chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Serikali inabidi Sasa ifikirie kuunda maeneo mapya ya kibiashara, nje ya kariakoo.
Ni ajabu mpaka leo, kariakoo ndio eneo pekee la kibiashara Dar es Salaam, na hicho ndio chanzo cha msongamano mjini.
Uwepo mkakati wa makusudi kuwekeza maeneo kama ubungo, kimara, bunju, tegeta kwa kujenga satellite towns huko, ikiwa na miundombinu yote ya kisasa. Ni wakati Sasa kuifinya kariakoo kwa kutengeneza kariakoo nyingine pembezoni, hivyo kuwaondoa watu mjini kati.
Hata hao wakwepa Kodi wanaogoma, wanatumia advantage hivyo kwamba mbadala wa uhakika hakuna.
Ni ajabu mpaka leo, kariakoo ndio eneo pekee la kibiashara Dar es Salaam, na hicho ndio chanzo cha msongamano mjini.
Uwepo mkakati wa makusudi kuwekeza maeneo kama ubungo, kimara, bunju, tegeta kwa kujenga satellite towns huko, ikiwa na miundombinu yote ya kisasa. Ni wakati Sasa kuifinya kariakoo kwa kutengeneza kariakoo nyingine pembezoni, hivyo kuwaondoa watu mjini kati.
Hata hao wakwepa Kodi wanaogoma, wanatumia advantage hivyo kwamba mbadala wa uhakika hakuna.