Ni wakati wa kususia taarifa zote kutoka kwa Waziri wa Nishati January Makamba

Ni wakati wa kususia taarifa zote kutoka kwa Waziri wa Nishati January Makamba

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Tunaanzaje kuziamini taarifa zake huyu waziri na wakati kipindi tu anaingia hakukuta mkatiko katiko wa umeme, Kwa yeye ndio tukaanza kushuhudia madhila hayo, akajitetea kusema

Hoooo! Mitambo ilikuwa haifanyiwi ukarabati, hivyo imechoka kabisa, nahitaji mnipe siku kumi zikarabatiwe!

Kutoka mwaka Huo mpaka sasa, siku kumi hazijawahi kuisha!

Bwawa la umeme JKNHP, Kwa tarifa za waziri aliyekuwepo, lilitakiwa liwe limeshajazwa maji tangu 2021 huko, alipofika yeye akadai, Kunahitajika kifaa Kutoka nje ya nchi yetu ili kikifika, ndio kazi ya kujaza maji ifanyike, tokea mwaka huo, mpaka hivi sasa, hatusikii Kwa kifaa kufika au bwawa kujazwa maji!

Tumsikilize Kwa lipi?

Kutoka kulipia 27,000 tu, ili uingiziwe umeme nyumbani kwako, ikafika mpaka 320,000, na majuzi kasema tena ni 800,000 tsh

Tunaanzaje kumwamini huyu mtu?
 
Tunaanzaje kuziamini taarifa zake huyu waziri na wakati kipindi tu anaingia hakukuta mkatiko katiko wa umeme, Kwa yeye ndio tukaanza kushuhudia madhila hayo, akajitetea kusema

Hoooo! Mitambo ilikuwa haifanyiwi ukarabati, hivyo imechoka kabisa, nahitaji mnipe siku kumi zikarabatiwe!

Kutoka mwaka Huo mpaka sasa, siku kumi hazijawahi kuisha!

Bwawa la umeme JKNHP, Kwa tarifa za waziri aliyekuwepo, lilitakiwa liwe limeshajazwa maji tangu 2021 huko, alipofika yeye akadai, Kunahitajika kifaa Kutoka nje ya nchi yetu ili kikifika, ndio kazi ya kujaza maji ifanyike, tokea mwaka huo, mpaka hivi sasa, hatusikii Kwa kifaa kufika au bwawa kujazwa maji!

Tumsikilize Kwa lipi?

Kutoka kulipia 27,000 tu, ili uingiziwe umeme nyumbani kwako, ikafika mpaka 320,000, na majuzi kasema tena ni 800,000 tsh

Tunaanzaje kumwamini huyu mtu?
Ni kwa wale mliofurahia kifoc cha JPM na sasa mnaanza kumlilia upyaaa!

Kuna somo kubwa la kujifunza hapo wakuu!View attachment 2347387
FB_IMG_1662448109368.jpg
 
Tunaanzaje kuziamini taarifa zake huyu waziri na wakati kipindi tu anaingia hakukuta mkatiko katiko wa umeme, Kwa yeye ndio tukaanza kushuhudia madhila hayo, akajitetea kusema

Hoooo! Mitambo ilikuwa haifanyiwi ukarabati, hivyo imechoka kabisa, nahitaji mnipe siku kumi zikarabatiwe!

Kutoka mwaka Huo mpaka sasa, siku kumi hazijawahi kuisha!

Bwawa la umeme JKNHP, Kwa tarifa za waziri aliyekuwepo, lilitakiwa liwe limeshajazwa maji tangu 2021 huko, alipofika yeye akadai, Kunahitajika kifaa Kutoka nje ya nchi yetu ili kikifika, ndio kazi ya kujaza maji ifanyike, tokea mwaka huo, mpaka hivi sasa, hatusikii Kwa kifaa kufika au bwawa kujazwa maji!

Tumsikilize Kwa lipi?

