Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #21
Siyo propaganda bali ndio ukweli wenyewe.hata suala la kikokotoo ambalo lilipitishwa kabla ya Rais samia kuingia madarakani limetolewa ufafanuzi mzuri na serikali imesema inaendelea kulifanyia kazi.Propaganda na ukweli ni vitu viwili tofauti
Waulize watumishi wa umma wanaostaafu nyakati hizi Hali zao zikojje?
Jitahidi kuwa mstaarabu na mwenye hekima ,busara na staha unapoandika hoja zako.Mbona wewe ndiye una utoto na ujinga mwingi tu unataka kujifanya kiranja wa humu jukwaani.
Wewe mbona huna adabu mtu akiwa na mawazo tofauti na ya kwako unamuita kichaa,mvuta bangi na maneno mengine tu ya kuudhi. Toa boriti kwenye jicho lako kabla ya kuona kibanzi kwenye jicho langu.Jitahidi kuwa mstaarabu na mwenye hekima ,busara na staha unapoandika hoja zako.
Hapana ndugu yangu mimi huwa siwatukani watu humu jukwaani.Wewe mbona huna adabu mtu akiwa na mawazo tofauti na ya kwako unamuita kichaa,mvuta bangi na maneno mengine tu ya kuudhi. Toa boriti kwenye jicho lako kabla ya kuona kibanzi kwenye jicho langu.
Wewe ni mtukanaji mzuri tu .Hapana ndugu yangu mimi huwa siwatukani watu humu jukwaani.
Sheria za humu jukwaani haziruhusu kutukana matusi.kwa hiyo kama ninatukana matusi ningekuwa nimechukuliwa hatua .Wewe ni mtukanaji mzuri tu .
Mimi sio mshabiki Sana wa Siasa za Tanzania ila Kafulila ni mtu mwenye siasa za kitofauti kidogo nadhani wanaopenda siasa wamtupie jicho.Ndugu zangu Watanzania,
Kila jambo na majira yake na wakati kwa kusudi maalumu chini ya mbingu. Nafikiri sote tunamfahamu vyema Mheshimiwa David Kafulila,tunafahamu uzalendo wake kwa Taifa letu,uchapa kazi wake, upendo wake kwa Wananchi. Tunafahamu vyema na kwa undani uwezo wake wa kujenga hoja na kuitetea hoja,tunafahamu bila shaka uelewa wake wa masuala mbalimbali hususani ya kiuchumi, biashara,fedha n.k.
Sote ni wazi tunakubaliana kwa pamoja kuwa Chuma David Kafulila ni mtu aliye muadilifu,muaminifu na mtu aliyenyooka kama rula kitabia.hanaga kupinda pinda. Ni mtetezi wa kweli wa Taifa letu kama ilivyo kwa mama yetu na Jemedari wetu Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Sote tunatambua ni mtu mnyenyekevu,mstarabu na mtulivu sana kiongozi.
Sote tunatambua kuwa ni mtu anayeacha alama za kiuongozi kila eneo anapopewa nafasi na kuaminiwa kutumikia Taifa lake.tumeona tangia akiwa mbunge,RAS Songwe,RC Simiyu na sasa mkurugenzi Mkuu wa PPP.
Hivyo naona ni wakati muafaka na sahihi na wakati wake wa kuweza kurejea Bungeni hapo mwakani panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.ni wakati wa kulitumikia Taifa lake na kumsaidia Mheshimiwa Rais katika masuala mbalimbali ya kisera. Ni dhahiri sauti ya Chuma David Kafulila inahitajika Bungeni.ni muhimu watu aina yake wakawa sehemu ya bunge.
na kama ikimpendeza Jemedari wetu Mama Samia Basi anaweza kumvuta ndani ya Baraza lake la Mawaziri atakaloliunda mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi na yeye kuwa amepita na kushinda Urais kwa kishindoo.maana watanzania wanakiu kubwa sana ya kumpa kura za ndio kwa fujo kama shukurani kwa kazi kubwa aliyowafanyia.
