Ni wakati sasa serikali waweke barabara nne kwenye daraja la Mkaramo mlandizi

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Hili eneo limekua kero, na limeua watu wengi sana ndugu zangu, kwa mfano leo hii yenyewe ni foleni kubwa sana.

Serikali fanyeni jambo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…