Basata kuna double standards za wazi wazi halafu hawa hawa walisema msanii kabla ya kurekodi audio apeleke mashairi yakahakikiwe na baraza, na akitoa video kabla ya kuisambaza aipeleke kwanza kwao waihakiki lakini bado tumashahidi wa audio na video chafu kila kukicha. Ninahisi rushwa imetamalaki pale