Natambua pia watu aina ya David Kafulila huwa wakati mwingine wanapigwa vita sana,kuchukiwa bila sababu ,kusingiziwa uongo,kupakwa matope,kusulubiwa na mikuki ya maneno ya kizushi na uongo na watu wenye uchafu na Makando kando au wasiopenda kusikia ukweli masikioni mwao. Lakini tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutupatia Rais Samia Jemedari wetu imara na shupavu ambaye yeye amejaa upendo mkubwa sana kwa watu wazalendo na wachapa kazi aina ya David Kafulila na ndio maana ameendelea kuwa naye na kumuamini mpaka kumpatia Ukurugenzi wa PPP. japo kuna watu hasa wabaya wa Kafulila wanatamani au wasingependa kuona akipata nafasi yoyote ile katika serikali ya Rais SAMIA maana inakuwa inawapa hofu na uoga mkubwa sana.
Watanzania tunapaswa kujenga utamaduni wa kuwatia moyo, kuwaunga mkono,kuwatetea ,kuwasemea wazalendo aina ya Daktari Mama Samia Suluhu na David Kafulila na wengine wengi.kwa kuwa wazalendo siku zote hupigwa vita ,kushambuliwa,kuumizwa,kutengenezewa ajali,kuchafuliwa na kuchukiwa sana bila sababu ya aina yoyote ile. Tumlinde na kumtetea Rais wetu na wale wote wanaoonyesha dhamira na muelekeo wa uzalendo kwa Taifa letu kwa dhati ya mioyo yao. David Kafulila Ni mzalendo na mchapakazi na anastahili kuungwa mkono.
Ngoja niweke kalamu yangu chini ili kutorefusha andiko na kuwachosha wasomaji.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Easy! Mwambie mama!Ndugu zangu Watanzania,
Kila jambo na majira yake na wakati kwa kusudi maalumu chini ya mbingu. Nafikiri sote tunamfahamu vyema Mheshimiwa David Kafulila,tunafahamu uzalendo wake kwa Taifa letu,uchapa kazi wake, upendo wake kwa Wananchi. Tunafahamu vyema na kwa undani uwezo wake wa kujenga hoja na kuitetea hoja,tunafahamu bila shaka uelewa wake wa masuala mbalimbali hususani ya kiuchumi, biashara,fedha n.k.
Sote ni wazi tunakubaliana kwa pamoja kuwa Chuma David Kafulila ni mtu aliye muadilifu,muaminifu na mtu aliyenyooka kama rula kitabia.hanaga kupinda pinda. Ni mtetezi wa kweli wa Taifa letu kama ilivyo kwa mama yetu na Jemedari wetu Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Sote tunatambua ni mtu mnyenyekevu,mstarabu na mtulivu sana kiongozi.
Sote tunatambua kuwa ni mtu anayeacha alama za kiuongozi kila eneo anapopewa nafasi na kuaminiwa kutumikia Taifa lake.tumeona tangia akiwa mbunge,RAS Songwe,RC Simiyu na sasa mkurugenzi Mkuu wa PPP.
Hivyo naona ni wakati muafaka na sahihi na wakati wake wa kuweza kurejea Bungeni hapo mwakani panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.ni wakati wa kulitumikia Taifa lake na kumsaidia Mheshimiwa Rais katika masuala mbalimbali ya kisera. Ni dhahiri sauti ya Chuma David Kafulila inahitajika Bungeni.ni muhimu watu aina yake wakawa sehemu ya bunge.
na kama ikimpendeza Jemedari wetu Mama Samia Basi anaweza kumvuta ndani ya Baraza lake la Mawaziri atakaloliunda mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi na yeye kuwa amepita na kushinda Urais kwa kishindoo.maana watanzania wanakiu kubwa sana ya kumpa kura za ndio kwa fujo kama shukurani kwa kazi kubwa aliyowafanyia.
