Ni wakati sahihi kwa Iran kuwaokoa Wapalestina ambao sasa shule, hospitali na misikiti sio salama tena kukimbilia

Ni wakati sahihi kwa Iran kuwaokoa Wapalestina ambao sasa shule, hospitali na misikiti sio salama tena kukimbilia

Nyie waikristo mmadhani Iran ni Israel anategemea America. Iran atampiga Israel na US atabaki anatazama tu, akinua tu kichwa chake kumgusa Iran atabeba maiti 45,000 waliopo Gulf na hizo Carriers hairudi hata moja na F35. F22 na B2 zitakuwa hazina sifa tena duniani.
Nikikumbuka kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein alivyokufa kikatili Karbala nalia sana.

Kipenzi chetu cha dhati Imaam alikana nafsi yake kuutetea, kuupigania na kuulinda uislamu. Kupitia yeye tumepewa Tawfiq/Tawfeek ( the ability and opportunity to succeed) na tuna uhakika wa Jannah na Firdaus.

Allah amjalie kheri za dunia na Akhera. Na azidi kumfanyia wepes aendelee kummiminia Qauli Thabeet za kutosha kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S
20240810_154442.jpg
 
Hizo alili zako zakuazima US ni noma sana aisay, kwenye 1980 mpaa 1988 Iran alikuwa kwenye vita na anapigana na nchi za kiarabu karibu 12+ US na vibaraka vyake. 1990 unayo iongelea wewe Iran atoke vitani miaka miwili haijafika plus anafanyiwa vikwazo maisha yake. Uje umfananisha na huyo shoga anayepewa kila mwaka silaha za bure, na misaada ya pesa karibu mabillion kila mwaka, nadhani mwezi bado ni mchanga kwako kwa kula maboga.

We unaonyesha wale mlio lishwa maboga machanga asubuhi asubuhi akili mpaa zije kukuwa inataka miaka 30.


Israel Gaza tu mpaa leo hajashinda, chuma hicho live Gaza, afu anakuambia watamuwa si huyo anatembea Gaza


View: https://youtu.be/UtotWWjVuQc?si=Nr0oOYVUvkg-wmeL

Mnawaponza we zenu😁😂
 
Nyie waikristo mmadhani Iran ni Israel anategemea America. Iran atampiga Israel na US atabaki anatazama tu, akinua tu kichwa chake kumgusa Iran atabeba maiti 45,000 waliopo Gulf na hizo Carriers hairudi hata moja na F35. F22 na B2 zitakuwa hazina sifa tena duniani.
Oya tafuta sababu ya kifo cha rais wa marekani FDR moja ya sababu alikuwa ankataa kuanzishwa taifa la Israel.

Haiwezekani Iran aishambulie Israel then America ibaki inaangalia Hilo halitotokea
 
Hali ya Gaza inazidi kuwa mbaya na idadi ya vifo vinaongezeka kwani jeshi la Israel limekuwa huru kuua kama linavyopenda.

Wapiganaji wa Gaza wenyewe wametumia nguvu zao zote kujitetea mpaka wameishiwa nguvu.Hakuna cha kusifia kwa vikosi vya IDF kwani ni kama vile dunia nzima imeshirikiana na Israel kuwafunga mikono na miguu wapiganaji wa Gaza kuiachia Israel iwauwe.

Kilichotokea na kinachoendelea kutokea ni kuwa Netanyahu amewahadaa kikamilifu watu wa Gaza na kuwachokesha bure bila nafuu iliyotegemewa.Hatimae na Misri nayo ikaiwachia Israel ifunge mpaka wote na kudhibiti hata chakula kinachoingia Gaza.

Waziri wa Israel aitwaye Smotrich amesema sasa Israel ina uwezo wa kuwaua wapalestina wote waliobaki Gaza kwa njaa japo dunia anahofia huenda ikawazuia kufanya hivyo jambo ambalo pia hakuna nguvu ya kulizuia.

