Ni wakati muafaka kwa Mhe. Ismail Aden Rage kuwaomba mashabiki wa Simba msamaha

Ona sasa ndani ya miezi miwili tu, uongozi unamtimua kocha aliyeshinda mechi zote mbili za ligi!

Halafu mashabiki nao wanaridhika tu. Yaani hawana hata ujasiri wa kuwahoji viongozi wao. Wanapelekwa pelkwa tu.
Amepata timu mpya huko Misri, kaona bora akale mema huko kwa farao.
 
Mimi siafiki RAGE kutuomba msamaha!!!!! wakati utakuja lakini sio sasa....!
 
Naunga mkono huu uzi kwa 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…