Natambua pia watu aina ya David Kafulila huwa wakati mwingine wanapigwa vita sana,kuchukiwa bila sababu ,kusingiziwa uongo,kupakwa matope,kusulubiwa na mikuki ya maneno ya kizushi na uongo na watu wenye uchafu na Makando kando au wasiopenda kusikia ukweli masikioni mwao. Lakini tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutupatia Rais Samia Jemedari wetu imara na shupavu ambaye yeye amejaa upendo mkubwa sana kwa watu wazalendo na wachapa kazi aina ya David Kafulila na ndio maana ameendelea kuwa naye na kumuamini mpaka kumpatia Ukurugenzi wa PPP. japo kuna watu hasa wabaya wa Kafulila wanatamani au wasingependa kuona akipata nafasi yoyote ile katika serikali ya Rais SAMIA maana inakuwa inawapa hofu na uoga mkubwa sana.
Watanzania tunapaswa kujenga utamaduni wa kuwatia moyo, kuwaunga mkono,kuwatetea ,kuwasemea wazalendo aina ya Daktari Mama Samia Suluhu na David Kafulila na wengine wengi.kwa kuwa wazalendo siku zote hupigwa vita ,kushambuliwa,kuumizwa,kutengenezewa ajali,kuchafuliwa na kuchukiwa sana bila sababu ya aina yoyote ile. Tumlinde na kumtetea Rais wetu na wale wote wanaoonyesha dhamira na muelekeo wa uzalendo kwa Taifa letu kwa dhati ya mioyo yao. David Kafulila Ni mzalendo na mchapakazi na anastahili kuungwa mkono.
Ngoja niweke kalamu yangu chini ili kutorefusha andiko na kuwachosha wasomaji.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe unajiona ni Malaika lakini una lugha za kuudhi sana na lugha hizo hizo zikitumika kwako unapiga mayowe.Sheria za humu jukwaani haziruhusu kutukana matusi.kwa hiyo kama ninatukana matusi ningekuwa nimechukuliwa hatua .
Upo sahihi kabisa. Mheshimiwa Kafulila ana kitu cha kiutofauti sana ndani yake ambacho ni faida kwa Taifa letu.apewe nafasi zaidiMimi sio mshabiki Sana wa Siasa za Tanzania ila Kafulila ni mtu mwenye siasa za kitofauti kidogo nadhani wanaopenda siasa wamtupie jicho.
Mimi hata nikitukanwa huwa nawaombea msamaha kwa Mungu wake wote walionitukana.Wewe unajiona ni Malaika lakini una lugha za kuudhi sana na lugha hizo hizo zikitumika kwako unapiga mayowe.
Mama hana tatizo na wazalendo na wachapakazi aina ya Mheshimiwa kafulila.ndio maana amemuweka hapo alipo PPP kama Mkurugenzi .Easy! Mwambie mama!
Maneno yako ya shombo yako kibao humu.Mimi hata nikitukanwa huwa nawaombea msamaha kwa Mungu wake wote walionitukana.
Nisamehe kama nimewahi kutoa lugha ya kukukwaza.Maneno yako ya shombo yako kibao humu.
wanainchi wa Uvinza kigoma, anzeni kuifikiria hii chuma itawasogeza mbele na kuwapaisha juu sana kimaendeleo πNdugu zangu Watanzania,
Kila jambo na majira yake na wakati kwa kusudi maalumu chini ya mbingu. Nafikiri sote tunamfahamu vyema Mheshimiwa David Kafulila,tunafahamu uzalendo wake kwa Taifa letu,uchapa kazi wake, upendo wake kwa Wananchi. Tunafahamu vyema na kwa undani uwezo wake wa kujenga hoja na kuitetea hoja,tunafahamu bila shaka uelewa wake wa masuala mbalimbali hususani ya kiuchumi, biashara,fedha n.k.