Kutoka kulipia 27,000 tu, ili uingiziwe umeme nyumbani kwako, ikafika mpaka 320,000, na majuzi kasema tena ni 800,000 tsh

Tunaanzaje kumwamini huyu mtu?
Alikula mkataba na wahindi wa 70 bilion za ufanisi wa tanesco, nadhani hiyo laki nane ndo matokeo ya ufanisi wa hiyo mikataba.
Tulidhani ufanisi utapunguza bei kumbe ndo unapandisha bei.
 
Ulipomaliza na hiyo Tsh, 800000 ndo nilipogundua kuwa labda na ya juu yote hayana uhakika, upotoshaji tu
 
Tunaanzaje kuziamini taarifa zake huyu waziri na wakati kipindi tu anaingia hakukuta mkatiko katiko wa umeme, Kwa yeye ndio tukaanza kushuhudia madhila hayo, akajitetea kusema

Hoooo! Mitambo ilikuwa haifanyiwi ukarabati, hivyo imechoka kabisa, nahitaji mnipe siku kumi zikarabatiwe!

Kutoka mwaka Huo mpaka sasa, siku kumi hazijawahi kuisha!

Bwawa la umeme JKNHP, Kwa tarifa za waziri aliyekuwepo, lilitakiwa liwe limeshajazwa maji tangu 2021 huko, alipofika yeye akadai, Kunahitajika kifaa Kutoka nje ya nchi yetu ili kikifika, ndio kazi ya kujaza maji ifanyike, tokea mwaka huo, mpaka hivi sasa, hatusikii Kwa kifaa kufika au bwawa kujazwa maji!

Tumsikilize Kwa lipi?

Kutoka kulipia 27,000 tu, ili uingiziwe umeme nyumbani kwako, ikafika mpaka 320,000, na majuzi kasema tena ni 800,000 tsh

Tunaanzaje kumwamini huyu mtu?
Kwenye laki Nane ulimuelewa vizuri? Au upo kwa kuleta taharuki? Yeye alisema gharama zinakua lakini laki nane lakini SERIKALI inatoa laki 7 na sabini na Mwananchi anachangia hiyo Elfu 27 inayosalia ndio ilikua maana yake
 
Aisee....planting the seeds of their own destruction.
 
Tunaanzaje kuziamini taarifa zake huyu waziri na wakati kipindi tu anaingia hakukuta mkatiko katiko wa umeme, Kwa yeye ndio tukaanza kushuhudia madhila hayo, akajitetea kusema

Hoooo! Mitambo ilikuwa haifanyiwi ukarabati, hivyo imechoka kabisa, nahitaji mnipe siku kumi zikarabatiwe!

Kutoka mwaka Huo mpaka sasa, siku kumi hazijawahi kuisha!

Bwawa la umeme JKNHP, Kwa tarifa za waziri aliyekuwepo, lilitakiwa liwe limeshajazwa maji tangu 2021 huko, alipofika yeye akadai, Kunahitajika kifaa Kutoka nje ya nchi yetu ili kikifika, ndio kazi ya kujaza maji ifanyike, tokea mwaka huo, mpaka hivi sasa, hatusikii Kwa kifaa kufika au bwawa kujazwa maji!

Tumsikilize Kwa lipi?

Kutoka kulipia 27,000 tu, ili uingiziwe umeme nyumbani kwako, ikafika mpaka 320,000, na majuzi kasema tena ni 800,000 tsh

Tunaanzaje kumwamini huyu mtu?
Inasemekana kamwakilisha rais kwenye mkutano wa mazingira huko nchi za nje yeye akiwa waziri wa nishati wakati waziri wa mazingira yupo!!! Hapo ndipo Watanzania mtapiga kelele weee lakini wapi hakuna wakuwasikia katika lolote mnalomlalamikia....................he is a chosen chap for the special class...............untouchable subject.
 
Tuache kumuamini Waziri aliekula kiapo kikatiba alafu tukuamini wewe unaetumia jina fake mtandaoni.
 
Suzy Elias aka Paulsylivester inaonekana unaumizwa sana na Makamba! Pole sn kama vp muombe alegeze kidogo ujambe
 
Ukitaka Aman usimuamin yeyote kutoka ccm
 
Back
Top Bottom