Nafahamu mpaka sasa upangaji wa mkopo kwa wanafunzi unasuasua japo mnaeleza pesa mnayo bil 570 wanafunzi nusu ya zaidi ya waliomba hawajui hatma yao (mnachelewa).
Kupanda na kushuka katika maisha ni jambo la kawaida kwa mfano familia ya mzee kiyoyozi miaka 20 nyuma ilikua nakipato kizuri na watoto wao walisoma shule nzuri za gharama lakini leo hii haiwezi kulipia hela ya mlizi shule za serikali ni ugomvi, (watakosa mkopo).
Familia ya mzee kupauka miaka 20 nyuma watoto wao walisoma shule za kata leo hii wao ndo neema imemiminika wakati watoto wao wanaenda chuo kikuu, (watapata mkopo).
Maisha yanaweza kubadilika wakati wowote yakawa mazuri au mabaya.
Ushauri wangu toeni mkopo kwa usawa kwa kila anae omba kila muomba mkopo anamahitaji maalum.
Kupanda na kushuka katika maisha ni jambo la kawaida kwa mfano familia ya mzee kiyoyozi miaka 20 nyuma ilikua nakipato kizuri na watoto wao walisoma shule nzuri za gharama lakini leo hii haiwezi kulipia hela ya mlizi shule za serikali ni ugomvi, (watakosa mkopo).
Familia ya mzee kupauka miaka 20 nyuma watoto wao walisoma shule za kata leo hii wao ndo neema imemiminika wakati watoto wao wanaenda chuo kikuu, (watapata mkopo).
Maisha yanaweza kubadilika wakati wowote yakawa mazuri au mabaya.
Ushauri wangu toeni mkopo kwa usawa kwa kila anae omba kila muomba mkopo anamahitaji maalum.