Nguvu na kasi ya Israel ya kupiga inapotaka na kuua kwenye maeneo yaliyotangazwa ni salama imekuwa kubwa sana.Hakuna tena kuchagua kambi ya wakimbizi au shule na hospitali. Inapiga tu kwa kutumia silaha nzito na kisingizio kinakuwa ni kumlenga kamanda wa Hamas.

Baada ya kuuliwa kwa Ismail Haniya Iran iliahidi kulipiza kisasi kwa kuipiga Israel. Hata hivyo raisi mpya wa Iran, Masoud amekuja na wazo la kutaka kuepusha vita hivyo yawezekana kwa woga au sababu nyengine za kiuchumi.

Tukirudi katika madhila yanayowakuta watu wa Gaza ambapo hakuna tena sehemu inayoitwa salama kuhamia na wameishiwa na nguvu. Ni wakati sahihi wa kupatikana nguvu kutoka nje itakayowaokoa kumalizwa kuuliwa na Israel.

Kwa vile maazimio ya UN na hukumu za mahakama hakuna hata moja iliyofanya kazi kuizuia Israel kuendelea kufanya unyama wake. Na kwa sababu hakuna taifa jengine lenye nguvu lililojitokeza kuleta nafuu.

Na kwa vile Iran pekee imejitokeza na ina sababu ya kuingia vitani na Israel, basi ni wakati munasibu kwa taifa hilo kumtegemea Mungu na kuingia kati kuwaokoa Wapalestina ili wasimalizwe kwa kuuliwa kwa silaha au kwa kunyimwa chakula.
View attachment 3065966
Ivi kwann Mungu anaruhusu haya yatokee,tufanye kweli wapalestina wanaonewa kwann hawaokoi kwa namna yoyote?!!
 
Ay
Hali ya Gaza inazidi kuwa mbaya na idadi ya vifo vinaongezeka kwani jeshi la Israel limekuwa huru kuua kama linavyopenda.

Wapiganaji wa Gaza wenyewe wametumia nguvu zao zote kujitetea mpaka wameishiwa nguvu.Hakuna cha kusifia kwa vikosi vya IDF kwani ni kama vile dunia nzima imeshirikiana na Israel kuwafunga mikono na miguu wapiganaji wa Gaza kuiachia Israel iwauwe.

Kilichotokea na kinachoendelea kutokea ni kuwa Netanyahu amewahadaa kikamilifu watu wa Gaza na kuwachokesha bure bila nafuu iliyotegemewa.Hatimae na Misri nayo ikaiwachia Israel ifunge mpaka wote na kudhibiti hata chakula kinachoingia Gaza.

Waziri wa Israel aitwaye Smotrich amesema sasa Israel ina uwezo wa kuwaua wapalestina wote waliobaki Gaza kwa njaa japo dunia anahofia huenda ikawazuia kufanya hivyo jambo ambalo pia hakuna nguvu ya kulizuia.

Nguvu na kasi ya Israel ya kupiga inapotaka na kuua kwenye maeneo yaliyotangazwa ni salama imekuwa kubwa sana.Hakuna tena kuchagua kambi ya wakimbizi au shule na hospitali. Inapiga tu kwa kutumia silaha nzito na kisingizio kinakuwa ni kumlenga kamanda wa Hamas.

Baada ya kuuliwa kwa Ismail Haniya Iran iliahidi kulipiza kisasi kwa kuipiga Israel. Hata hivyo raisi mpya wa Iran, Masoud amekuja na wazo la kutaka kuepusha vita hivyo yawezekana kwa woga au sababu nyengine za kiuchumi.

Tukirudi katika madhila yanayowakuta watu wa Gaza ambapo hakuna tena sehemu inayoitwa salama kuhamia na wameishiwa na nguvu. Ni wakati sahihi wa kupatikana nguvu kutoka nje itakayowaokoa kumalizwa kuuliwa na Israel.

