Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,445
Bakhresa adhamini na ligi ya zanzibar, ni aibu sana kuiacha ligi hiyo wakati sehem nyingine anamwaga fedha nyingi... Hata kama anatanua soko la bidhaa zake lakini kuiacha zanzbar ambayo ni asili yake si busara