Ni wakati mwafaka wa mataifa ya Magharibi kuacha kuukumbatia ushoga, ni dhambi kubwa mno inayomchukiza Muumba wetu

Ni wakati mwafaka wa mataifa ya Magharibi kuacha kuukumbatia ushoga, ni dhambi kubwa mno inayomchukiza Muumba wetu

Corticopontine

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2019
Posts
666
Reaction score
1,277
Inaumiza sana tena sana kwa wanadamu walioumbwa kwa mfano wa Mwenyezi MUNGU kutenda dhambi ambazo zinamshangaza mpaka shetani.

Uume uliumbwa kwa ajili ya kuingizwa kwenye uke kupitisha manii ambayo hutumika kurutubisha yai la mwanamke.

Unapohalalisha mwanadamu aingize uume wake sehemu ya nyuma hii si tu kumuudhi Mungu Bali ni kufuru.

Mungu ameruhusu tujaribiwe kidogo tu Dunia imechanganyikiwa tujisahihisheni
Dhambi za wazungu zitaiangamiza Dunia.
 
Lesbian, gay, bisexual, and transgender (LGBT) rights in Israel are considered the most developed in the Middle East.[1]Although same-sex sexual activity was legalized in 1988, the former law against sodomy had not been enforced since a court decision in 1963. Israel became the first country in Asia to recognize unregistered cohabitation between same-sex couples, making it the first country in Asia to recognize same-sex unions in any capacity. Although same-sex marriages are not performed in the country, Israel recognizes same-sex marriages performed elsewhere
 
Back
Top Bottom