Sote ni wazi tunakubaliana kwa pamoja kuwa Chuma David Kafulila ni mtu aliye muadilifu,muaminifu na mtu aliyenyooka kama rula kitabia.hanaga kupinda pinda. Ni mtetezi wa kweli wa Taifa letu kama ilivyo kwa mama yetu na Jemedari wetu Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Sote tunatambua ni mtu mnyenyekevu,mstarabu na mtulivu sana kiongozi.
Sote tunatambua kuwa ni mtu anayeacha alama za kiuongozi kila eneo anapopewa nafasi na kuaminiwa kutumikia Taifa lake.tumeona tangia akiwa mbunge,RAS Songwe,RC Simiyu na sasa mkurugenzi Mkuu wa PPP.
Hivyo naona ni wakati muafaka na sahihi na wakati wake wa kuweza kurejea Bungeni hapo mwakani panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.ni wakati wa kulitumikia Taifa lake na kumsaidia Mheshimiwa Rais katika masuala mbalimbali ya kisera. Ni dhahiri sauti ya Chuma David Kafulila inahitajika Bungeni.ni muhimu watu aina yake wakawa sehemu ya bunge.
na kama ikimpendeza Jemedari wetu Mama Samia Basi anaweza kumvuta ndani ya Baraza lake la Mawaziri atakaloliunda mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi na yeye kuwa amepita na kushinda Urais kwa kishindoo.maana watanzania wanakiu kubwa sana ya kumpa kura za ndio kwa fujo kama shukurani kwa kazi kubwa aliyowafanyia.
Natambua pia watu aina ya David Kafulila huwa wakati mwingine wanapigwa vita sana,kuchukiwa bila sababu ,kusingiziwa uongo,kupakwa matope,kusulubiwa na mikuki ya maneno ya kizushi na uongo na watu wenye uchafu na Makando kando au wasiopenda kusikia ukweli masikioni mwao. Lakini tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutupatia Rais Samia Jemedari wetu imara na shupavu ambaye yeye amejaa upendo mkubwa sana kwa watu wazalendo na wachapa kazi aina ya David Kafulila na ndio maana ameendelea kuwa naye na kumuamini mpaka kumpatia Ukurugenzi wa PPP. japo kuna watu hasa wabaya wa Kafulila wanatamani au wasingependa kuona akipata nafasi yoyote ile katika serikali ya Rais SAMIA maana inakuwa inawapa hofu na uoga mkubwa sana.
Watanzania tunapaswa kujenga utamaduni wa kuwatia moyo, kuwaunga mkono,kuwatetea ,kuwasemea wazalendo aina ya Daktari Mama Samia Suluhu na David Kafulila na wengine wengi.kwa kuwa wazalendo siku zote hupigwa vita ,kushambuliwa,kuumizwa,kutengenezewa ajali,kuchafuliwa na kuchukiwa sana bila sababu ya aina yoyote ile. Tumlinde na kumtetea Rais wetu na wale wote wanaoonyesha dhamira na muelekeo wa uzalendo kwa Taifa letu kwa dhati ya mioyo yao. David Kafulila Ni mzalendo na mchapakazi na anastahili kuungwa mkono.
Ngoja niweke kalamu yangu chini ili kutorefusha andiko na kuwachosha wasomaji.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nakuunga mkono Mheshimiwa Mbunge.wanainchi wa Uvinza kigoma, anzeni kuifikiria hii chuma itawasogeza mbele na kuwapaisha juu sana kimaendeleo π
Tuendelee kumuunga mkono.Sahihi sana hii mkuu.
Sasa unakuja kutuambia huku ili tufanye nini!?Mama hana tatizo na wazalendo na wachapakazi aina ya Mheshimiwa kafulila.ndio maana amemuweka hapo alipo PPP kama Mkurugenzi .
