kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
-
- #41
Duuh ule nao ni mzigo alipo waambia wameleta choo chumbani!Alimkimbiaa Lowasa hasa zile tuhuma ilikuwa ngumu kwake kulamba matapishi yake. Anafaa apokelewe maana ile list of shame ilikuwa ngumu kwake.
Badala mtulie mjenge Chama kujiandaa na uchaguzi mnataka kuanzisha choko chokoKipindi Mzee Slaa alipoulizwa ni nani alimpiga risasi Lissu, akasema ni Chadema wenyewe na Lissu anajua. Imepita takriban miaka nane Slaa anatuambia yupo tayari kurejea CHADEMA. Je, ni nani alimpiga risasi Lissu? Ni wakati mzuri wa Dkt. Slaa kutupa yale majibu yake.
Pia soma
- Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa
- Nani mkweli kati ya Dkt. Mollel na Dkt. Slaa juu ya Lissu kupigwa risasi. Kwanini CHADEMA wanakuwa kimya? Polisi nao mbona hawachukui hatua?
- John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Usimjibie atajibu mwenyeweAkisema aliyempiga risasi Lisu ni Mbowe na Lisu akipotezea mtafanyaje ?!
Kumbuka kaanza kwa kusema "KILICHONITOA CHADEMA KWA SASA HAKIPO " Yawezekana huyo aliyemtoa chadema ndiye huyohuyo aliyempiga risasi Lisu!.
Hata sasa wasikurupuke kumwamini bado yuko kazini huyo!Nilimdharau sana huyu mzee. Wakati wenzao wanapitia kikombe cha mateso, mauaji vifungo na kufilisiwa yeye alikuwa ubalozini akishiba na kutoa kejeli. Hata kama ni kusamehe, sio.
Slaa alikua katibu mkuu anazo siri nyingi anawajua wema na wabaya ndani ya chadema!na wewe ukaamini kuwa chadema ndo walitaka kumuua lisuš¤£š¤£
Waliuza bilioni kumi!Badala mtulie mjenge Chama kujiandaa na uchaguzi mnataka kuanzisha choko choko
Basi pia Dk Slaa atuambie Mbowe na Lisu walimuuzia Lowasa shilingi ngapi Ile nafasi ya kugombea uraisi
Tumbo joto nani sasa!wakati mnamweka ndani mlifikiri mnamkomoa kumbe ndio mnamrudisha kwenye siasa, sasa hivi ni tumbo joto.
hapo chadema hakuna mwenye ujanja ule.kupata nissan patrol na bunduki na risasi zake sio jambo dogo.kiufupi mzee slaa alita mkayale akiwa kavimbiwaSlaa alikua katibu mkuu anazo siri nyingi anawajua wema na wabaya ndani ya chadema!
Labda anao ushahidi!hapo chadema hakuna mwenye ujanja ule.kupata nissan patrol na bunduki na risasi zake sio jambo dogo.kiufupi mzee slaa alita mkayale akiwa kavimbiwa
Kwa vile yeye aliisha semaļ¼unataka aseme nini tenaļ¼ćKipindi Mzee Slaa alipoulizwa ni nani alimpiga risasi Lissu, akasema ni Chadema wenyewe na Lissu anajua.
Kuna mengi haja yasema na ndicho kipindi chake kizuri cha kusema maana alistaafu siasa lakini jana ghafla karudi rasmi!Kwa vile yeye aliisha semaļ¼unataka aseme nini tenaļ¼ć
P
ccm ndo waliotaka kumuua lisuLabda anao ushahidi!