Hata mimi siku hizi hata nikisikia katoa wimbo sihangaiki kuutafta mpaka niusikie bahati mbaya yani ni tofauti ni kipindi cha nyuma.
Uwa nazisikia kwa mabodaboda mfano kuna wimbo unaitwa baira ndiyo nausikia mabodaboda hapa wanaupiga sana ila bado hata sijatatfuta hiyo album.
Zamani yani nilipokuwa nasikia anatoa nyimbo nahesabu masaa lazima nkausake.
Ila kuna radha naimiss ile ya ukimuona, lala salama, mawazo, nalia, my number 1 sijui ni kuzoea uimbaji wake au vipi lakini ndiyo hivyo.
Ila jamaa namkubari maana ni hustler wa ukweli