Willard Jonnes
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 361
- 753
Hili mimi sikubaliani nalo na mifano ninayo mfano taifa la marekani je hilo Taifa wanao liendesha ni Vijana au wazee? Hatukatai uwepo wa vijana ila hizi top positions hata wazee ni muhimu sana vijana bado wako emotionally sana na pia Ujana ujana unaweza haribu mambo, Kuishi kwingi kuona mengiHata wazee mbona ndo vinara wakusifu taifa lolote hujengwa na vijana wenye nguvu,na mawazo mapya na chanya
Mkuu ebu tupe maana ya Elimu bure..Aya maneno ya Kiasa sio mazuri ata siku mmoja..Elimu inagharamiwa na watanzania wote ata ambao awana watoto au ata kufikia umri wa kua na familia. Ingawa unaweza ukawa sahihi kwakua upo kisiasa laghai zaidi ila nisingependa uwe mtu wa hivyo.Kwa vile elimu bure ni mpaka kidato cha nne, manadiliko haya yaanze uchaguzi wa 2030 wakati elimu bure wa Magufuli watapiga kura kwa mara ya kwanza.
Ukianza sasa huu utakuwa ni ubaguzi.
P
Mbona kina Nyerere hawakuharibu pia usiseme Marekani wao kule taasisi Kama mahakama, bunge na Uraisi ziko strong haziingiliani na Wala haihusiani na ujana au Uzee, ni vijana gani walipewa Jambo wakaharibu, shida ni mifumo na siasa plus mtu akiwa kiongozi lazima awe fisadiHili mimi sikubaliani nalo na mifano ninayo mfano taifa la marekani je hilo Taifa wanao liendesha ni Vijana au wazee? Hatukatai uwepo wa vijana ila hizi top positions hata wazee ni muhimu sana vijana bado wako emotionally sana na pia Ujana ujana unaweza haribu mambo, Kuishi kwingi kuona mengi
Sawa ni kipaji, lakini unaweza kusoma, kuchambua na kujadili vitu kama sheria na mikataba kwa ufanis bila kuwa na elimu ya kutosha?Uongozi ni kipaji. Elimu ni tool ya kung'arisha kipaji.
Kipaji bila elimu efficiency ni 40%Uongozi ni kipaji. Elimu ni tool ya kung'arisha kipaji.
Na pia, ili wabunge wafanye vizuri kazi yao ya ubunge bila kujipendekeza kwa watawala, nashauri mawaziri wasitokane na wabunge.Kipaji bila elimu efficiency ni 40%
Kigezo kiwe shahada ya kwanza. Kwasbb ili kuwa dereva wa mbunge lazima mtu awe na form 42.Wabunge...Kigezo kiwe kuanzia Diploma na Kuendelea.
Tusubiri wenzetu watasemaje piaKigezo kiwe shahada ya kwanza. Kwasbb ili kuwa dereva wa mbunge lazima mtu awe na form 4
Hahahahaa eti piga mezaa....Ngoja tuone wenzetu Wana mtazamo ganiMbunge walau awe na bachelor aise itamake sense na fujo walau zitapungua mule ndani na hoja zitaeleweka kwa muafaka mzuri siyo kina pigameza tu lolote kwao sawa.