MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #21
Tajiri anuniwi😂😂😂😂 Ndo mrudi na 💵💵tutawapokea km vile hamna kilichotokea😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tajiri anuniwi😂😂😂😂 Ndo mrudi na 💵💵tutawapokea km vile hamna kilichotokea😂
Kabisa yani lazima upambane kutafuta maweUkikosa hela ata wazo la kuteleza kwa dada wa kazi hapo nyumbani halipo
🤩🤩Tajiri anuniwi
Uko bongo au unaisikia kwenye vyombo vya habari?Wanawake wote wanafanana Duniani.
Raha ya wanawake WA kibongo ujue kuchakata, Hilo tuu hata pesa hautaombwa
Uko bongo au unaisikia kwenye vyombo vya habari?
Lazima😄😄😄Sawa ngoja nchi ipate high breed,
Unafikiria utawapitisha kwenye njia za panya?
Lazima dolari zikutoke
Pamoja mkuuMkuu nakuunga mkono... Nenda katuwakilishe vyema....
Sawa ni jambo jema sana hili ila nijuavyo Wa Tz tukiamua kuvuka mipaka ile lugha ya kwa Malkia inatuzingua je means of communication itabaki kuwa ni Kiswahili?Wasalaam wana JF
Kama mnakumbuka niliwahi ongelea tabia mbaya za dada zetu wa Tanzania katika uzi wangu hapo chini
80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'
Wasalaam wana JF Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli. Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi, yaani wanawake na akina dada. Wana njaa kali na wanajitoa muhanga kwenye front zote. Wako...www.jamiiforums.com
Sasa basi nimeamua, bila kushurutishwa kufanya usajili wa mipango ya kando kutoka nchi jirani, yaani wanachama wa East African Community (EAC).
Malengo makuu ni yafuatayo:
1. Kupata uzoefu wa kimataifa;
2. Kukuza cross border love and affairs;
3. Kusambaza mbegu za kitanzania nje ya mipaka yetu:
4. Kuifungua Tanzania ki-ngono; na
5. Kuachana na omba omba wa ndani
Matarajio:
1. Kupata papuchi kali za Kikuyu, Ankole, Nyarwanda, na Kikongo;
2. Kukua kwa mahusiano ya kimataifa;
3. Kuogeza influence ya kitanzania nje ya mipaka yetu;
4. Kuonesha uwezo wa ngono za kitanzania, na
5. Kuwanyoosha akina dada wa Tanzania kuacha ku omba omba
Tufaidi mema ya ulimwengu
Mkuu kwenye mapenzi ata mabubu wanaelewanaSawa ni jambo jema sana hili ila nijuavyo Wa Tz tukiamua kuvuka mipaka ile lugha ya kwa Malkia inatuzingua je means of communication itabaki kuwa ni Kiswahili?