2019 JF-Expert Member Joined Dec 31, 2018 Posts 3,130 Reaction score 4,735 Nov 2, 2022 #1 Hii mara nyingine tena nchi inaibika sababu ya club moja tu. Uwanja wa Mkapa una hadhi yake, unapoutumia tumia kuleta sifa sio aibu. Kwa sasa bora mkacheze Kirumba tu.
Hii mara nyingine tena nchi inaibika sababu ya club moja tu. Uwanja wa Mkapa una hadhi yake, unapoutumia tumia kuleta sifa sio aibu. Kwa sasa bora mkacheze Kirumba tu.
Strong JF-Expert Member Joined Jun 9, 2013 Posts 515 Reaction score 454 Nov 2, 2022 #2 Ikiwezekana wapigwe marufuku hata kushiriki michuano ya kimataifa mkuu huu sasa ni uhuni
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Nov 2, 2022 #3 Kichwa cha familia iko kinatoa mawazo.
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Nov 2, 2022 #4 Afu kule Tunis lazima wafanyiwe ya ajabu
Mwalimu wa tuisheni JF-Expert Member Joined Oct 19, 2019 Posts 6,602 Reaction score 10,801 Nov 2, 2022 #5 Zao la tozo hili
2019 JF-Expert Member Joined Dec 31, 2018 Posts 3,130 Reaction score 4,735 Nov 2, 2022 Thread starter #6 HIMARS said: Afu kule Tunis lazima wafanyiwe ya ajabu Click to expand... Kama ya Kipanga FC😁😁
2019 JF-Expert Member Joined Dec 31, 2018 Posts 3,130 Reaction score 4,735 Nov 2, 2022 Thread starter #7 Strong said: Ikiwezekana wapigwe marufuku hata kushiriki michuano ya kimataifa mkuu huu sasa ni uhuni Click to expand... Kama viongozi wana hekima bora wajitoe tu
Strong said: Ikiwezekana wapigwe marufuku hata kushiriki michuano ya kimataifa mkuu huu sasa ni uhuni Click to expand... Kama viongozi wana hekima bora wajitoe tu