Ni wakati sasa wa kumuangukia Ridhiwan Kikwete na kumfikiria kwenye nafasi za juu hapo baadaye?

Mtu ukiweza kujisimamia mwenyewe kwenye maisha kutafuta riziki halali kwako na familia yako, hautalazimika kuishi maisha ya kumpamba yeyote ili uishi.

Anampamba mtu mwenye machicha ya nazi kichwani! Huyo hata rafiki zake wanamjua kuwa ni muuza ngada unajisumbua kumsafisha. Ni sawa na kutaka kuwaaminisha wananchi kuwa Baba yake hakuwa mbia wa biashara na HOME SHOPPING CENTRE!!! Hakuna mtu mwenye akili atakusikiliza.
 
Kwanza tujiulize mambo yafuatayo:
1. mtoto wa rais ana fursa nyingi sana za kupiga hela tena kwa njia laini kwanini aende kufanya biashara ya madawa ya kulevya?

2. hivi haya kama anataka kufanya hiyo biashara hivi inaingia akilini hayo madawa ayabebe yeye mwenyewe?

3. uliona wapi rais eti anawaahidi watu au nchi nyingine gesi?
 
Mtaipeleka nchi gizani. Huyu mtoto hafai hata UENYEKITI wa mtaa.
Ana utajiri wa kutisha wakati hatujamuona akifanya biashara zozote.
Alijifanya ana madaraka kipindi Cha JK.
Kwanza huyu dogo ana qualification gani Hadi mumtaje? Was he very bright at school?
Hili linalosemwa Kati yake na China Lina ukweli wowote?
 
Tetesi eti ww ni mmmoja wao na kwamba mnapigia chepuo la uwazir wa wizara fulan, ongezeeni bidii labda
 
Muda ni hakimu wa haki kila kitu kimekuwa wazi kabisa
 
Tayari ni mbunge wa jimbo Deceiver
 
In Africa anything is possible, kwa hiyo sioni cha ajabu hapo, japo haipendezi.

Hassani mwinyi
January Makamba
Ridhiwani kikwete.

Wote ni watoto wa vigogo wa CCM moja wao atakua Raisi wajamuhuri ya Mgaano wa TZ, ili kuepuka makosa ya kuingiza watu kama JPM kwenye uraisi, hilo kosa CCM hatakuja kurirudia tena.
 
Naunga mkono hoja 100%
 
Bandari ya Bagamoyo ni Mwendazake tu alitibua ndo maana Sasa inarudishwa kwa nguvu.
Kama issue ni kusingiziwa mbona kina Gwajima walitajwa mpaka kupekuliwa,walilipwa Nini?
Redhiwani hamjaridhika tu mlivyo ifisadi hi nchi? Unataka Cherie Tena?
Haitishi wewe na mama yako kuwa wabunge?na baba yako si ndo rais was Sasa?
 
MWOMBE WEWE KWA MIAABA YA WENZIO.

BATA WEWE
 
mtoto wa rais ana fursa nyingi sana za kupiga hela tena kwa njia laini kwanini aende kufanya biashara ya madawa ya kulevya

Huwa hawatosheko hawa sababu ya tamaa!! Huoni baba yake ingawa ana majumba Msoga, Dodoma,Bagamoyo. Dar es salaam bado akatukamua walipa kodi tumjegee nyumba nyingine kwa vile walijiwekea kuwa wajengewe wakistaafu!! Ni uroho tu hawatosheki!
 
Unapaswa kufahamu ridhiwani anafahamika na watu, niishie hapo tu. Ila........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…