Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
HayakuhusuMnawashitaki lini?
Aibu tupu. Zile mbwembwe za akina Mahitaπ€£π€£Mbowe ameshinda na sasa ni wakati sahihi kabisa wa Kingai na genge lake kurejesha fedha walizompora Adam na wenzake pale Rau Moshi.
Waanze kujichanga faster then tutawashtaki as individuals
Waliporaje? Sh ngap?Mbowe ameshinda na sasa ni wakati sahihi kabisa wa Kingai na genge lake kurejesha fedha walizompora Adam na wenzake pale Rau Moshi.
Waanze kujichanga faster then tutawashtaki as individuals
Laki sita, wakati wanawakamataWaliporaje? Sh ngap?
Hakukua na kitu kama hichoHivi je na ile bastola na yale madawa ya kulevya?
Atazinya wallahAtakuwa alishazitafuna, Hana tofauti na Sabaya
Hivi kashinda au kaombewa msamahaMbowe ameshinda na sasa ni wakati sahihi kabisa wa Kingai na genge lake kurejesha fedha walizompora Adam na wenzake pale Rau Moshi.
Waanze kujichanga faster then tutawashtaki as individuals
π πππππNyani Katema Bungo.Aibu tupu. Zile mbwembwe za akina Mahitaπ€£π€£
Duhπ πππππNyani Katema Bungo.
Halafu Siyo Msimu Wa Maembe
Kabla ya kutoa hukumu kesi imefutwa na mleta kesi.Hivi kashinda au kaombewa msamaha
Baba Jambazi toto Jambazi kuna familia nyingine zimelaaniwaAibu tupu. Zile mbwembwe za akina Mahitaπ€£π€£
Warudishe na bastora ya watuMbowe ameshinda na sasa ni wakati sahihi kabisa wa Kingai na genge lake kurejesha fedha walizompora Adam na wenzake pale Rau Moshi.
Waanze kujichanga faster then tutawashtaki as individuals
Kama sikosei ni laki 2 na elf 60.Laki sita, wakati wanawakamata
KeshoMnawashitaki lini?
Samia kamuomba msamaha Mbowe!Hivi kashinda au kaombewa msamaha