Kwa vile maazimio ya UN na hukumu za mahakama hakuna hata moja iliyofanya kazi kuizuia Israel kuendelea kufanya unyama wake. Na kwa sababu hakuna taifa jengine lenye nguvu lililojitokeza kuleta nafuu.

Na kwa vile Iran pekee imejitokeza na ina sababu ya kuingia vitani na Israel, basi ni wakati munasibu kwa taifa hilo kumtegemea Mungu na kuingia kati kuwaokoa Wapalestina ili wasimalizwe kwa kuuliwa kwa silaha au kwa kunyimwa chakula.
View attachment 3065966
Ayatollah inabidi atulize hasira.
Maisha yake mwenyewe yanaweza kuwa hatarini.
Pia uchumi wa Iran unaweza ukayumba sana baada ya kakosa kodogo tu kwa yeye kumpiga myahudi. Big bro USA yupo anangojea tu apate kisingizio cha kumshughulikia mu-Iran.
 
Nyie waikristo mmadhani Iran ni Israel anategemea America. Iran atampiga Israel na US atabaki anatazama tu, akinua tu kichwa chake kumgusa Iran atabeba maiti 45,000 waliopo Gulf na hizo Carriers hairudi hata moja na F35. F22 na B2 zitakuwa hazina sifa tena duniani.
Iran mwenyewe kashindwa kujitetea
 
Mtume rehma na amani zimshukie kabla kupewa utume kulitokea mambo mengi kwa makuraishi kuwatayarisha na ujio wake.Hivyo hivyo kwa mitume waliomtangulia.
Haya maafa ya wapalestina na kuonekana wanyonge huku wengine wakila pilau na biriani nia matayarisho ya aina yake dunia kupokea kitu cha mshangao mkubwa.
Unamzungumzia huyo mtume wa Majini sio....!
Aliye tumwa na Majini.
Anaye endelea kuwatia ujinga.
Mtaendelea kufa kwa ujinga wenu
 
Hali ya Gaza inazidi kuwa mbaya na idadi ya vifo vinaongezeka kwani jeshi la Israel limekuwa huru kuua kama linavyopenda.

Wapiganaji wa Gaza wenyewe wametumia nguvu zao zote kujitetea mpaka wameishiwa nguvu.Hakuna cha kusifia kwa vikosi vya IDF kwani ni kama vile dunia nzima imeshirikiana na Israel kuwafunga mikono na miguu wapiganaji wa Gaza kuiachia Israel iwauwe.

Kilichotokea na kinachoendelea kutokea ni kuwa Netanyahu amewahadaa kikamilifu watu wa Gaza na kuwachokesha bure bila nafuu iliyotegemewa.Hatimae na Misri nayo ikaiwachia Israel ifunge mpaka wote na kudhibiti hata chakula kinachoingia Gaza.

Waziri wa Israel aitwaye Smotrich amesema sasa Israel ina uwezo wa kuwaua wapalestina wote waliobaki Gaza kwa njaa japo dunia anahofia huenda ikawazuia kufanya hivyo jambo ambalo pia hakuna nguvu ya kulizuia.

Nguvu na kasi ya Israel ya kupiga inapotaka na kuua kwenye maeneo yaliyotangazwa ni salama imekuwa kubwa sana.Hakuna tena kuchagua kambi ya wakimbizi au shule na hospitali. Inapiga tu kwa kutumia silaha nzito na kisingizio kinakuwa ni kumlenga kamanda wa Hamas.

Baada ya kuuliwa kwa Ismail Haniya Iran iliahidi kulipiza kisasi kwa kuipiga Israel. Hata hivyo raisi mpya wa Iran, Masoud amekuja na wazo la kutaka kuepusha vita hivyo yawezekana kwa woga au sababu nyengine za kiuchumi.

