Livingson1
Member
- Jul 13, 2021
- 30
- 26
Utupaji wa taka hovyo ni changamoto za utunzaji wa mazingira, Serikali na wadau mbali mbali wanaweza kutoa elimu juu ya utunzaji wa mazingira.
Kuanzisha sheria itakayopinga utupaji wa taka hovyo, Kutengeneza dustbin kubwa na kuziweka kwenye maeneo yenye mikusanyiko ya watu kisha zikijaa kuondokewa na kutupwa sehemu sahihi.
Ni muda sasa serikali kuliangalia hili kwa jicho la pili mitaa yetu bado ina uchafu sana, japokuwa pia naipongeza serikali kwa kupunguza vifungashio vya plastic
Bado kuna uchafu upo kwenye mitaa huu unasababisha hata chamber kuziba, magonjwa, mafuriko kipindi cha mvua, kwa ujumla hii huweza kuoelekea hata vifo
Kuanzisha sheria itakayopinga utupaji wa taka hovyo, Kutengeneza dustbin kubwa na kuziweka kwenye maeneo yenye mikusanyiko ya watu kisha zikijaa kuondokewa na kutupwa sehemu sahihi.
- Hii itasaidia kupunguza magonjwa .
- Kutunza mazingira yetu, kuishi _kwenye mazingira safi na salama,
- Kutunza uoto wa asili,
- Hali ya hewa nzuri kwaajili yetu sisi na kizazi kijacho,
Ni muda sasa serikali kuliangalia hili kwa jicho la pili mitaa yetu bado ina uchafu sana, japokuwa pia naipongeza serikali kwa kupunguza vifungashio vya plastic
Bado kuna uchafu upo kwenye mitaa huu unasababisha hata chamber kuziba, magonjwa, mafuriko kipindi cha mvua, kwa ujumla hii huweza kuoelekea hata vifo