Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si bora yanga wako wawili wenye akili wataiongoza timu,hii timu ambayo wote ni mbumbumbu itakuaje?Pale yanga watu wenye akili timamu ni wawili tu.....dah nyie[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Amepata timu mpya huko Misri, kaona bora akale mema huko kwa farao.Ona sasa ndani ya miezi miwili tu, uongozi unamtimua kocha aliyeshinda mechi zote mbili za ligi!
Halafu mashabiki nao wanaridhika tu. Yaani hawana hata ujasiri wa kuwahoji viongozi wao. Wanapelekwa pelkwa tu.
Utaahira ni maumbile waliyojaaliwa wenzetu washabiki wa Yanga, hakuna tiba wala maombi kwa Mwamposa hivyo tuwachukukukie hivyo hivyo ni ndugu zetu hatuwezi kuwatupa chooni.Umbumbumbu ni kipaji tulichonacho sisi Mashabiki wa Simba Rage hakukosea
Mbumbumbu akielemishwa anaelimika lakini hamnazo ( mtu asiye na akili kabisa) hawezi tena kurekebishwa hao ndiyo ndugu zetu wa Yanga.Si bora yanga wako wawili wenye akili wataiongoza timu,hii timu ambayo wote ni mbumbumbu itakuaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shougaaaaa angu kocha Luc alisemaje kuhusu wana yanga??Kasoro Kalpana , Proved , Kitimoto , na rodrick alexander pekee!!
Ila cocastic na wenzake nina wasiwasi nao!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]Umbumbumbu ni kipaji tulichonacho sisi Mashabiki wa Simba Rage hakukosea
Naunga mkono huu uzi kwa 100%Kwa heshima na taadhima naomba huyu Mheshimiwa ajitokeze hadharani kuwaomba mashabiki msamaha kwa kuwaita mbumbumbu wakati alipokuwa kiongozi mkubwa tu wa Simba Sports Club.
Ni vizuri akalifanya jambo hili wakati bado akiwa hai. Hata kama alighadhabika kiasi gani, bado hakutakiwa kuwaita mashabiki wa timu mbumbumbu! Yaani hawana chochote wanacho kijua!
Binafsi nilikuwa najua hili jambo wanamsingizia tu! Ila siku nilipoona kipande cha gazeti humu jukwaani, ndipo nilipoamini kuanzia siku ile.
Kiukweli naomba mashabiki wote wa Simba mniunge mkono katika hili. Hii kauli siyo nzuri hata kidogo. Na kwa kweli wengi mnachukizwa na hili jina! Maana imesababisha mpaka Watani wenu Yanga wawaite MBUMBUMBU FC!!
Uungwana ni kitendo. Mheshimiwa Ismail Aden Rage, jitokeze kokote ulipo. Omba msamaha kwa kuwakosea mashabiki wenzako wa simba. Usisubiri mpaka siku uko hoi kitandani, ndipo uombe huo msamaha.
Naomba kuwasilisha.