Ndio maana kama nchi tulipinda uelekeo sio,hizi suburbs zote za Dar zilitakiwa ziwe na shopping malls zao,na ofisi zote za kijamii, mkazi wa Tegeta haina haja ya kwenda kariakoo au ilala, hawa walitakiwa wajengewe mall na ofisi za serikali kule kule,jiji la Dar ni uchafu, linabidi tulijenge upya..tembelea pale kariakoo kuna flats zimekaribiana mno hata mnaweza to exchange coffee mugs!hii ni craze, jiji halina drainage systems, njia zote za uokoaji zimezibwa!angalia yule crocodile aliyejenga mitaa ya kinondoni A,magomeni yaani akifufuka leo ataamua kujirudia tena kaburini, hii nchi mbona stories zipo nyingi kuliko utendaji?