Ni wakati muafaka kwa Zitto Kabwe kujiunga na serikali sikivu ya CCM kwa kazi maalumu ya maendeleo ya Watanzania

Nakuuliza tena hapo UVCCM mnafanya nini?

Au mnaendekeza Uchawa tu? πŸ˜‚

Zitto Kabwe kastaafu Uongozi ACT Wazalendo kwa mujibu wa Katiba Wewe unamuona anafaa kuwa yuvisisiemu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nakuuliza tena hapo UVCCM mnafanya nini?

Au mnaendekeza Uchawa tu? πŸ˜‚

Zitto Kabwe kastaafu Uongozi ACT Wazalendo kwa mujibu wa Katiba Wewe unamuona anafaa kuwa yuvisisiemu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
nachelea kusisitiza kuepuka upotofu na udumavu wa fikra katika namna bora jumuishi ya kujenga Taifa moja teule la Tanzania..

katika dhamira hiyo yangu na ile nia ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan, huwezi kuona sijui chama cha siasa gani sijui nani alikua nani kwenye chama gani...

bali unaiona Tanzania kama nchi na waTanzania wazalendo kama nguvu kazi moja ya kujenga na kuchochea maendeleo endelevu ya wanainchi kijamii kisiasa na kiuchumi...

kupumbazwa na vyama vya kisiasa kumewafanya wengi kua kama misukule tu,

yaani, uvyama umewajaa vichwani mioyoni utadhani hirizi πŸ’
 
Ila Jumapili ya Leo umekuwa mkweli wakati nyie mnaimarisha Uchawa Vyama vya Upinzani wanatengeneza Vijana wa Kujenga Taifa

Mungu wa mbinguni awabariki Prof Kitila, Kafulila, Bananga, Katambi na David Silinde πŸ˜ƒπŸŒΉ
 
Ccm kwa wao binafsi mefanikiwa sana.
Kwa wananchi wa Tz wengi hawaikubali hasa wasomi; Ni dhahiri Kuna kitu hakipo sawa bado najifunza.πŸ€”
Okay,
wew wa kujifunza fuatilia mambo haya kwa ukaribu zaidi na nikuhakikishie tu kwama uelewa na ufahamu wako katika mambo haya utaongezeka na bilashaka yoyote utapata mawazo mapya na fikra mbdala juu ya mambo mengi sana hususan ya kisiasa...

epuka mihemko,
kwasabb wengi wenye hulka hiyo hitimisho la kila lililokinyume na maoni au mitazamo yao hua ni kuporomosha matusi...

Otherwise,
bado nasisitiza Zito kabwe na huyu John Myika yafaa sasa wajiunge na serikali sikivu ya CCM ili hatimae vipaji na elimu zao zipate nafasi katika kuchochea maendeleo endelevu ya wanainchi kama ambyavyo mwezao Devid Kafulila anavyo fanya kazi nzuri sana huko PPPπŸ’
 
Ila Jumapili ya Leo umekuwa mkweli wakati nyie mnaimarisha Uchawa Vyama vya Upinzani wanatengeneza Vijana wa Kujenga Taifa

Mungu wa mbinguni awabariki Prof Kitila, Kafulila, Bananga, Katambi na David Silinde πŸ˜ƒπŸŒΉ
mwanadiplomasia mwandamizi wa kisiasa nchini kama mimi nawezaje kupotosha wana JF ninaowaheshimu kiasi hiki?

daima nasema kweli kwa maslahi mapana ya umoja wa kitaifa.
Zito Kabwe na John Myika wanaweza kusaidia kwa kiasi kazi ya kuchochea maendeleo endelevu ya wanainchi,

kuliko hiyo ngumu ya kupinga maendeleo ambayo wameishindwa kwa kipindi kirefu sana na sasa wanazeeka na hakuna cha maana kuwakumbuka πŸ’
 
Tunawasubiri akina Keegan na Isaac πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Huyo ni mwanaccm Tangu 2008,anaifanyia kazi CCM na serikali Kwa muda wote!!

Jpm hakutaka unafiki ndio maana alimuweka benchi!
hilo sio la maana sana kwa ujenzi wa taifa moja la kisasa,

la muhimu zaid ni kuungana kama Taifa na kua na uelekeo moja kwa manufaa ya waTanzania wote πŸ’
 
Hao wamesomeshwa kwa Viwango vya juu kabisa kuja kuisaidia UVCCM kuanzia pale alipoachia Injinia Masauni na Wakili Msomi Beno Malisa πŸ˜‚πŸ˜‚
nadhani uelekeo wa serikali ya sasa ni kuondoa mfumo tegemezi na kuwafanya vijanaa wake kwa waume kujitegemea zaidi...

ujengewa uwezo wa namna ya kukusanya nguvu na kufanya mambo binafsi bila utegemezi kama ambao unazungumzia nadhani miongoni mwa changamoto katika taasisi mbalimbali ni hiyo kiburi ya eti alisomeshwa sijui na nani au yule ni mtoto wa Fulani n.k

mfumo huo dume unatuchelewasha mambo mengi sana n.kπŸ’
 
Bwashee kubali tu Yuvisisiemu ni kundi la CHAWA

Unapoona nchimbi na makala wamemkodi Mchungaji Msigwa ujue nyie hamna msaada wowote kwa Chama πŸ˜‚πŸ˜‚

Uzuri UVCCM ilijengwa na akina Sukwa, Guninita, Lukuvi na huyu Dr Nchimbi hivyo nilipoona komredi Nchimbi anamualika Mchungaji Msigwa nikaelewa nyie akina Lucas mna Udhaifu uliotukuka πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Nimemaliza 🐼
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Sijaisoma habari yote kumbe huyu TlaaTlaa ni..........
Kwani Zitto yupo chama gani ?
 
Haya madodoki mengine bwana..!
Kwani huko UVCCM hakunaga walioenda shule?

Kwani Lucas Mwashambwa na ChoiceVariable ni Darasa la ngapi? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wewe ni ccm hebu tusaidie kujibu
umepatwa mihemko baba mshana,tulia hivyo hivyo kazi ya kuleta mageuzi na maendeleo ya wanainchi na waTanzania wote ni ngumu mno, inahitaji ustahimilivu, Umoja na subra sio mihemko πŸ’

pole Lakini, maana hamna namna nyingine sasaπŸ’
Lucas Mwashambwa LIKE this πŸ˜‚
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Sijaisoma habari yote kumbe huyu TlaaTlaa ni..........
Kwani Zitto yupo chama gani ?
masuala ya kuwaza au kufikiria masuala ya vyama kwenye jambo muhimu kama maendeleo ya Taifa ni udumavu wa fikra, hujuma na sio uzalendo kwa taifa
 
Ajiunge ccm kwani yuko wapi?
 
Ajiunge ccm kwani yuko wapi?
najaribu kurudia kusoma aya iliyosema ajiunge ccm, na sioni, au una bandiko lako la chuki kichwani?

gentleman,
una mihemko au una makasiriko binafsi pamoja na wenzio baadhi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…