kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Majibu anayo slaa!Alipogwa na wasio julikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majibu anayo slaa!Alipogwa na wasio julikana.
Mihimili ya kitaifa yenye mamlaka Kikatiba kama Bunge, Mahakama.. washakubali kutumika, itakuwa mwanasheria mmoja?Kwa mwanasheria kama slaa akubali kutumika hapana aje aeleze ukweli umma uelewe ni nani ndani ya chadema au lissu aliwezaje kujipiga risasi!
Nafikiri slaa ni mkweli sana na muadilifu muda wowote ataweka ufafanuzi hadharani!Mihimili ya kitaifa yenye mamlaka Kikatiba kama Bunge, Mahakama.. washakubali kutumika, itakuwa mwanasheria mmoja?
Hata Tume ya Uchaguzi (NEC), kiongozi wake ni Jaji, je haitumiki?!!!
Ebu tuwekeeni hiyo clip aliyosema ni CHADEMA walimpiga risasi. Tuenjoy uzuri wa technologiaOgopa sana Mungu na technology
Slaa alihapoteza credibility yake kitambo sana. Ni kama kuku aliyekatwa kichwa anahangaika tu. Si CCM au Chadema au Mtanzania yeyote anayemwamini.Kipindi Mzee Slaa alipoulizwa ni nani alimpiga risasi Lissu, akasema ni Chadema wenyewe na Lissu anajua. Imepita takriban miaka nane Slaa anatuambia yupo tayari kurejea CHADEMA. Je, ni nani alimpiga risasi Lissu? Ni wakati mzuri wa Dkt. Slaa kutupa yale majibu yake.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mkuu ungetuwekea na hiyo clip aliyosema CHADEMA walimpiga risasi Lissu.Kipindi Mzee Slaa alipoulizwa ni nani alimpiga risasi Lissu, akasema ni Chadema wenyewe na Lissu anajua. Imepita takriban miaka nane Slaa anatuambia yupo tayari kurejea CHADEMA. Je, ni nani alimpiga risasi Lissu? Ni wakati mzuri wa Dkt. Slaa kutupa yale majibu yake.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hayo aliyasema alipokuwa balozi huko ughaibuni wacha niitafute!Mkuu ungetuwekea na hiyo clip aliyosema CHADEMA walimpiga risasi Lissu.
...Mi niliiona aliyosema akiwa Katibu mkuu kuna tukio la kutekwa lilifanywa na CHADEMA bila ya yeye kujua. Na alikurupuka kuwazodoa Usalama wa Taifa kumbe ilikuwa kazi ya ndani.
CHADEMA ya Mbowe kuna mambo Katibu mkuu huwa hashirikishwi, ni kama tu kuwaandikia barua wabunge wa COVID19 -Mnyika alikuwa anapiga kelele - Mbowe anachekea chumbani.
Yeye aliondoka chadema kwa kuwa mbowe aliokota kila silaha kupambana kukamata dola aliletwa lowassa slaa akasusa na kubwaga manyanga je hatoweza kimbia tena na kuondoka na watu wake!Huu sio wakati wa kukumbusha yaliyopita. Mwanachama yeyote wa CHADEMA aliyepotea na anatamani kurudi chadema huu mwaka ni WA kuokota watu wote. Pamoja na yote jua Kuna watu wanamuamini Dr slaa hivyo alivyo kwaiyo usidhani Dr slaa atarudi pekeyake Kuna watu atarudi nao. Ccm huwa hawaangalii sana mwanachama wao anapotaka kurudi kundini pamoja na wingi wa watu iliyonayo.
Wewe umeshia kwa Slaa mimi hadi Lissu kwa aina ya kampeni alizofanya nimemdharau sana!!Nilimdharau sana huyu mzee. Wakati wenzao wanapitia kikombe cha mateso, mauaji vifungo na kufilisiwa yeye alikuwa ubalozini akishiba na kutoa kejeli. Hata kama ni kusamehe, sio.
hayo ni mambo ya siasa tu na zilikuwa bifu kati ya slaa na DJ mbowe. kuteleza ulimi kwenye siasa ni kitu cha kawaida. lakini mbona lisu mwenyewe huwa anaamini zile nissan zilizopita morogoro chini ya bashite ndizo zitakuwa zilihusika? au hujawahi kumsikia akimlaumu bashite wazi wazi? siku lisu akishika nchi bashite atahamia msumbiji.Kipindi Mzee Slaa alipoulizwa ni nani alimpiga risasi Lissu, akasema ni Chadema wenyewe na Lissu anajua. Imepita takriban miaka nane Slaa anatuambia yupo tayari kurejea CHADEMA. Je, ni nani alimpiga risasi Lissu? Ni wakati mzuri wa Dkt. Slaa kutupa yale majibu yake.
Pia soma
- Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa
- Nani mkweli kati ya Dkt. Mollel na Dkt. Slaa juu ya Lissu kupigwa risasi. Kwanini CHADEMA wanakuwa kimya? Polisi nao mbona hawachukui hatua?
- John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
sawa atakwambiaKipindi Mzee Slaa alipoulizwa ni nani alimpiga risasi Lissu, akasema ni Chadema wenyewe na Lissu anajua. Imepita takriban miaka nane Slaa anatuambia yupo tayari kurejea CHADEMA. Je, ni nani alimpiga risasi Lissu? Ni wakati mzuri wa Dkt. Slaa kutupa yale majibu yake.
Pia soma
- Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa
- Nani mkweli kati ya Dkt. Mollel na Dkt. Slaa juu ya Lissu kupigwa risasi. Kwanini CHADEMA wanakuwa kimya? Polisi nao mbona hawachukui hatua?
- John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hakika kabisa!Itapendeza Kama ataamua kujitenga na siasa maana misingi yake ya kuharakati na ukombozi wa fikra alishindwa kuisimamia
Wacha tusubiri ashike nchi ila slaa ana mengi ya kutueleza!hayo ni mambo ya siasa tu na zilikuwa bifu kati ya slaa na DJ mbowe. kuteleza ulimi kwenye siasa ni kitu cha kawaida. lakini mbona lisu mwenyewe huwa anaamini zile nissan zilizopita morogoro chini ya bashite ndizo zitakuwa zilihusika? au hujawahi kumsikia akimlaumu bashite wazi wazi? siku lisu akishika nchi bashite atahamia msumbiji.
Wenzake walipokuwa wanateswa yeye anachekelea huo ndio ukweli na uadilifu gani. Ameishiwa hana pa kwenda anatapatapa, siasa ndiyo mkombozi pekee aliyonayo.Nafikiri slaa ni mkweli sana na muadilifu muda wowote ataweka ufafanuzi hadharani!
Wacha tumuone mwisho wake!Wenzake walipokuwa wanateswa yeye anachekelea huo ndio ukweli na uadilifu gani. Ameishiwa hana pa kwenda anatapatapa, siasa ndiyo mkombozi pekee aliyonayo.
Mtu pekee ambaye anaweza kuhusika kwa ushahidi wa kimazingira ni Freeman Mbowe maybe na Makonda.Majibu anayo slaa!
Jambo jema....Mtu pekee ambaye anaweza kuhusika kwa ushahidi wa kimazingira ni Freeman Mbowe maybe na Makonda.