Tukirudi katika madhila yanayowakuta watu wa Gaza ambapo hakuna tena sehemu inayoitwa salama kuhamia na wameishiwa na nguvu. Ni wakati sahihi wa kupatikana nguvu kutoka nje itakayowaokoa kumalizwa kuuliwa na Israel.

Kwa vile maazimio ya UN na hukumu za mahakama hakuna hata moja iliyofanya kazi kuizuia Israel kuendelea kufanya unyama wake. Na kwa sababu hakuna taifa jengine lenye nguvu lililojitokeza kuleta nafuu.

Na kwa vile Iran pekee imejitokeza na ina sababu ya kuingia vitani na Israel, basi ni wakati munasibu kwa taifa hilo kumtegemea Mungu na kuingia kati kuwaokoa Wapalestina ili wasimalizwe kwa kuuliwa kwa silaha au kwa kunyimwa chakula.
View attachment 3065966
Mateka mushawaachia? Hizo picha za watoto wanawapaka Damu usoni wanazoweka kila siku now wamezichoka wenyewe wameanza kuwapaka watoto mavumbi hahaha
 
Nyie waikristo mmadhani Iran ni Israel anategemea America. Iran atampiga Israel na US atabaki anatazama tu, akinua tu kichwa chake kumgusa Iran atabeba maiti 45,000 waliopo Gulf na hizo Carriers hairudi hata moja na F35. F22 na B2 zitakuwa hazina sifa tena duniani.
Mkuu inaonekana unaijua iran kuliko wairan wenyewe.
Nikuulize,vita kati ya iran na iraq ilichukua miaka mingapi na ni nani alishinda?
Jumulisha vita kati ya iraq na USA nani alishinda?
angalau kuanzia hapo utajua marekani ni nani duniani
 
Hali ya Gaza inazidi kuwa mbaya na idadi ya vifo vinaongezeka kwani jeshi la Israel limekuwa huru kuua kama linavyopenda.

Wapiganaji wa Gaza wenyewe wametumia nguvu zao zote kujitetea mpaka wameishiwa nguvu.Hakuna cha kusifia kwa vikosi vya IDF kwani ni kama vile dunia nzima imeshirikiana na Israel kuwafunga mikono na miguu wapiganaji wa Gaza kuiachia Israel iwauwe.

Kilichotokea na kinachoendelea kutokea ni kuwa Netanyahu amewahadaa kikamilifu watu wa Gaza na kuwachokesha bure bila nafuu iliyotegemewa.Hatimae na Misri nayo ikaiwachia Israel ifunge mpaka wote na kudhibiti hata chakula kinachoingia Gaza.

Waziri wa Israel aitwaye Smotrich amesema sasa Israel ina uwezo wa kuwaua wapalestina wote waliobaki Gaza kwa njaa japo dunia anahofia huenda ikawazuia kufanya hivyo jambo ambalo pia hakuna nguvu ya kulizuia.

Nguvu na kasi ya Israel ya kupiga inapotaka na kuua kwenye maeneo yaliyotangazwa ni salama imekuwa kubwa sana.Hakuna tena kuchagua kambi ya wakimbizi au shule na hospitali. Inapiga tu kwa kutumia silaha nzito na kisingizio kinakuwa ni kumlenga kamanda wa Hamas.

Baada ya kuuliwa kwa Ismail Haniya Iran iliahidi kulipiza kisasi kwa kuipiga Israel. Hata hivyo raisi mpya wa Iran, Masoud amekuja na wazo la kutaka kuepusha vita hivyo yawezekana kwa woga au sababu nyengine za kiuchumi.

Tukirudi katika madhila yanayowakuta watu wa Gaza ambapo hakuna tena sehemu inayoitwa salama kuhamia na wameishiwa na nguvu. Ni wakati sahihi wa kupatikana nguvu kutoka nje itakayowaokoa kumalizwa kuuliwa na Israel.

