Habari za Muda huu Wana JF,
Nimekuja na Mawazo haya Baada ya kutafakari na kuona yanayoendelea bungeni,pamoja na Uhalisia wa Maisha tuliyonayo Watanzania KWA wakati huu Ambapo Taifa lina wasomi wengi lakini linaongozwa na Watu baadhi yao wenye uwezo mdogo wa kupambanua mambo,huku Wakiwa hawajali pia matatizo ya Watu.
Sasa KWA Msingi huo napendekeza Tume ya Taifa ya Uchaguzi pamoja na Vyama viwe na mwongozo huu kama Ifuatavyo angalau tuweze Kupata wawakilishi Bora..
1.Madiwani...Elimu iwe kuanzia ngazi ya Cheti na kuendelea.
2.Wabunge...Kigezo kiwe kuanzia Diploma na Kuendelea.
Ni mtazamo wangu...
Nawasilisha!!!!!