Wacha kudanganywa na wanasiasa, hakuna mtu anapigania manufaa yako, Mbowe anapigania tumbo lake na familia yake tuSiyo kweli. Mbowe akifanikiwa kuleta uhuru wa kweli wanufaika ni wananchi wote.
Hata Nyerere na wenzake walipopambania uhuru wa kisiasa wanufaika hawakuwa wao tu
Duh...!.Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).
Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.
No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live(kweli wamerusha) kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?Sisi sio wajinga.
No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.
No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.
Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa
Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.
Enough is enoug. After all, 20 years as Party's Chairman, is more than enough.
NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Toka kabisa, kwendraa huko who are you!Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).
Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.
No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live(kweli wamerusha) kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?Sisi sio wajinga.
No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.
No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.
Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa
Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.
Enough is enoug. After all, 20 years as Party's Chairman, is more than enough.
NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Arguements za kipumbavu na za kitoto,CDM aliondoka Dr.Slaa na haikuyumba who r u by the way?Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).
Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.
No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live(kweli wamerusha) kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?Sisi sio wajinga.
No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.
No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.
Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa
Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.
Enough is enoug. After all, 20 years as Party's Chairman, is more than enough.
NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Wewe ndio una-misled watu sababu upo na umaskini wa mali. Kuna ambao walizaliwa bila kuwa na changamoto ya mali.Wacha kudanganywa na wanasiasa, hakuna mtu anapigania manufaa yako, Mbowe anapigania tumbo lake na familia yake tuView attachment 3182881
Kwenye siasa kuna makundi mawili tu, enemy and tools wewe pamoja na hao we zako ni tools za wanasiasa kifikia mambo yao tu.Wewe ndio una-misled watu sababu upo na umaskini wa mali. Kuna ambao walizaliwa bila kuwa na changamoto ya mali.
Wewe uliye na changamoto ya mali ndio unafikiria mambo ya maslahi. Maana yake bado tujakuwa. Unafikiria vitu petty petty tu