Kwa vile maazimio ya UN na hukumu za mahakama hakuna hata moja iliyofanya kazi kuizuia Israel kuendelea kufanya unyama wake. Na kwa sababu hakuna taifa jengine lenye nguvu lililojitokeza kuleta nafuu.

Na kwa vile Iran pekee imejitokeza na ina sababu ya kuingia vitani na Israel, basi ni wakati munasibu kwa taifa hilo kumtegemea Mungu na kuingia kati kuwaokoa Wapalestina ili wasimalizwe kwa kuuliwa kwa silaha au kwa kunyimwa chakula.
View attachment 3065966
Yeye mwenyewe anaitaji kuokolewa[emoji1787]
 
Hali ya Gaza inazidi kuwa mbaya na idadi ya vifo vinaongezeka kwani jeshi la Israel limekuwa huru kuua kama linavyopenda.

Wapiganaji wa Gaza wenyewe wametumia nguvu zao zote kujitetea mpaka wameishiwa nguvu.Hakuna cha kusifia kwa vikosi vya IDF kwani ni kama vile dunia nzima imeshirikiana na Israel kuwafunga mikono na miguu wapiganaji wa Gaza kuiachia Israel iwauwe.

Kilichotokea na kinachoendelea kutokea ni kuwa Netanyahu amewahadaa kikamilifu watu wa Gaza na kuwachokesha bure bila nafuu iliyotegemewa.Hatimae na Misri nayo ikaiwachia Israel ifunge mpaka wote na kudhibiti hata chakula kinachoingia Gaza.

Waziri wa Israel aitwaye Smotrich amesema sasa Israel ina uwezo wa kuwaua wapalestina wote waliobaki Gaza kwa njaa japo dunia anahofia huenda ikawazuia kufanya hivyo jambo ambalo pia hakuna nguvu ya kulizuia.

Nguvu na kasi ya Israel ya kupiga inapotaka na kuua kwenye maeneo yaliyotangazwa ni salama imekuwa kubwa sana.Hakuna tena kuchagua kambi ya wakimbizi au shule na hospitali. Inapiga tu kwa kutumia silaha nzito na kisingizio kinakuwa ni kumlenga kamanda wa Hamas.

Baada ya kuuliwa kwa Ismail Haniya Iran iliahidi kulipiza kisasi kwa kuipiga Israel. Hata hivyo raisi mpya wa Iran, Masoud amekuja na wazo la kutaka kuepusha vita hivyo yawezekana kwa woga au sababu nyengine za kiuchumi.

Tukirudi katika madhila yanayowakuta watu wa Gaza ambapo hakuna tena sehemu inayoitwa salama kuhamia na wameishiwa na nguvu. Ni wakati sahihi wa kupatikana nguvu kutoka nje itakayowaokoa kumalizwa kuuliwa na Israel.

Kwa vile maazimio ya UN na hukumu za mahakama hakuna hata moja iliyofanya kazi kuizuia Israel kuendelea kufanya unyama wake. Na kwa sababu hakuna taifa jengine lenye nguvu lililojitokeza kuleta nafuu.

Na kwa vile Iran pekee imejitokeza na ina sababu ya kuingia vitani na Israel, basi ni wakati munasibu kwa taifa hilo kumtegemea Mungu na kuingia kati kuwaokoa Wapalestina ili wasimalizwe kwa kuuliwa kwa silaha au kwa kunyimwa chakula.
View attachment 3065966
Wewe una kichaa, yani Iran aharibu nchi yake kisa Palestina? Netanyahu aliposema Gaza itakuwa mahame hakuwa anatania. Wako wapi Hamas walioimbwa kuwa ni wapiganaji hodari? Iran anawapanga tu pale hatiii mguu. Israel anavyopiga kila mahali kuanzia Gaza, Syria, Yemen, Lebanon ni kama kajiandaa kwa vita hasa.
 