Shetani na hasara kwa wazazi. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichomeNdugu zangu Watanzania,
Kila jambo na majira yake na wakati kwa kusudi maalumu chini ya mbingu. Nafikiri sote tunamfahamu vyema Mheshimiwa David Kafulila,tunafahamu uzalendo wake kwa Taifa letu,uchapa kazi wake, upendo wake kwa Wananchi. Tunafahamu vyema na kwa undani uwezo wake wa kujenga hoja na kuitetea hoja,tunafahamu bila shaka uelewa wake wa masuala mbalimbali hususani ya kiuchumi, biashara,fedha n.k.
Sote ni wazi tunakubaliana kwa pamoja kuwa Chuma David Kafulila ni mtu aliye muadilifu,muaminifu na mtu aliyenyooka kama rula kitabia.hanaga kupinda pinda. Ni mtetezi wa kweli wa Taifa letu kama ilivyo kwa mama yetu na Jemedari wetu Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Sote tunatambua ni mtu mnyenyekevu,mstarabu na mtulivu sana kiongozi.
Sote tunatambua kuwa ni mtu anayeacha alama za kiuongozi kila eneo anapopewa nafasi na kuaminiwa kutumikia Taifa lake.tumeona tangia akiwa mbunge,RAS Songwe,RC Simiyu na sasa mkurugenzi Mkuu wa PPP.
Hivyo naona ni wakati muafaka na sahihi na wakati wake wa kuweza kurejea Bungeni hapo mwakani panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.ni wakati wa kulitumikia Taifa lake na kumsaidia Mheshimiwa Rais katika masuala mbalimbali ya kisera. Ni dhahiri sauti ya Chuma David Kafulila inahitajika Bungeni.ni muhimu watu aina yake wakawa sehemu ya bunge.
na kama ikimpendeza Jemedari wetu Mama Samia Basi anaweza kumvuta ndani ya Baraza lake la Mawaziri atakaloliunda mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi na yeye kuwa amepita na kushinda Urais kwa kishindoo.maana watanzania wanakiu kubwa sana ya kumpa kura za ndio kwa fujo kama shukurani kwa kazi kubwa aliyowafanyia.
Natambua pia watu aina ya David Kafulila huwa wakati mwingine wanapigwa vita sana,kuchukiwa bila sababu ,kusingiziwa uongo,kupakwa matope,kusulubiwa na mikuki ya maneno ya kizushi na uongo na watu wenye uchafu na Makando kando au wasiopenda kusikia ukweli masikioni mwao. Lakini tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutupatia Rais Samia Jemedari wetu imara na shupavu ambaye yeye amejaa upendo mkubwa sana kwa watu wazalendo na wachapa kazi aina ya David Kafulila na ndio maana ameendelea kuwa naye na kumuamini mpaka kumpatia Ukurugenzi wa PPP. japo kuna watu hasa wabaya wa Kafulila wanatamani au wasingependa kuona akipata nafasi yoyote ile katika serikali ya Rais SAMIA maana inakuwa inawapa hofu na uoga mkubwa sana.
Watanzania tunapaswa kujenga utamaduni wa kuwatia moyo, kuwaunga mkono,kuwatetea ,kuwasemea wazalendo aina ya Daktari Mama Samia Suluhu na David Kafulila na wengine wengi.kwa kuwa wazalendo siku zote hupigwa vita ,kushambuliwa,kuumizwa,kutengenezewa ajali,kuchafuliwa na kuchukiwa sana bila sababu ya aina yoyote ile. Tumlinde na kumtetea Rais wetu na wale wote wanaoonyesha dhamira na muelekeo wa uzalendo kwa Taifa letu kwa dhati ya mioyo yao. David Kafulila Ni mzalendo na mchapakazi na anastahili kuungwa mkono.
Ngoja niweke kalamu yangu chini ili kutorefusha andiko na kuwachosha wasomaji.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kama unahasira sana kunywa sumu UFE tu ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa mawazo ππππSasa unakuja kutuambia huku ili tufanye nini!?