Si beki tu hata safu yao ya ushambuliaji ni hatari wakiwa Camp Nou tu not otherwise na kumbuka uefa ni home and awayTatizo la Barca ni beki.
Safu ya mbele ikiwa na makali ya kiwembe hata tatizo la beki huwa halionekani sasa hivi hata safu ya ulinzi ya madrid iliyokuwa inasifika ni bora chini ya Ramos inaonekana dhaifu kisa tu makali ya safu yao ya ushambuliaji kupunguaBarcelona haimwitaji Naymar tatizo la Barcelona timu yao kama gagulo linabana juu chini linaachia.Bercelona beki hawana,nimeshangaa kwa nini msimu huu Umtiti anaanzia benchi kwani beki mzuri na mwenye uzoefu.Yaliywakuta wameyataka wenyewe na ni haki yao.
Nani kwa kwambia,timu lazima ibalance,kwa msimu wa mwaka jana safu ya ulinzi ya Liverpool ilikuwa bora kuliko zote ulaya lakini beki yao iliruhusu magoli mengi.Sasa angalia Liverpool msimu huu wamesajili beki,angali timu yao inavyoperform.Safu ya mbele ikiwa na makali ya kiwembe hata tatizo la beki huwa halionekani sasa hivi hata safu ya ulinzi ya madrid iliyokuwa inasifika ni bora chini ya Ramos inaonekana dhaifu kisa tu makali ya safu yao ya ushambuliaji kupungua
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Kutolewa kwa barca huwezi laumu safu yq ulinzi pekee kumbuka ndio iliyowazuia wakina Salah kupata hata goli moja Camp Nou lakini kwa mtindo wa Barca wa kushinda nyumbani tu na kushindww hatw kupata goli awy ni ngumu kusongaNani kwa kwambia,timu lazima ibalance,kwa msimu wa mwaka jana safu ya ulinzi ya Liverpool ilikuwa bora kuliko zote ulaya lakini beki yao iliruhusu magoli mengi.Sasa angalia Liverpool msimu huu wamesajili beki,angali timu yao inavyoperform.
Barca tokea msimu uliopita ana hili tatizo misimu miwili kwenye robo fainali kapigwa tatu bila na AS Roma,mwaka kapigwa nne bila na Liverpool,ww huoni tatizo.Kutolewa kwa barca huwezi laumu safu yq ulinzi pekee kumbuka ndio iliyowazuia wakina Salah kupata hata goli moja Camp Nou lakini kwa mtindo wa Barca wa kushinda nyumbani tu na kushindww hatw kupata goli awy ni ngumu kusonga
Hujui boli weweKama hujui pale Barca Messi ndo kocha mkuu,aliyepo ni kivuli tu.
Neymar keshaisha habari yake kabaki kuwa bondia
Hujui boli wewe
Ni wazi Barcelona wameanza kupotea taratiibu katika Uefa Champions league ni miaka sita sasa sio muda utasikia ni miaka 10
Binafsi nikikumbuka Neymar alivyokuwa Barcelona ni wazi anahitajika mno kurudisha makali ya timu hasa pale Messi anapopotea
Ilionekana si kitu kumuuachia Neymar wengi wakidhani Barcelona ingeendeleza ubabe wake ulaya kama kawaida wakiwa na Messi na Suarez na baadae mbrazil Coutinho ila ni wazi pengo la Neymar linaonekana mrudisheni kijana wenu kashajifunza hatalilia tena sifa za Messi badala yake atajitahidi kumfanya Messi awe bora zaidi duniani
Upo sawa pale Messi anakosa feeders wa maana Suarez auzwe tuNi wazi Barcelona wameanza kupotea taratiibu katika Uefa Champions league ni miaka sita sasa sio muda utasikia ni miaka 10
Binafsi nikikumbuka Neymar alivyokuwa Barcelona ni wazi anahitajika mno kurudisha makali ya timu hasa pale Messi anapopotea
Ilionekana si kitu kumuuachia Neymar wengi wakidhani Barcelona ingeendeleza ubabe wake ulaya kama kawaida wakiwa na Messi na Suarez na baadae mbrazil Coutinho ila ni wazi pengo la Neymar linaonekana mrudisheni kijana wenu kashajifunza hatalilia tena sifa za Messi badala yake atajitahidi kumfanya Messi awe bora zaidi duniani
Barcelona haimwitaji Naymar tatizo la Barcelona timu yao kama gagulo linabana juu chini linaachia.Bercelona beki hawana,nimeshangaa kwa nini msimu huu Umtiti anaanzia benchi kwani beki mzuri na mwenye uzoefu.Yaliywakuta wameyataka wenyewe na ni haki yao.