127
Kwa heshima na taadhima naomba huyu Mheshimiwa ajitokeze hadharani kuwaomba mashabiki msamaha kwa kuwaita mbumbumbu wakati alipokuwa kiongozi mkubwa tu wa Simba Sports Club.

Ni vizuri akalifanya jambo hili wakati bado akiwa hai. Hata kama alighadhabika kiasi gani, bado hakutakiwa kuwaita mashabiki wa timu mbumbumbu! Yaani hawana chochote wanacho kijua!

Binafsi nilikuwa najua hili jambo wanamsingizia tu! Ila siku nilipoona kipande cha gazeti humu jukwaani, ndipo nilipoamini kuanzia siku ile.

Kiukweli naomba mashabiki wote wa Simba mniunge mkono katika hili. Hii kauli siyo nzuri hata kidogo. Na kwa kweli wengi mnachukizwa na hili jina! Maana imesababisha mpaka Watani wenu Yanga wawaite MBUMBUMBU FC!!

Uungwana ni kitendo. Mheshimiwa Ismail Aden Rage, jitokeze kokote ulipo. Omba msamaha kwa kuwakosea mashabiki wenzako wa simba. Usisubiri mpaka siku uko hoi kitandani, ndipo uombe huo msamaha.

Naomba kuwasilisha.
 
Kwa heshima na taadhima naomba huyu Mheshimiwa ajitokeze hadharani kuwaomba mashabiki msamaha kwa kuwaita mbumbumbu wakati alipokuwa kiongozi mkubwa tu wa Simba Sports Club.

Ni vizuri akalifanya jambo hili wakati bado akiwa hai. Hata kama alighadhabika kiasi gani, bado hakutakiwa kuwaita mashabiki wa timu mbumbumbu! Yaani hawana chochote wanacho kijua!

Binafsi nilikuwa najua hili jambo wanamsingizia tu! Ila siku nilipoona kipande cha gazeti humu jukwaani, ndipo nilipoamini kuanzia siku ile.

Kiukweli naomba mashabiki wote wa Simba mniunge mkono katika hili. Hii kauli siyo nzuri hata kidogo. Na kwa kweli wengi mnachukizwa na hili jina! Maana imesababisha mpaka Watani wenu Yanga wawaite MBUMBUMBU FC!!

Uungwana ni kitendo. Mheshimiwa Ismail Aden Rage, jitokeze kokote ulipo. Omba msamaha kwa kuwakosea mashabiki wenzako wa simba. Usisubiri mpaka siku uko hoi kitandani, ndipo uombe huo msamaha.

Naomba kuwasilisha.
Mbumbumbu mbona wanajulikana tu.

Wenye akili kule ni wawili tu hiyo iko wazi na sasa mzungu pori anawachezesha mayenu
 
Huu Uzi bila video ya mheshimiwa Aden Rage akituita mbumbumbu utakuwa ni fake
Kuna gazeti liliandika hii taarifa! Na kuna mdau ameshawahi kuliweka humu jukwaani. Cha kushangaza mashabiki wananung'unikia pembeni.
 
Hata uanzishaji wa huu uzi ni umbumbumbu tupu. Matendo yenu, threads zenu na posts zenu zinadhihirisha kuwa huko Yanga wenye akili timamu ni Sunday Manara na Mzee JK tu
Kwa hiyo unataka kusema tunamsingizia kiongozi wetu mstaafu? Kuomba radhi, ni uungwana tu.
 
IMG_20220906_131631.jpg


irene_kilango09~p~CiKTm8HqQwq~1.jpg
 
Ona sasa ndani ya miezi miwili tu, uongozi unamtimua kocha aliyeshinda mechi zote mbili za ligi!

Halafu mashabiki nao wanaridhika tu. Yaani hawana hata ujasiri wa kuwahoji viongozi wao. Wanapelekwa pelkwa tu.
 
Kwa heshima na taadhima naomba huyu Mheshimiwa ajitokeze hadharani kuwaomba mashabiki msamaha kwa kuwaita mbumbumbu wakati alipokuwa kiongozi mkubwa tu wa Simba Sports Club.

Ni vizuri akalifanya jambo hili wakati bado akiwa hai. Hata kama alighadhabika kiasi gani, bado hakutakiwa kuwaita mashabiki wa timu mbumbumbu! Yaani hawana chochote wanacho kijua!

Binafsi nilikuwa najua hili jambo wanamsingizia tu! Ila siku nilipoona kipande cha gazeti humu jukwaani, ndipo nilipoamini kuanzia siku ile.

Kiukweli naomba mashabiki wote wa Simba mniunge mkono katika hili. Hii kauli siyo nzuri hata kidogo. Na kwa kweli wengi mnachukizwa na hili jina! Maana imesababisha mpaka Watani wenu Yanga wawaite MBUMBUMBU FC!!

Uungwana ni kitendo. Mheshimiwa Ismail Aden Rage, jitokeze kokote ulipo. Omba msamaha kwa kuwakosea mashabiki wenzako wa simba. Usisubiri mpaka siku uko hoi kitandani, ndipo uombe huo msamaha.

Naomba kuwasilisha.
Kama alisajili kwa pesa yake halafu siku ya kumuuza huyo aliyemsajili kwanini mdai pesa iliyopatikana???
Anzeni nyie MABUMBUMBU kumuomba radhi yeye
 
Umbumbumbu ni kipaji tulichonacho sisi Mashabiki wa Simba Rage hakukosea
 
Back
Top Bottom