Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
aaah bana we,hujui kitu mkuu,Nyimbo zilizopo kweny album ya chib zinapigwa sana mtaani,labda km mtaani kwenu huko Ushetu lakin si mitaa ya Bongo DarisalamaNakubaliana na wewe!
Diamond ametoa album lakini mtaani wala hakuna zile amsha amsha kama zamani hata akisema tarehe flani anachia ngoma mtaa mzima kimya!!
Hata ukisikiliza hupati ile radha tamu iliyokuwepo zamani kwenye nyimbo zake
Yaan imepooza kama imemwagiwa mkojo wa ngedere....ila ngoja tuendelee kuchek...Hii reception imegwaya saana,
Kwa mfano leo taifa kabla ya mechi kulikuwa na burudan y muzik katika nyimbo zote zilizopigwa mchana wote sijaskia ngoma hata moja ya Kiba,yan kazidiwa hata na Moni.....kwa ufupi katika event yoyote kama ni mfatiliaji huwa ngoma za Ali hazipigwi na sabab ni moja tu,hazi amshi mzuka....Labda kwako ila jamaa yupo vizuri,ila tatizo washika dau wanataka kumshusha ila raia mtaani wanamsikiliza sana.Ujue nimekuja kugundua kuna wasani wanapata air time sana kwenye maredio na wale wanaopata airtime uswahilini,ila kwa wasanii wenye airtime kubwa hasa uswahilini ni Aslay,Diamond,Rayvany na Harmonize mpaka hivi sasa.
Ila babu Mshana ukicheki nyota zao unaonaje...binafsi naona Diamond akiwa na huyu bibie kama nyota yake inafifia.
Ww unaonaje Mr.Mshana..
.Na mahitaji ya nyakati pia ni sababu mojawapo... Kila kitu huwa na ukomo wake.. Lakini kuwa na mwanamke aina ya Mobeto ambaye mamaake ana fikra za mwanae kuolewa na mzungu nalo ni janga lingine
Izo ni hadithi za abunuwasi .....itakua ni zamu ya juxTangu sasa na hata milele
Mtaani ni Nyimbo za WCB ndiyo zinapigwa labda kama utaleta ushabiki tuuNakubaliana na wewe!
Diamond ametoa album lakini mtaani wala hakuna zile amsha amsha kama zamani hata akisema tarehe flani anachia ngoma mtaa mzima kimya!!
Hata ukisikiliza hupati ile radha tamu iliyokuwepo zamani kwenye nyimbo zake
Umebugi[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama sio wa kwanza kucomment basi nahisi sio wa tatu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
Kwa ukubwa wa hili tukio, bora ungefungua, thread yake inayojitegemea la sivyo utabaki peke yakoLeo naangslia pekeyangu tu? Wapi team Kiba?View attachment 760813View attachment 760814
[emoji23][emoji23][emoji23] waseme mara ngap mkuu.Hawakawii kusema tatizo Ruge!
Mimi nilikuwa ni wa pili kucomment kutoka kwa mwenye postUmebugi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nijuavyo katika ndoa ya kwanza tena ya Kiislam ni ngumu sana mtu kumuoa aliyezaa nae nje ya ndoa, amini hilo.Nampenda Kiba nampenda Dimond namuombea na Dimond aje amuoe Hamisa mobeto walee watoto wa Zari
Ali Kiba amewahi kuwa juu lini? Acheni kumpa sifa za kijinga huyo jamaa. Alikuwa kawaida kama wasanii wengine na wala hakuwahi utawala muziki wa Bongo fleva.