Nyie waikristo mmadhani Iran ni Israel anategemea America. Iran atampiga Israel na US atabaki anatazama tu, akinua tu kichwa chake kumgusa Iran atabeba maiti 45,000 waliopo Gulf na hizo Carriers hairudi hata moja na F35. F22 na B2 zitakuwa hazina sifa tena duniani.
Labda ampige hapa JF.
 
Mkuu inaonekana unaijua iran kuliko wairan wenyewe.
Nikuulize,vita kati ya iran na iraq ilichukua miaka mingapi na ni nani alishinda?
Jumulisha vita kati ya iraq na USA nani alishinda?
angalau kuanzia hapo utajua marekani ni nani duniani
Wacha nikueleze nautumie akili sasa vita vya Iraq na Iran hakuna aliye shinda lakini Iraq alisaidiwa na nchi za kiarabu karibu zote isipokuwa Syria na badhi ya nchi za kiarabu.

Nchi zilizo msaidia Iraq wazi wazi kabisa ni zote GCC countries isipokuwa Oman tu. Saud Arabia, Kuwait, Qatar, UAE, Baharain na upande wa nchi za kiarabu Egypt, Jordan, Morocco. Wengine nyuma ya pazia+ USA, UK, France pia hao walimsaidia Iraq. Afu Iraq ndio alianza vita na ndiye aliye kuwa anaomba vita visimame.

Kuhusu vita vya Iraq na USA alikusanya mataifa 46 ilikumpiga Iraq afu wakampiga sunction miaka, afu wakavunja silaha kwa kutumia UN resolution bada ya kuona wamevunja silaha zote ndio US akanzisha vita vya pili na Iraq tena hakwenda peke yake alienda na mataifa haya Ukraine, UK, Australia, South Korea, Norway, Netherlands na etc.

Plus General wao anaitwa Mad Dog alikiri wazi kuwa waliwahonga badhi ya askari wa Iraq haswa wale maofficers ili wapite kiulaini, pia walituamia tactical nuclear weapons.

USA ni Super Power wa vitisho tu kama mlivyo mkuza Israel, huoni USA kaja kulilinda taifa analo lisifia ni super power wa mchongo 😄
 
Wewe una kichaa, yani Iran aharibu nchi yake kisa Palestina? Netanyahu aliposema Gaza itakuwa mahame hakuwa anatania. Wako wapi Hamas walioimbwa kuwa ni wapiganaji hodari? Iran anawapanga tu pale hatiii mguu. Israel anavyopiga kila mahali kuanzia Gaza, Syria, Yemen, Lebanon ni kama kajiandaa kwa vita hasa.
Aliyeimbwa kuwa ni shujaa ni Israel ambaye ameshindwa kufikia malengo yake ya vita kwa karibu mwaka sasa.
Hamas inajulikana ni watu shujaa ambao hawana lolote jengine mbele ya Israel na Marekani.
 
Nchi zilizo msaidia Iraq wazi wazi kabisa ni zote GCC countries isipokuwa Oman tu. Saud Arabia, Kuwait, Qatar, UAE, Baharain na upande wa nchi za kiarabu Egypt, Jordan, Morocco. Wengine nyuma ya pazia+ USA, UK, France pia hao walimsaidia Iraq. Afu Iraq ndio alianza vita na ndiye aliye kuwa anaomba vita visimame.
Ikumbukwe kwamba kusaidiwa nayo ni mbinu ya kimaisha,ikionesha unavyoishi vizuri na majirani zako,
ukiona umepatwa na janga lolote usipate mtu wa kukukimbilia basi jiulize mara mbili,
Na ukiona hivyo basi tambua wewe ni mbaya katika jamii unayoishi.
 
Wakati wa vita kuna shule zinasomesha au magaidi wanajifichiamo.. wapuuzi wanapiga kelele eti Israel wamelipua shule.. wakti kuna silaha eneo hizo
 
Back
Top Bottom