Ni wakati sasa wa kuwa na michepuko ya kimataifa

Ni wakati sasa wa kuwa na michepuko ya kimataifa

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wasalaam wana JF

Kama mnakumbuka niliwahi ongelea tabia mbaya za dada zetu wa Tanzania katika uzi wangu hapo chini

Sasa basi nimeamua, bila kushurutishwa kufanya usajili wa mipango ya kando kutoka nchi jirani, yaani wanachama wa East African Community (EAC).

Malengo makuu ni yafuatayo:
1. Kupata uzoefu wa kimataifa;
2. Kukuza cross border love and affairs;
3. Kusambaza mbegu za kitanzania nje ya mipaka yetu:
4. Kuifungua Tanzania ki-ngono; na
5. Kuachana na omba omba wa ndani

Matarajio:
1. Kupata papuchi kali za Kikuyu, Ankole, Nyarwanda, na Kikongo;
2. Kukua kwa mahusiano ya kimataifa;
3. Kuogeza influence ya kitanzania nje ya mipaka yetu;
4. Kuonesha uwezo wa ngono za kitanzania, na
5. Kuwanyoosha akina dada wa Tanzania kuacha ku omba omba

Tufaidi mema ya ulimwengu
 
Ukarimu haupo kwa wadada wa kitanzania hasa wakikristo, atleast kidogo kwa waislam you can feel leisure to have dat woman,.
° Ukarimu
° Usikivu
° Utii
° Unyeyekevu
Kwa wakristo, mapenzi huwa ni ya muda mfupi tu hasa baada ya ndoa na kupata watoto wawili ni shida,
° Ujuaji mwingi
° Ubabe
° Masikilizano zero
° Kila kitu yeye ndiye mjuaji
° Pesa kwake huwa hazitoshi

N. B, MFUMO WA UTOAJI TALAKA NI MFUMO WA MUNGU NA NI MFUMO MWEMA, ITS A GOVERNOR. ENDAPO KAMA UPO KWENYE VITABU NA ENDAPO KAMA KWELI UMEANDIKWA, UTENGULIWE.
 
Ukarimu haupo kwa wadada wa kitanzania hasa wakikristo, atleast kidogo kwa waislam you can feel leisure to have dat woman,.
Ukarimu ni tabia haina uhusiano na dini, pengine inaweza ikahusishwa na tamaduni kwa mbaali. Kuna makabila wanawake wao siyo wachoyo, wanagawa papuchi bila hiyana
 
Sawa ngoja nchi ipate high breed,

Unafikiria utawapitisha kwenye njia za panya?

Lazima dolari zikutoke
 
Msiziongelee vibaya pisi za kibongo acheni kabisa hizi pisi kama zilishushwa kama unanyimwa faragha jitafakari sana
Usikae kwenye comfort zone siku zote, utapitwa na mengi, dunia hii ni yetu sote, tukale na papuchi nyingine wajameni
 
Wasalaam wana JF
Kama mnakumbuka niliwahi ongelea tabia mbaya za dada zetu wa Tanzania katika uzi wangu hapo chini

Sasa basi nimeamua, bila kushurutishwa kufanya usajili wa mipango ya kando kutoka nchi jirani, yaani wanachama wa East African Community (EAC).

Malengo makuu ni yafuatayo:
1. Kupata uzoefu wa kimataifa;
2. Kukuza cross border love and affairs;
3.kusambaza mbegu za kitanzania nje ya mipaka yetu:
4. Kuifungua Tanzania ki-ngono; na
5. Kuachana na omba omba wa ndani

Matarajio:
1.kupata papuchi kali za Kikuyu, Ankole, Nyarwanda, na Kikongo;
2. Kukua kwa mahusiano ya kimataifa;
3.kuogeza influence ya kitanzania nje ya mipaka yetu;
4. Kuonesha uwezo wa ngono za kitanzania, na
5. Kuwanyoosha akina dada wa Tanzania kuacha ku omba omba

Tufaidi mema ya ulimwengu
Yani huna hela unataka kimataifa😂😂😂 tafuta hela brooo utapata kila Aina unayo itaka
 
Wasalaam wana JF
Kama mnakumbuka niliwahi ongelea tabia mbaya za dada zetu wa Tanzania katika uzi wangu hapo chini

Sasa basi nimeamua, bila kushurutishwa kufanya usajili wa mipango ya kando kutoka nchi jirani, yaani wanachama wa East African Community (EAC).

Malengo makuu ni yafuatayo:
1. Kupata uzoefu wa kimataifa;
2. Kukuza cross border love and affairs;
3.kusambaza mbegu za kitanzania nje ya mipaka yetu:
4. Kuifungua Tanzania ki-ngono; na
5. Kuachana na omba omba wa ndani

Matarajio:
1.kupata papuchi kali za Kikuyu, Ankole, Nyarwanda, na Kikongo;
2. Kukua kwa mahusiano ya kimataifa;
3.kuogeza influence ya kitanzania nje ya mipaka yetu;
4. Kuonesha uwezo wa ngono za kitanzania, na
5. Kuwanyoosha akina dada wa Tanzania kuacha ku omba omba

Tufaidi mema ya ulimwengu
Vijana wetu nao watuletee mataifa mengine sio dada zetu wanachukuliwa tu mpaka na Wanaigeria masikini masikini
 
Ukarimu haupo kwa wadada wa kitanzania hasa wakikristo, atleast kidogo kwa waislam you can feel leisure to have dat woman,.
°Ukarimu
°Usikivu
°Utii
°Unyeyekevu
Kwa wakristo, mapenzi huwa ni ya muda mfupi tu hasa baada ya ndoa na kupata watoto wawili ni shida,
°Ujuaji mwingi
°Ubabe
°Masikilizano zero
°Kila kitu yeye ndiye mjuaji
°pesa kwake huwa hazitoshi
N. B, MFUMO WA UTOAJI TALAKA NI MFUMO WA MUNGU NA NI MFUMO MWEMA, ITS A GOVERNOR. ENDAPO KAMA UPO KWENYE VITABU NA ENDAPO KAMA KWELI UMEANDIKWA, UTENGULIWE.
Nyie bhana si muwafate hao waislam,

Kwa mujibu wa mada hii hizo za kimataifa ndo zenye ubabe, hazijui kujali Wala kubembeleza wanaume, hakuna kisicho kasoro, tatizo letu tunaomba omba Sana lakini zunguka pote ila katika kuuishi uanamke kwa mwanaume wanawake wa kitanzania tunajua bhana, tunawabembelezaga km watoto vile, we ulisikia wapi mkikuyu au mnyankole kumuogesha mwanaume, mnatupiga matukio ila hatukati tamaa tumo, hadi miguu mnanawishwa, tamaduni zetu ziko tofauti na hao wengine
 
Nyie bhana si muwafate hao waislam,

Kwa mujibu wa mada hii hizo za kimataifa ndo zenye ubabe, hazijui kujali Wala kubembeleza wanaume, hakuna kisicho kasoro, tatizo letu tunaomba omba Sana lakini zunguka pote ila katika kuuishi uanamke kwa mwanaume wanawake wa kitanzania tunajua bhana, tunawabembelezaga km watoto vile, we ulisikia wapi mkikuyu au mnyankole kumuogesha mwanaume, mnatupiga matukio ila hatukati tamaa tumo, hadi miguu mnanawishwa, tamaduni zetu ziko tofauti na hao wengine
Umenena vyema, ila ngoja twende international. Ata timu zetu zinzpiga international friendly match
 
Back
Top Bottom